Mkuu, rejea vilio vya wanaume kusalitiwa, kutapeliwa, kutelekezwa n.kHiko kisasi anakifanyaje kwa huyo mwanaume mwingine?
Nimecheka ile mbaya mpaka watu wamenishangaa hapa Hao ndio wanawake mkuuHata kama nyumba umeikuta bado utaihesabia kuwa ni yako?
Nakazia hapaHicho nikipande Cha chuma Lazima kifuate sumaku
We ni ke au me?ajira gani wakati wanawake siku hizi wana miradi yao, huoni VICOBA na vikundi vyao vya kupeana hela kwa zamu? pia angalia kwenye magenge maarufu kama soko mjinga wamejaa wenyewe watupu wanauza mbogamboga, matunda na vitu vingine
Hili pia lizingatiwe sana. Tusimtafute sana mchawi wa ndoa wkt uchawi upo hapa. Wamasai bado wanaishi na mentality hiiNdoa zilikua zinaenda sambamba na mfumo dume , kama mfumo dume hakuna na ndoa lazima zife tu.
Kabisa mkuu japo mimi kama baba wa mtoto wa kike, sikubaliani na baadhi ya condition za mifumo dumeπ€Hili pia lizingatiwe sana. Tusimtafute sana mchawi wa ndoa wkt uchawi upo hapa. Wamasai bado wanaishi na mentality hii
Hii kauli huwa inanikera sana kutoka kwa wanawake hawajui tu na nilivyo siipendi ndiyo Mungu nae ananikutanisha na wanawake wengi sana wenye huu msimamo kwa waume zao... Hata huyu wangu ameshawahi kunitamkia hiyo sentence "ilinikata sana" na kuniwekea kovu ambalo sidhani kama nitaponaMara nyingi nimeshuhudia kwenye arguments za wana ndoa kuhusu mipango ya kimaendeleo.
Utamskia mwanamke akimuambia mume wake "sasa ukifa mimi na watoto tutaishije?"
Yani wao wanajiweka wa mwisho kufa.
Mbona Kuna wengine wameolewa wanazini? Na wengine tunawamega kimya kimya?MKwasababu wamechoka kuzini
Kwasababu hao ni wengineMbona Kuna wengine wameolewa wanazini? Na wengine tunawamega kimya kimya?
Siku hizi kuolewa ni ajira isiyokuwa na Job DescriptionHii imekaaje? Wanawake wanang'ang'ania sana kuolewa hata ikibidi kutumia uchawi na kulazimisha ilimradi tu waolewe.
Hii ni biashara ya ulanguziDaaaaahhh huzuni sana.
Yaani mambo yote hayo anafanyiwa kwa malipo ya mbunye tu?
Unfair trade.
Hii ya Wadada kutaka kuolewa hata mke wa pili iko sana.ndoa ni heshima kubwa mno miongni mwa jamii,
inawaumiza na kuwasinonesha sana, yaani wanaviona vidada vyenzao vya kawaida tu ila vinajiheshimu vimeolewa, hivi sasa vinawatoto na maisha yao ya ndoa ni shwari kabisa,
huku wao pisi kali za maana kabisa , umri unasonga sana, p2 zinewachosha na kuwafubaza na makeup karibia imeanza kuwagomea, ndiyo sasa wanaanza kuchangamsha miguu hadi kwa ndumba, ukiachilia mbali kwenye maombi na maombezi ,
dada yuko tayari kuolewa hata mke wa sita bila mahari dah π π
TURUHUSU TUKUJENGEE MNARA MKUUNdoa ni ajira kwa mwanamke ndugu yangu divisheni foo yani hapo mwanaume unakuwa umemsaidia
1.Makazi
2.Chakula
3.Mavazi
4.Afya akiugua
5.Ulinzi na usalama
6.Watoto na heshima
7.Usafiri akitaka kusafiri
8.Ukifa anarithi Mali zote
9.na unaweza kumfungulia biashara yake
Yote hayo utayafanya in exchange of sex
ni somo na darasa kwa hawa wa sasa but hawataki kujifunza sielewagi kwanini,Hii ya Wadada kutaka kuolewa hata mke wa pili iko sana.
Lakini majority ni wale waliokuwa wala bata wanahongwa sana na vibosile sasa uzuri umeshaanza kupungua soko limeshuka.
Inasikitisha sanani somo na darasa kwa hawa wa sasa but hawataki kujifunza sielewagi kwanini,
unakuta katoto kadogo tu, tena kwa mapozi yote kanaringa kweli kutembea na mbaba mtu mzima mwenye mke na familia yake,
huku anamkataa kijana mwenzake mwenye nguvu zaid..
akija kufika 35, kachakaa hadi anajichukia mwenewe, akitazama nyuma hamuoni hata kijana moja anaemfuatilia, wakati huo huyo mbaba hajiwezi tena,
inatia huruma sana aisee π
Huu ni Utaalamu UliotukukaWanataka usalama ( tulizo la kihisia tu ) wanawake wengi hawana hulka ya kutanga tanga na kila mwanaume ni shida tu haina adabuπ€π€π€
N nature napia wameamnishwa ww mwenyw kama unayo bnt yako kashakuwa mtu mzm labda kafksha 27 plus lazma umwambie vp ujaona tu? unazeeka usje ukawa ajuza ujaolewa itakuwa, n fedhea so mwanamke anaamn na yy lazma azae aendeleze kzzaHii imekaaje? Wanawake wanang'ang'ania sana kuolewa hata ikibidi kutumia uchawi na kulazimisha ilimradi tu waolewe.
Wengine wanakesha makanisani wanagaragara madhabahuni wakiombewa wapate ndoa.
Wanapambana na kung'ang'ana vibaya mno kwanini?
Huko kwenye ndoa kuna nini haswa kinachofuatwa kwa nguvu kiasi hicho?
Ndoa ni Muunganiko wa hiari wa watu wawili waliopendana, lakini haya mambo ya KUFOSI yananitisha?
Shida ni nini? Ni hamu ya kushenyentwa? Au ni hamu ya kuzaa? Au ni njia ya kusaka ugali?
Kama ndoa ni nzuri sana kwa pande zote mbili, mbona sionagi wanaume wakihaha makanisani kutafuta wanawake wa kuoa?
Sijawahi kuona dume linaombewa kanisani ili lipate mke!
Wengine mpaka wanapakwa mafuta ya upako ili waolewe.
Hii imekaaje?