[emoji1] [emoji1] [emoji1] mwanamke hapewi mtaji wa biashara inapaswa atafute mtaji mwenyew wew mpe kias kidogo cha pesa yakuendlez biashar yake kwani hatokubal biashar yake ife sabb anajua changamoto alizopitia kipindi anatafuta pesa ya biashar[emoji23][emoji23] kwa kweli najiiliza kila siku hili swali maana hata Sheitani anakuna kichwa
Kuna mara naona niwasaidie baadhi na kuwapa hata mtaji ila kibri nayo inawasumbua
Kutwa kuomba ila ukimwambia shika mtaji anza biashara ndogo hataki hilo ndio tatizo
Wengi ni ombaomba (sorry) [emoji23][emoji23]
Akituletea ugali yatosha, tunamshukuru na kukuombea apate zaidi na zaidi[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kula bata tu atajua mwenyew na assets zake
Oko off point kabisa. Soma kwanza uelewe kinachosemwaAcheni ubinafsi kama mama yako asingeaminiwa na baba yako Leo mngefika hapo ebu waangalie wanao ni yupi atakae Walea na kuwajali zaid nimama yao ila mama yako hawezi kuonyesha upendo mkubwa kama alionao mama yao hivyo kama umeamua hivyo bac jua wanao wataish maisha magumu na watakukumbuka kwa mabaya yako na kukulaani kila Leo na ikiwa bahat mbaya wakakosa support ya elimu labda ukifarik hapo ndio chuki itaongezeka Mara dufu.
Kama unamuona mama wa thaman sana kuliko mkeo ni bora usioe wala usiwe na watt
Umebahatisha mkuu,na nikukumbushe kwamba "bahati haiji mara mbili"😅😅😅😅😅😅 hongera sana mkuu, mkeo kweli amekuwa ndugu yako
Eehh bana maana ukianza kuwaza Mali zake utajikuta huna chochote cha kukufurahisha nibora ule utazame movie unazozipenda bac vaa upendez mwishoe uzeeke mapema mwenzako bado ananawiliAkituletea ugali yatosha, tunamshukuru na kukuombea apate zaidi na zaidi
Wew ndo hujaelew mada husika nayote nikujenga watu tuwe na uelewa napia kuzilinda familia zetu na utu wetuOko off point kabisa. Soma kwanza uelewe kinachosemwa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mwanamke hapewi mtaji wa biashara inapaswa atafute mtaji mwenyew wew mpe kias kidogo cha pesa yakuendlez biashar yake kwani hatokubal biashar yake ife sabb anajua changamoto alizopitia kipindi anatafuta pesa ya biashar
Nakuunga mkono maana sitaki stressMimi nipo upande huu wa Wanaume wasiojielewa,na ninataka nibaki huku huku.
Karibu sana Mkuu, maana ukitaka kujifanya eti wewe ni Mwanaume unayejielewa kwa mwanamke Jiandae maumivu ya mwili, Akili na kiuchumi.Nakuunga mkono maana sitaki stress
wachache na tako uwa hawanaAiseee wanawake ni ma pretenders sana atakuactia bonge la picha ukahisi huyu mwenyewe ngoja aingie ndoani sasa rangi zote za rainbow zinakuwa kwako.
Hao wanawake wenye akili za maisha ni wachache sana.
alaa kuumbe tako linanyonya akili?wachache na tako uwa hawana
Tunaficha mambo mengi sababu nyie sio wavumilivu kabisa! Kidume unajipinda unaweka akiba inafika hata 10M kwa ajiri ya long run projects,kama kujenga au kuanzisha biashara, mwanamke wako akishajua tu,anaanza kupanga mipango yake,mara hii tv,tuibadilishe,mara sijui hizi sofa zimepitwa na wakati,mara sijui tufanye sherehe ya miaka 2 ya ndoa yetu!
Pia wanawake hua na viherehere,anaweza chukua kile kikaratasi cha Salio,anaenda mringishia rafiki yake huko,yeye hajui kama anakutafutia kifo,maana wanaweza kuipata wazee wa ngwasuma,wakatimba usiku wa manane kuomba salio,bahati mbaya usiwe nalo home liwe bank,wanakuuwa!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] eti firiji haligandishi! Dishi linayumba hata kama hakuna upepo! JamiiForums mobile app
Haaahaaaahaaaahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] kwa kweli najiiliza kila siku hili swali maana hata Sheitani anakuna kichwa
Kuna mara naona niwasaidie baadhi na kuwapa hata mtaji ila kibri nayo inawasumbua
Kutwa kuomba ila ukimwambia shika mtaji anza biashara ndogo hataki hilo ndio tatizo
Wengi ni ombaomba (sorry) [emoji23][emoji23]
Haaahaaaahaaaahaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sisi ni ombaomba?
[emoji28][emoji28]usiseme ukweli sasaawachache na tako uwa hawana