Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Kwa mtoto wakike sawa. Unafanya kazi, hujatoka kwenu, haujengi na hauna mpango huo sasa wewe nyumbani utaondoka kweli?Me hapana jamani. Sina tabia za kuhitaji uhuru wa hivyo.
Ningekuwa mtaa mmoja na wazazi wangu. Wallah nisingechezea pesa kulipia kodi na kujilea.
HahaI think peoples should be Authentic
Avatar ina space ndogo. Ndio maana pic ilijikata. Hayo mengine endelea nayo mwenyewe.Nilichotaka mm ni kuwasilisha tu Uhalisia content yangu Wala sio ngozi ya mtu.. Ila we Inawezekana una ngozi ngumu mno maana hata sura hyo utaki tuione hapo kwa Avatar ππ
Utaondoka ukiolewaKwa mtoto wakike sawa. Unafanya kazi, hujatoka kwenu, haujengi na hauna mpango huo sasa wewe nyumbani utaondoka kweli?
Nazungumzia mwanaumeUtaondoka ukiolewa
Na ukichelewa kuolewa unazeekea hapo
ππ€£
Haha
Plsss⦠kutumia mafuta mazuri na ukawa na nuru haiondoi uhalisia wako. Achana na hao wa kujichubua
Oke.. kuendelea kukaa kwenu hakutakuzuia kufanya maendeleo kama mkwanja unao.Nazungumzia mwanaume
Sawa Ila kama hutojali nitumie picha yako kwa PM rafiki wanguπAvatar ina space ndogo. Ndio maana pic ilijikata. Hayo mengine endelea nayo mwenyewe.
Sasa wengine maendeleo hawayafanyi wanaponda raha tuOke.. kuendelea kukaa kwenu hakutakuzuia kufanya maendeleo kama mkwanja unao.
Hapo huna utetezi
Hao sina experience. Maana mie naingia saloon za kiume πββοΈKuna ile mtu anaforce kujibadilisha anasuka katani kichwani yaani anapoteza uzuri wake ,bila kujua
Inakuja.Sawa Ila kama hutojali nitumie picha yako kwa PM rafiki wanguπ
Ni kweli, kama ukahaba ni tabia ya mtu tu inategemea na alivojieka na aliokaribu naoSio uzinzi uhuru upo wa mambo mengi, kuna mambo huwezi kuyafanya ukiwa nyumbani.
Sawa mkuu naisubiria kwa hamInakuja.
Kuangaika kote kumbe ulikuwa unavizia vizia ahπππSawa Ila kama hutojali nitumie picha yako kwa PM rafiki wanguπ
Pia Mazingira humfanya mtu kuwa mAlaya huwezi kuishi Tandika ukabaki salamaNi kweli, kama ukahaba ni tabia ya mtu tu inategemea na alivojieka na aliokaribu nao
Mkuu mwanamke kaumbwa asukeKuna ile mtu anaforce kujibadilisha anasuka katani kichwani yaani anapoteza uzuri wake ,bila kujua
Tabia haijifichi hata ukikaa nyumbani wazazi huwa wanajua fulani yule wa hovyo kabisa kitabia na fulani yupo vzriNi kweli, kama ukahaba ni tabia ya mtu tu inategemea na alivojieka na aliokaribu nao
Ni kweli piaPia Mazingira humfanya mtu kuwa mAlaya huwezi kuishi Tandika ukabaki salama
π€£πPia Mazingira humfanya mtu kuwa mAlaya huwezi kuishi Tandika ukabaki salama
Acha wivu basi mkuu, ushaona me nafaidi hapaππKuangaika kote kumbe ulikuwa unavizia vizia ahπππ