Ni wivu tuNaombeni mtujibu
Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.
Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.
Vibabu vinahitaji care yetu, ni kuvidekeza tu hadi vijione vitoto.Nakazia[emoji122]
Mama Kurwa na Doto sio? Miss TanganyikaTunawachukulia kuwa mnakimbilia mali /urithi kama nanii (mama wawili)
Kausha bhana[emoji40][emoji40][emoji40]Mama Kurwa na Doto sio? Miss Tanganyika
Ahahhaah sawa ticha [emoji3]Unakichwa kigumu hufundishiki sio Siri ni siti.
AiseeNi wivu tu unawasumbua, watuache na vibabu vyetu tuvipeti peti.
Wazee hatuna makuuNaombeni mtujibu
Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.
Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.
Mnafata maliNaombeni mtujibu
Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.
Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.
Kabisa kama saa hizi mshashiba mshalala zenuWazee hatuna makuu
Mnafuata mali bila kuwapenda mwisho wa siku mnaanza kuchepuka kwa vijana wenzenu kitu kinapelekea muwaue baba zetu kwa stressNaombeni mtujibu
Watu wazima wana shida gani? Sheria inasemaje? Age gap ya mume na mke iwe miaka mingapi? Hawa wazee mnataka tumuachie nani? Na age mate wetu tutawatoa wapi mnajua tulizinguliwa kivipi kabla ya kukutana na hawa masweet baby wetu? Ooh watakufa soon, hakuna ajuae siri ya kifo kila mtu atakufa kifo hakichagui mtoto, mzee au kijana.
Ooh tumefata hela mnajua account zao? Hii dunia iko huru ni vema kila mtu afate maisha yake.