Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
- Thread starter
- #61
Ambao washa-date nae nao wanakushangaa kwanini unafikiri anafaa kuolewa.Kuna pisi kali hata mimi nashangaa kwanini hajapata kolo wa kumuoa hadi leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ambao washa-date nae nao wanakushangaa kwanini unafikiri anafaa kuolewa.Kuna pisi kali hata mimi nashangaa kwanini hajapata kolo wa kumuoa hadi leo.
Defensive mechanism. For what do you deserve better than others.Hakuna lolote mnatuogopa tu
Mnahisi tuna deserve better
Ndo ninachojaribu kukuambia;Mkuu embu tuwaweke kwenye kinyang'anyiro cha uzuri paula kajala na mwasiti almasi unafikiri nani atapata kura nyingi
🤣🤣🤣Nimesema kwanini hamuolewi, sio kwanini hamtombwi.. elewa context ya mada.
Kwani hao wanawake akili hawanaIla saa nyingine hawa wanawake wazuri hua tunawaonea tuu.. sasa imagine mwanamke mzuri kila siku anatongozwa mara 50 - 100, kweli ataweza kukataa mara zote? Na sisi wanaume pia tunachangia maana kila mwanamke mzuri tukimuona lazima tuanze kumshobokea, kuomba namba na kutongoza.
We unadhani ataachaje kuharibika..? 🤔
Hakuna asiefaa kuoelewa, ataolewa tu.Ambao washa-date nae nao wanakushangaa kwanini unafikiri anafaa kuolewa.
Mkuu mwanamke mzuri anajulikana kabisaNdo ninachojaribu kukuambia;
Hata kama mmojawapo hapo atapata kura nyingi, haimaanishi mwenzake atapata kura sifuri.
Sijui unanielewa?
Binafsi sivutiwi na hata mmoja hapo
Mimi sioni mzuri hapo.Mkuu mwanamke mzuri anajulikana kabisa
Watoe wapi?Kwani hao wanawake akili hawana
Pundamilia Warembo wapo wanazurura porini. Punda wenye sura ngumu, wapo mjini wanakula maisha!Wewe jiulize kwanini punda milia yupo porini na punda kihongo tunaishi nao...
Sio wajinga hao wanakijua wanachokifanya, wanazijua character za wanawaovulia chupi. Hayo mazingira ya kutongozwa wanayatengeneza wao wenyewe, mtego huo mzee mwenzangu.Ila saa nyingine hawa wanawake wazuri hua tunawaonea tuu.. sasa imagine mwanamke mzuri kila siku anatongozwa mara 50 - 100, kweli ataweza kukataa mara zote? Na sisi wanaume pia tunachangia maana kila mwanamke mzuri tukimuona lazima tuanze kumshobokea, kuomba namba na kutongoza.
We unadhani ataachaje kuharibika..? 🤔
kwahyo nawe mzuri?Hakuna lolote mnatuogopa tu
Mnahisi tuna deserve better
Sawa, kwa hao wawili unafikiri nani atapata kura nyingi?Ndo ninachojaribu kukuambia;
Hata kama mmojawapo hapo atapata kura nyingi, haimaanishi mwenzake atapata kura sifuri.
Sijui unanielewa?
Binafsi sivutiwi na hata mmoja hapo
Ndio hayo mazuzu tunatakiwa kuyasanua, tusifurahie aibu za wanaume wenzetu.Hakuna asiefaa kuoelewa, ataolewa tu.
Mazuzu hayajawahi kuisha.
Paula, si mweupe huyoSawa, kwa hao wawili unafikiri nani atapata kura nyingi.
Ndio hayo mazuzu tunatakiwa kuyasanua, tusifurahie aibu za wanaume wenzetu.Hakuna asiefaa kuoelewa, ataolewa tu.
Mazuzu hayajawahi kuisha.
Now we are talking.Paula, si mweupe huyo