Kwanini Wanawake hulazimisha kulala na wapenzi wao hoteli za kifahari?

Oaneni, uzinzi na uasherati ni uchafu na haramu.

Unafanya mwenyewe haramu halafu unamlalamikia nani? "Mali ya mlevi huliwa na mgema".

sawa mama ushaur utakuta unaongea hvyo angali hauna bikra hapo ulipo na hujaolewa
 
Mhhhhhh
 
Mkuu unajitambua Kila mmoja ale kulingna na urefu wa kamba yake[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Wenzako tunalipaga then baada ya wadhungu wa kwanza kutoka ndo tunajilaumu bt syo mbaya next time ukimhtaji wew ndo unabidi uwe kodineta wa kila kitu tena wala hatakiw kujua kuw Leo anaenda kulalwa kwenye loji ipi.
 
Maboya kama nyie ndyo mnaona kuigharamikia mbususu ni ujanja alafu kesho ukikosa pesa ya lunch kazini unalialia Linda mfuko wako kijjana K zipo na nzurii mtu asiyedhamini pesa yako uyoo ni hatari kuliko ukimwi

wanaona kutoa toa pesa ndio uanaume
 
Wenzako tunalipaga then baada ya wadhungu wa kwanza kutoka ndo tunajilaumu bt syo mbaya next time ukimhtaji wew ndo unabidi uwe kodineta wa kila kitu tena wala hatakiw kujua kuw Leo anaenda kulalwa kwenye loji ipi.

mm hapo ndipo nilipokuw napafikiria ukisha kikojoa kile cha kwanza majuto ya gharama yanakuja na kuanza kujilaum
 
iyo mbinu wanaitumia sana mademu hasa ikiwa hakutaki halafu unaforce kwaiyo hapo malengo yake yametimia anajua hauwezi kumsumbua tena maana umeshindwa kuruka kiunzi🤣🤣
 
iyo mbinu wanaitumia sana mademu hasa ikiwa hakutaki halafu unaforce kwaiyo hapo malengo yake yametimia anajua hauwezi kumsumbua tena maana umeshindwa kuruka kiunzi[emoji1787][emoji1787]

walaaa sio hvyo unavyodhan
 
Huyo sio dem ni saccos
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…