DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Oya hii naipendaga Sana kuna Jamaa yangu yeye nilisoma naye chuo by that time alikuwa in-service Mwalimu wa primary Sasa yeye na mke wake wote walikuwa wananyoa , saloon moja kila mishahara ikisomaHao sina experience. Maana mie naingia saloon za kiume πββοΈ
Kama yapi mkuu? Mm nitamrusu binti yangu kupanga iwapo atakuwa amepata kazi nzuri na yenye mshahara mzuri mbali na nyumbani kwangu, tofauti na hapo haondoki nyumbani na akirazimisha kuondoka akatufute baba yake mwingine.Sio uzinzi uhuru upo wa mambo mengi, kuna mambo huwezi kuyafanya ukiwa nyumbani.
Hakuna mtu anaye zaliwa akiwa kahaba acha kudanganya, mabinti wanakuwa makahaba kwa sababu ya maisha magumu.Ni kweli, kama ukahaba ni tabia ya mtu tu inategemea na alivojieka na aliokaribu nao
Kama ana kipato cha uhakika hawezi kuwa kahaba.Pia Mazingira humfanya mtu kuwa mAlaya huwezi kuishi Tandika ukabaki salama
Sasa mkuu asipo jirahisisha si atakufa na njaa?Sioni shida kwenye kupanga. Shida ni hapo kwenye kujirahisisha....
Maisha yakimgonga arudi nyumbani atafte mishe nyingine....Sasa mkuu asipo jirahisisha si atakufa na njaa?
Hayo ni matokeo ya moja kati ya haya:Habari ya maandilizi ya sikukuu,
Kuna hii tabia ya mabinti tena wadogo kwenye early 20s wakipata tu vikazi hata iwe saluni au mgahawani wanakimbilia kupanga ili wajitegemee.
Kusema kweli hii imekuwa kero kwa sie hasa wa maofisini, hawa mabinti wanaojitegemea ni kama wanageuka omba omba, hapa nazungumzia hawa wanaofanya usafi walioajiriwa kwenye kampuni za usafi, kuna wanaouza matunda na juisi maofisini wengine wanatembeza korosho na soksi, siongelei wote ila wengi wao ni kama wanajiuza au kuishia kuomba omba maofisini kwa sisi wafanyakazi wa kiume.
Ukimuomba namba leo kesho hana kodi na sio kwamba wanatania ni kweli unaona kabisa meseji za mwenye nyumba na missed calls kibao. Hasa unajiuliza why ulikimbilia kupanga kazi yenyewe ya laki 2.
Kwanini usibakie na wazazi au ndugu kama ulivyoishi kabla ya kuajiriwa? Wengi Wanaangukia kujiuza au kuwa omba omba maofisini.
Kwanini mnakimbilia kujitegemea?
Kiufupi mtu anaye mthamini binti yake hawezi mruhusu akapange geto.Maisha yakimgonga arudi nyumbani atafte mishe nyingine....
Unasema kwamba wanawake wote wakisuka wanapendeza? Ila umeshakiri hapo chini kwamba inategemea na msuko that means kusuka haifanyi mwanamke apendezeMkuu mwanamke kaumbwa asuke
Na hamnaga anaesuka akawa mbaya inategemea na msuko na msusi mwenyewe
πππKuangaika kote kumbe ulikuwa unavizia vizia ahπππ
Aah tatizo unawalinganisha na kina Priyanka Chopra, na kina kim kadashan unategemea niniUnasema kwamba wanawake wote wakisuka wanapendeza? Ila umeshakiri hapo chini kwamba inategemea na msuko that means kusuka haifanyi mwanamke apendeze
Kuna vituko tunakutana navyo barabarani huko unabaki unacheka tu
Kusuka asuke nywele Asili sio haya makatani kichwani nywele fakeAah tatizo unawalinganisha na kina Priyanka Chopra, na kina kim kadashan unategemea nini
Akisimama at her own lane she is beautiful π
Kwenye tabia hapo hapana,wengi wanakuja mjini wakiwa na tabia nzuri tu,wakishapanga maisha yanawapiga na wanaishia kwenye umalaya.Unamjua Mkuu watu wana genaralized mambo hawajui Hali halisi za Watz hasa wakiwa mijini Kama Daslama mtu Ndugu anao yes lakini wapo hoi hata Sehemu ya kulala Hakuna achilia Mbali chakula
Demu/ Mwanamke kuamua kupanga ni startup nzuri ya kujitafta swala kuangukia Katika umalaya ni pale tu kukosa MAARIFA sahihi ya kujiendesha . Na tabia binafsi za mtu.
Hata wake za watu wanafanya umalaya Sana kuzidi hata haoKwenye tabia hapo hapana,wengi wanakuja mjini wakiwa na tabia nzuri tu,wakishapanga maisha yanawapiga na wanaishia kwenye umalaya.