Kwanini wanawake wanang'ang'ania sana ndoa?

Ni mfumo ndio unataka hivyo wenyewe wanasema "anything with penis can be fooled"
Sasa we angalia kwenye kutongoza hata mwanamke ajilengeshe vipi kwako siku ya kukutana lazima gharama zitakuwa upande wako
We are programmed
Itategemea mnakutana wapi!Akija ghetto/kwako akipika na ukamlala kuna gharama zipi za kutisha? Acheni kuvimba kishamba ili muonrkane mnazo
 
Mkuu lengo siyo kutombesha bali mnatulaghai kwamba ndiyo mtakua wenzi wa maisha, kumbuka watu uliowa... kwa kigezo kwamba utawaoa,je uliwaambia ukweli kwamba no future? Unahisi wangekukubalia kama ungewaambia?
Mbona mnatombesha hata kwa waume za watu? Kwa nini mnakuwa na mabwana zaidi ya mmoja? Kwani huwa mnabakwa?
 
Ila haya maisha
 
Aisee 🤔
 
Kwanini mnatumia lugha ambazo hazina staha
 
hapa ni asilimia moja Kati ya Mia ya wanawake wanao jiweza na wanatokea ushuani,

Ila 99% ya wanawake hawana faida kwa wanaume mbali na kusex ambayo tuna enjoy wote

Kataa ndoa ndoa ni utapeli.
 
Daaaaahhh huzuni sana.

Yaani mambo yote hayo anafanyiwa kwa malipo ya mbunye tu?

Unfair trade.
Sio hivyo mkuu pia hata sisi wanaume pia ili tupate utulivu ndio tunakua na wao na kutimia hasa kwa mwanaume ni kua na mke kipimo kikubwa kua kiongoz bora kila mmoja ana faida kiupande wake utulivu wetu sisi unatokana na wao
 
Hii sayansi mm mwenyewe nimeshindwa kwakweli sijui baadhi ya mabinti wanawazaga nini, wakiwa in their prime years, mara nyingi kama kama sio kutembea na mme wa mtu, ni bodaboda mla mirungi na bangi Tlaatlaah
 
kushenyentwa maana yake nini?

Naona hilo linatumika sehemu mbalimbali
 
Tafsiri ya Ndoa ni nini? - ndo inawasumbua wanawake wa kileo.

Maana unakuta binti ana wanaume 5 na anafanya nao ngono - bado analilia ndoa.

Binti Anayeishi na mwanamme tiyari- naye analilia ndoa.

Yaani unashindwa kuelewa ndoa ina maana gani kwao?
Ndoa ya cheti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…