Kwanini wanaompokea Rais Samia huko Manyara wametokea Dar es Salaam?

Ukiniondoa mimi Tz raia wake ni waigazaji mpaka msaba halisi watu watazimia huku wameshikilia vifungashio.
 
Chongolo kafunga kazi juzi Sumbawanga. Sijawahi kuona Mkutano wa hadhara wahudhuriaji wanalipwa 2000 na Mbunge ndo nimeiona Sumbawanga. Vijana wa stendi Kuu wamepewa jezi za kijani na 5000 ili wakashangilie, walivyorudi Stendi wakapewa jina la "WAUZA BANDARI" wakazivua.
 
Chongolo kafunga kazi juzi Sumbawanga. Sijawahi kuona Mkutano wa hadhara wahudhuriaji wanalipwa 2000 na Mbunge ndo nimeiona Sumbawanga. Vijana wa stendi Kuu wamepewa jezi za kijani na 5000 ili wakashangilie, walivyorudi Stendi wakapewa jina la "WAUZA BANDARI" wakazivua.
 
Steve nyerere anakula mema ya nchi.
Ni vile anaongea pumba siku zote, angekuwa na akili angeshafika mbali.
 
Kijana wa kiume fanya mbinu upambane na mfumuko wa bei kivyako. Unakuwa kila kitu "maaa' "maaa" mpaka aje kukufanyia mama? Ebooo, namna gani kijana?
[emoji38] we kweli mtoto wa kariakoo
Mbona una madongo hivyo

Ova
 
Nipo hapa uwanja wa kwaraa mjini babati nikiangalia final touches za maandalizi ya kuzima mwenge hakika manyara inameremetaa. Manyara oyee ccm oyeee.
 
Hizo tisheti zimeandikwaje?
 
Nikiwa na hela nyingi nitatafuta suruali kama steve nyerere.

Anyway hivi huyo steve ana cheo gani serikalini siku hizi?
 
Hiyo ni trela tu tena isiyokoma,

yaani ni none stop hadi 2035 wakati wa picha Kamili.
BWANA yupo kazini. Jiandaeni kabla ya 2025 au punde baada ya 2025 mtaona atakachofanya BWANA! Waovu hawana nafasi kwa nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…