Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

Hao unaojidai "Waislam" ulio "date" nao, ni Waislam jina tu au hizi ni porojo za kujitungia tu. Hakuna Mwanamke wa Kiislam mwenye kufata maadili ya Kiislam anaeweza ku "date" na yeyote yule. Huo ni uasherati na uzinzi na unataka kujaza watu ujinga.

Hvi mwanamke anaejitambuwa, awe Muislam asiwe Muislam ana "date" ili iweje? Kama si uasherati na uzinzi tu ni nini zaidi?

Kwa maana hii, hata mwanamme wa Kiislam na asie Muislam ana "date" ili iweje?

Anaeshabikia nyuzi kama hizi ni shetani tu, usiingize mambo ya dini kwenye ushetani wako.
Utamuoaje mwanamke bila kwanza uishi nae ili umjue zaidi
 
Kuna nini tena huku? Mahaba yenu mie hayanifai maana kumbe kidume ukioa wake wanne huruhusiwi kulala nao kwa wakati mmoja wakati mie nilijua unakuwa unajipigia fivesome ga ukweli kwa raha zako
Hahahahahaha
 
Hao unaojidai "Waislam" ulio "date" nao, ni Waislam jina tu au hizi ni porojo za kujitungia tu. Hakuna Mwanamke wa Kiislam mwenye kufata maadili ya Kiislam anaeweza ku "date" na yeyote yule. Huo ni uasherati na uzinzi na unataka kujaza watu ujinga.

Hvi mwanamke anaejitambuwa, awe Muislam asiwe Muislam ana "date" ili iweje? Kama si uasherati na uzinzi tu ni nini zaidi?

Kwa maana hii, hata mwanamme wa Kiislam na asie Muislam ana "date" ili iweje?

Anaeshabikia nyuzi kama hizi ni shetani tu, usiingize mambo ya dini kwenye ushetani wako.
Wewe naye zilipendwa tu, mfia uislamu tu huna la ziada. Dini ya mwarabu inakupasua kichwa kwanini..?
 
Mbona ndio wanaongoza kwa kuachika?
Kuachika ni jambo la kawaida maana atujui nini kimesababisha waachane hata kwenye dini yetu ya kikristo ingekuwa inaruhusu watu kuachana nazani watu wangeachana wengi Sana sema tunavumiliana kwasababu ya dini kutubana.Jitahidini dada zangu nanyi muwe na mahaba na wanyenyekevu kwa wenzao wenu mkiwa na hivi vitu tusingekuwa tunasumbuka kuwa na mahusiano na Waislamu.
 
Hizi promo mnazotumia nguvu kubwa saaana hamna tofauti na jinsi Ke inayopambana kujitangaza kupitia mashirika mbali mbali duniani kuwa wakiwezeshwa wanaweza na pia wana haki sawa na Me.

Kwanini msiache vijiuze vyenyewe huko mitaani badala ya kuja kuvitangaza humu mitandaoni [emoji848][emoji23]
Ntaretrieve kitu ili nione mizania katika maudhui na uhuru wa maudhui kama hosts wanabalance
 
Kuachika ni jambo la kawaida maana atujui nini kimesababisha waachane hata kwenye dini yetu ya kikristo ingekuwa inaruhusu watu kuachana nazani watu wangeachana wengi Sana sema tunavumiliana kwasababu ya dini kutubana.Jitahidini dada zangu nanyi muwe na mahaba na wanyenyekevu kwa wenzao wenu mkiwa na hivi vitu tusingekuwa tunasumbuka kuwa na mahusiano na Waislamu.
Haya tuchukue mfano wa mtu aliyezaliwa na kukulia kwenye uislam kisha akaolewa na mkristo na kubadilisha dini. Hapo tabia yake nayo itabadilika?

Kuhusanisha tabia za watu na dini ni sawa na kuchanganya mlenda na pilau. Havihusiani kabisa ni wewe tu na mentality yako ya kijima
 
Kwasababu ya kufatilia kwa ufasaha mafundisho ya Qur'an tukufu pamoja na sunna za mtume Muhammad S.A.W.

Quran imeweka bayana kua mwanamke siku zote atakua chini ya mwanaume. Ndoa yoyote ya mwanamke kua juu au kua sawa na mwanaume automatically upendo hupungua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Qoroan inawaruhusu kufanya ngono kabla ya kuolewa?
Maana umesema wanafuata mafundisho
 
Umetumia vigezo gani nipo MBEYA MJI WA KIMALEZI YA KIKRISTO TANZANIA.

Singo maza mtaani utitiri.


Hawajui 50/50 mahususi katika nini?
Yote ni sababu ya 50/50.
Umeshasema Mbeya tayari kwa hiyo jibu unalo, sijawahi kuona mkoa wenye mazezeta kama huo. Kibaka akipatwa na nyege ghafla anafungua kanisa na mazezeta kibao wanajazana kwenda kuchezewa akili na mwisho wa siku wanazalishwa na huyo Kibaka ajiitaye Mchungaji. Mbeya ni mkoa uliolaniwa, wachawi wao, mazezeta wa dini ni wao.....yaani basi tu.
 
Habari wanajf wenzangu

Hili swali nimekuwanikijiuliza Sana bila hata kupata majibu.

Binafsi mimi ni mkristo na nimedate na wanawake 8 mpaka right now na katika hao wanawake 8 niliwahi kudate nao wanawake ambao nimefurahia mahusiano nao ni wanawake wa5 tu na katika hao 4 ni wakislamu na 1 ndio mkristo mwenzangu.

Vitu nilivyogundua kwa wanawake wengi wakislamu angalau unakuta wanaheshima Sana, wavumilivu especially ukiwa umefuria kwa kipindi fulani na kitu zaidi na kwangu ni kikubwa hawa watu wanamahaba Sana.

Mfano mzuri huyu mwanamke niliyonae sasa hivi ni mwislamu, ndugu ndugu ninapata mahaba ambayo sijawahi kupata kwa mademu wakikristo.

Nikifika home kwenye mishe zangu navuliwa shati, nafuliwa nguo na kupigiwa pasi,nalishwa, sipangiwi kupiga papuchi napiga ninavyotaka mimi na kingine zaidi ambacho hiki kidogo sijakikuta hata kwa mademu wa kislamu wenyewe ni kufanyiwa massage yaani ni hatari.

Shida ya wanawake wakikristo wanakwama wapi kwanini wengi wao hawana mahaba kama hawa kislamu.

Wataalamu naomba mtusaidie.
Demi
Sky Eclat
DeepPond
binti kiziwi
joseph1989
to yeye
rikiboy
Dr Dre
singojr
Statistics
Usher-smith MD
Mshana Jr
Liverpool VPN
Yna2
I LOVE GIRLS
Kunguru wa Manzese
Unaongelea madhaifu ya wanawake wa kikristo alafu hapo hapo unasema ume date na mmoja tu, ss hapo nguvu ya kukosoa unaitoa wapi?

Ok, kwa experience yng naona wanawake wengi wa ss hawana utofauti mkubwa japokuwa kwa ninavyoona mm wanawake wengi wa kiislamu huwa ni waongo, wasio na mapenzi ya dhati na wabinafsi. Hii yote ni kutokana na ukweli kwamba wengi wao wanatokea familia duni hivyo kulazimika kutokuwa na upendo.

Njaa ni mbaya sn, na hii ndiyo inayosabanisha waafrica wengi kutokuwa na mapenzi ya dhati.
 
Back
Top Bottom