Kwanini Wanawake hulazimisha kulala na wapenzi wao hoteli za kifahari?

Kwanini Wanawake hulazimisha kulala na wapenzi wao hoteli za kifahari?

Oaneni, uzinzi na uasherati ni uchafu na haramu.

Unafanya mwenyewe haramu halafu unamlalamikia nani? "Mali ya mlevi huliwa na mgema".

sawa mama ushaur utakuta unaongea hvyo angali hauna bikra hapo ulipo na hujaolewa
 
Nyooolooo siwezi maisha ni mafupi, hela hata uzibanie elfu 50 haiwezi kununua gari.

Mwezi wa 11 nilikuwa naenda nyumbani kijijini nikafika mjini gari za nyumbani zimeisha nikasema siendi kwa shangazi staki jam afu mbali na stend.

Nikawauliza washikaji zangu hotel nzuri wakanambia kuna lodge za 20 nzuri nikasema nataka hotel. Nikawaza hivi hotel nzuri lazima nilale nikiwa nimetoka na mwanaume?

Nikaingia Google map location hapo nilipo simama stend hotel zote nikawa nikaziona.na hiyo hotel walonambia ikiwemo. Chap naita tax wakasema sister iko karibu tukubebee mabegi, chap tukafika dah mazingira safi , wakasema sh 50, 000 sikutaka hata longolongo wakanionesha room.

Sasa wale washikaji walonisindikiza wakauliza nina shemeji.? Yaan hawaamini nalala pale mwenyewe.. kuingia mule chumba kina kila kitu cha muhimu. Nikaoga maji safi msosi nikaletewa, nililala kama beibi mashuka makali duvet coton ile ya kiwango ,achana na zile za kariakoo za elfu 30 dah, dah sikujutia hela yangu

Asubuhi naamshwa chai ya nguvu na supu ya kuku dah.

Saa 3 asubuhi wale washikaji zangu , ni wa kitambo tangu nasomaga sekondari wakogo hapo stend wakaijia mabegi yangu nikawapiga breakfast ya maana nkaenda zangu kijijini kujilia ndizi.
Mhhhhhh
 
huo ni mtazamo wako upo sahihi lkn mm lengo langu lilikuw ni kupunguza gharama ambazo hazina ulazima hapo bado nikitoka tena ningemtoa na yeye pesa ya kidg ya matumizi yake

bora ww 50k na breakfast juu mm 150k vyakula juu yangu menu ya pale aseh ni kiboko nikaona bora nikose mbunye tu nisepe japo
Mkuu unajitambua Kila mmoja ale kulingna na urefu wa kamba yake[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Wenzako tunalipaga then baada ya wadhungu wa kwanza kutoka ndo tunajilaumu bt syo mbaya next time ukimhtaji wew ndo unabidi uwe kodineta wa kila kitu tena wala hatakiw kujua kuw Leo anaenda kulalwa kwenye loji ipi.
 
Maboya kama nyie ndyo mnaona kuigharamikia mbususu ni ujanja alafu kesho ukikosa pesa ya lunch kazini unalialia Linda mfuko wako kijjana K zipo na nzurii mtu asiyedhamini pesa yako uyoo ni hatari kuliko ukimwi

wanaona kutoa toa pesa ndio uanaume
 
Wenzako tunalipaga then baada ya wadhungu wa kwanza kutoka ndo tunajilaumu bt syo mbaya next time ukimhtaji wew ndo unabidi uwe kodineta wa kila kitu tena wala hatakiw kujua kuw Leo anaenda kulalwa kwenye loji ipi.

mm hapo ndipo nilipokuw napafikiria ukisha kikojoa kile cha kwanza majuto ya gharama yanakuja na kuanza kujilaum
 
iyo mbinu wanaitumia sana mademu hasa ikiwa hakutaki halafu unaforce kwaiyo hapo malengo yake yametimia anajua hauwezi kumsumbua tena maana umeshindwa kuruka kiunzi🤣🤣
 
iyo mbinu wanaitumia sana mademu hasa ikiwa hakutaki halafu unaforce kwaiyo hapo malengo yake yametimia anajua hauwezi kumsumbua tena maana umeshindwa kuruka kiunzi[emoji1787][emoji1787]

walaaa sio hvyo unavyodhan
 
Hivi inakuaje unaekeana appointment na mwanamke wewe upo kazini anakuambia ameshatangulia sehemu husika halafu hiyo ndio mara ya kwanza kukutana kwa ajili ya show.

Manzi anakupa location unachukua usafiri wako unaibuka mara ghafla mtu kashatangulia reception kubook chumba alaf ni hotelini 150,000 aseh mpk nmepatwa na stroke ya ghafla. Nikajiuliza huyu anajua mfukon niko na shingp!!!!

Nikajaribu kumshawishi tuhamie lodge mbon nmeona sehemu nzuri zaid bei ya kawaida ili tuepushe matumizi yasiyokuw na lazima dem kagoma kabisa kuhama pale.

Nikaona isiwe kesi nikainuka kmya kmy nakusepa katuma msg kibao kauli yangu ile ile tubadilishe eneo tuepushe gharama bado kagoma nimeamua kusepa na kupotezea mzigo


nb:Moderator mmenikosea kwanin mnibadilishie kichwa cha habar na kueka hicho cha kwenu cha ovyo nan aliwaambia km huyo ni mpenz wangu mpk muandike hivyo?

em badilisheni iwe kama kile nilichoeka mm punguzeni ujuaji
Huyo sio dem ni saccos
 
Back
Top Bottom