Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

Kwahio yeye hajaajiriwa/hajajiajiri na hivyo kila ukirudi home unamkuta anakusubiri kwa mapokeszi hayo!!!🤔
Yeye anafika home mida ya 1 au Mara nyingine ni saa 2 usiku anafanya kazi na ni muajiriwa wa Serikalini lakini mimi nafika home saa 5 au sometime saa 6 usiku
 
Sasa wao field wanafanyia wap c ndo kwenye kudate ili akiolewa aende kufanyia kaz experience aliyonayo
Hiyo ni nje ya utaratibu au sheria za dini,zinaa ni haramu,
Zinaa ni kitendo cha kufanya ngono na mtu ambaye sio mkeo au sio mumeo,

Hayo ni maneno ya vitabu vya dini na sio maneno yangu.
 
Mbona umeshaonesha dini gani ni nzuri na gani mbaya??
 
Wahenga walisema "siku ukimjuwa mwanamke ndiyo siku yako ya kufa".

Ikiwa unadhani au unafikiri kuwa utamjuwa mwanamke basi elewa kuwa unajisumbuwa nafsi yako, hutoweza kumuelewa mwanamke maisha yako yote.
Kwahiyo unataka nikishaonana na mwanamke nikimpenda kesho yake nifanyaje process ya kumuoa au sio?
 
Usisahau wao majini ni ndugu zao. Uenda ukawa unaishi na jini maimuna
 
Kama nitaoa basi nitaoa mwanamke aliyekuzwa kwenye mfumo wa kiislamu..japokuwa mimi ni Mgalatia.
Kitu namba 1 ninachowapendea ni mbinu za kuchepuka.
Anakupa laini iliyosajiliwa kwa jina la rafiki yake,Mkichat anakuita Shoga (Inabidi ukubali tu kuitwa Shoga huna namna)
Akikutumia ujumbe FY maana yake Fala yupo.
 
Mkuu ni malezi tu kuanzia ngazi ya familia na jamii inayomzunguka mathalani wanawake wengi wa mikoa ya Morogoro, Tanga, Pemba, Unguja na Pwani wa dini zote wakikristo na wakislamu wote ni mafundi na mahodari wa mapenzi.
 
Sababu Ktk Uislamu mwanamume anaruhisiwa kuoa mke zaidi ya mmoja, hivyo wake wa kiislamu wanajitahidi kuwanyenyekea waume zao ili wasiongeze wake wengine japo dini yao inaruhusu na km tayari wako wengi basi atanyenyekea sana ili kuvutia kwake.Kwa Upande wa Wakristo,si kweli kwamba Wanawake hawawanyenyekei waume zao, najua wapo japo sio wote;Hao ambao hawawanyenyekei waume zao itakuwa kwasababu wanajua waume zao hawawezi kuongeza wake wengine kwasababu Dini hairuhusu jambo hilo.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Uje ujichanganye uangukie kwa kina Aminata utajuta


Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Umesahau pia, wanaachika sana
Mademu wawili wa familia moja nimekuwa nao kitaa,ambao miaka minne iliyopita walio olewa ndani ya mwaka mmoja alianza mdogo mtu akafuatia dada yake. Mdogo wake kaachika mwaka jana ila mwaka huu kaolewa na dada mtu kaachika mwaka jana.

Hapo sijawazungumzia wanangu wa kitaa wanao oa na kuacha, kuna mwamba hajavuka hata miaka 32,kishaoa na kuacha mara tatu.
 
Afadhari umemshushua huyu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Safi sana bibi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…