Kwanini wananchi hawana imani na awamu ya 6, kila kitu wanahisi wanapigwa?

Kwanini wananchi hawana imani na awamu ya 6, kila kitu wanahisi wanapigwa?

Watu hawana imani sababu ya kivuli cha magufuli kikiendelea kutanda hakuna litakalofanyika na watu wasimkumbuke JPM.

Hata maandazi yamebadilika yamekuwa madogo na bei imepanda, mihogo ya kukaanga sasa hivi kote mia mbili sio mia tena.

Kuongezeka ghafla kwa gharama za vitu kunazidisha uchungu kwa wananchi. Legacy ambayo itambeba Bi mkubwa akumbukwe ni Katiba mpya tuu hakuna jingine maana miradi mingi kaikuta madawati hata mwaka kesho yatahitajika tena.
 
Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.

Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.

Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya, au wanataka wakiiba wasiulizwe?

Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
Mkuu umeeleza vzr ila umeharibu mwishoni, hakuna mahusiano Katii ya Katiba mpya NA watu kuprotest kinachoendelea,

Kinachoendelea kwa sass ni Kuwa shule IPO mbali NA kijiji..
 
Wewe akili huna, in public between leader hata Kenyatta anamuita Samia dada yangu.

Sasa imagine kinchi tumuite Rais wetu Dada Samia badala ya mama Samia?

Aisee siipendi ccm lakini chuki zako binafsi zimekutia upofu na ukapofuka haswaa.

Na nikukere vizuri mama yupo madarakani mpaka 2030 kwa kibali cha afya njema na uhai tu kutoka kwa Mungu lakini otherwise hakuna cha kuzuia hilo lisitokee.

Tuache ulalamishi someni mchezo watu wanakulaje na nyinyi muwe connected.
Usinilazimishe nimuite Mama, nisipomuita dada basi nitamuita RAIS hiyo inatosha.
 
Wewe akili huna, in public between leader hata Kenyatta anamuita Samia dada yangu.

Sasa imagine kinchi tumuite Rais wetu Dada Samia badala ya mama Samia?

Aisee siipendi ccm lakini chuki zako binafsi zimekutia upofu na ukapofuka haswaa.

Na nikukere vizuri mama yupo madarakani mpaka 2030 kwa kibali cha afya njema na uhai tu kutoka kwa Mungu lakini otherwise hakuna cha kuzuia hilo lisitokee.

Tuache ulalamishi someni mchezo watu wanakulaje na nyinyi muwe connected.
Sasa ndugu kuna sehemu yoyote ile nimesema huyo dada atatoka madarakani? Yeye akae hata mpaka mwisho wa dunia mimi itanihusu nini??

Kwahiyo haya yote yanakuja kwakua nimemuita Dada? Ndiyo ni Rais ila hawezi kuwa mama kwangu.
 
Mama ni jina la heshima tu haimanishi kuwa anaweza kukuzaa
Nimekataa kumpa hiyo heshima, kwangu mimi atabaki kuwa RAIS.

Kwanini JK, Mkapa, JPM mliwatambua kama marais na sio baba zenu? Mbona hamkuwaita BABA, au ndo mmjaa mitazamo ya kifeminist??
 
Moja, nafikiri ni zao la propaganda kali sana iliyopigwa awamu iliyopita.....kwamba kwa uaminifu ndo ilikuwa nambari moja, wengine wote ni wezi tu. Kwamba hakuna mwingine atakayeweza kuimaliza miradi yake n.k

Pili, chuki dhidi ya kikwete

Tatu, chuki dhidi ya mama kutoka kwa walinda legacy

Nne, chuki za kikanda na itikadi dhidi ya Raisi Samia.
 
Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.

Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.

Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya, au wanataka wakiiba wasiulizwe?

Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
Mkuu mimi binafsi nikilinganisha na tulipotoka (2015-2021) naona kuna afadhali kidogo. Kipindi cha mwendazake hata kuandika thread ya muundo huu ilikuwa unajiuliza mara mbilimbili.
 
Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.

Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.

Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya, au wanataka wakiiba wasiulizwe?

Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?
Wananchi msiwe na imani, tuwacheni wenyenchi tuwe na imani. Awamu yenu ilienda na "bwana yule".
 
Huu uzi hauna zaidi ya udini tu.

Mleta mada kashindwa tu kujielezea, tumemstukia zamani.

Awamu ipi mlikuwa na imani nayo?
 
Picha linaanza..wale waliotumbuliwa kipindi cha magu kwa kuonekana hawafai na hawana weredi..wote wamerudishwa mzigoni..pia yule mtoto wa kubwa ambaye alisifika sana kwa dili na kuuza nchi yupo mzigoni.

Serikali kutwa kutembeza bakuli..wakuambiwa wasitembeze bakuli wanakuNdugai.

Kingine porojo nyingi sana..kila kukicha hasa upande wa wizara ya mwezi wa kwanza.

Hali ya maisha haishikiki hali si swali..ila serikali inakuja na propaganda na vichaka vya kujificha ambavyo ni kovidi na vita vya urusi.

#MaendeleoHayanaChama
Sasa kwani Mwendazake ndio kipimo cha kufaa au kutofaa kwa mtu?

Si alikuwa mjinga tuu yule na chuki zake wakati nalo ni hovyo tuu.
 
Kila nikijaribu kupitia maoni ya wananchi katika mitandao ya kijamii ni dhahiri wananchi wengi wanaonekana kukosa imani na serikali ya awamu ya sita. Ukiwasoma kwenye mitandao utaona wamekaa kimashaka-mashaka tu hivi. Kila serikali ikisema hivi kuhusu matumizi ya fedha na miradi basi wao wanahisi kuibiwa ibiwa tu.

Hali hii pia ipo katika maisha ya kawaida. Wameweka imani ndogo sana na uongozi wa mama.

Hali hii inachochewa sana na serikali kupinga katiba mpya. Wananchi wanajiuliza kwa nini hawataki katiba mpya, au wanataka wakiiba wasiulizwe?

Eti jamani kwa nini raia wamekataa mkao wa kuibiwa tu?

Makamba na nape ndo tatizo huwezi kukaa na hao watu waliokosea huko nyumba et ndo wawe washauri wako kwenye carbinati hii ni dharau kwa watanzania
 
Kwenye siasa kuna Cartel, hata wewe tukikupa madaraka leo huwezi kuwatosa wana.

Magufuli alifanya hivyohivyo pia kuwajaza kanda ya ziwa

Dr Slaa akiwa katibu mkuu wa Chadema kazi za kutangazwa tenda za kutengeneza software alikuwa akimpa demu wake Josephine Mushumbushi, hadi ID ya Dr slaa hapa JF akawa anaitumia Josephine na watu wakamdharau kabisa Dr.
Sio tuu aliwajaza bali aliwaleta karibu walioitwa mafisadi akiwemo Rostam Aziz.
 
Makamba na nape ndo tatizo huwezi kukaa na hao watu waliokosea huko nyumba et ndo wawe washauri wako kwenye carbinati hii ni dharau kwa watanzania
Roho zitawauma sana, mama ndiyo kaona wanafaa na anayajuwa kiundani yote ya awamu iliyopita.

Kazi iendelee.
 
Wewe mzazi ako kila siku unamuona kwa mama mwajuma na kikombe cha chai,analeta nyumbani watoto tule.

ikifika lunch time unamuona tena huyo kwa mzee mashaka na sahani anarudi na msosi wanae tule

jioni ikifika Mama Asha analeta mzigo anasema mpeni mama yenu mwambieni asante sana,tukifungua tunakuta mipiza mibaga misoseji kama yote.

Ghafla bin Vuu Mzazi huyo huyo akuletee hata nguo uvae uttapata amani ya kuvaaa hizo nguo? utahisi tu nazo zimetoka kwa jirani

Hata huyu mzazi afanye nini kwa pesa zake kwetu watoto ni ngumu kujiamini maana tushajua mzazi wetu n mtembeza bakuli kwa jirani.

Ni ngumu sana kutembea kifua mbele useme una mzazi, mzazi asiekaa na familia yake hata kwa masaa kadhaaa muda wote yeye ni kwa majiran kupga story na kutuletea misosi.

Ngumu sana mzeee tunahtaji mzazi ataefanya watoto wajiamini,Familia saivi watoto tupo tupo TU hatuna hata uhakika kama nyumba tunayokaa kodi ishalipwa,tarehe za kodi zenyewe ndio zishakaribia,sijui awamu hii tutaongea nn na faza house akija dai Chake, Mi nadhani maza anaeza mpa ba mwenye nyumba hata lile VX mshua aliloliacha kufidia KODI ya nyumba.
 
Back
Top Bottom