Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

Kwanini Wanawake wengi wa Kiislamu wana mahaba na wanyenyekevu kwa wenza wao tofauti na Wakristo?

Jitahidi muwe na mahaba na wapenzi wenu au Mume Zenu ili umpunguze kulalamika kuchitiwa kuna wanawake wengine wanajua kutunza watu wao vizuri mpaka kuna wakati unajihisi upo dunia tofauti
Wameoa wa4 wa4 weeee, wameona haijasaidia kitu.sasa wameamua kuwafanyia promo angalau wapungue pungue mtaani. Si mnasemaga kila mtoto anazaliwa na riziki yake? Sasa mnalia lia nini?. Waoweni hao wenu wanaojua mahaba, hawa wetu wasiojua tuachieni wenyewe.
 
Habari wanajf wenzangu

Hili swali nimekuwanikijiuliza Sana bila hata kupata majibu.

Binafsi mimi ni mkristo na nimedate na wanawake 8 mpaka right now na katika hao wanawake 8 niliwahi kudate nao wanawake ambao nimefurahia mahusiano nao ni wanawake wa5 tu na katika hao 4 ni wakislamu na 1 ndio mkristo mwenzangu.

Vitu nilivyogundua kwa wanawake wengi wakislamu angalau unakuta wanaheshima Sana, wavumilivu especially ukiwa umefuria kwa kipindi fulani na kitu zaidi na kwangu ni kikubwa hawa watu wanamahaba Sana.

Mfano mzuri huyu mwanamke niliyonae sasa hivi ni mwislamu, ndugu ndugu ninapata mahaba ambayo sijawahi kupata kwa mademu wakikristo.

Nikifika home kwenye mishe zangu navuliwa shati, nafuliwa nguo na kupigiwa pasi,nalishwa, sipangiwi kupiga papuchi napiga ninavyotaka mimi na kingine zaidi ambacho hiki kidogo sijakikuta hata kwa mademu wa kislamu wenyewe ni kufanyiwa massage yaani ni hatari.

Shida ya wanawake wakikristo wanakwama wapi kwanini wengi wao hawana mahaba kama hawa kislamu.

Wataalamu naomba mtusaidie.
Demi
Sky Eclat
DeepPond
binti kiziwi
joseph1989
to yeye
rikiboy
Dr Dre
singojr
Statistics
Usher-smith MD
Mshana Jr
Liverpool VPN
Yna2
I LOVE GIRLS
Kunguru wa Manzese
Oweni hao wenu wanaojua mahaba, hawa wetu wasiojua tuachieni wenyewe.
Habari wanajf wenzangu

Hili swali nimekuwanikijiuliza Sana bila hata kupata majibu.

Binafsi mimi ni mkristo na nimedate na wanawake 8 mpaka right now na katika hao wanawake 8 niliwahi kudate nao wanawake ambao nimefurahia mahusiano nao ni wanawake wa5 tu na katika hao 4 ni wakislamu na 1 ndio mkristo mwenzangu.

Vitu nilivyogundua kwa wanawake wengi wakislamu angalau unakuta wanaheshima Sana, wavumilivu especially ukiwa umefuria kwa kipindi fulani na kitu zaidi na kwangu ni kikubwa hawa watu wanamahaba Sana.

Mfano mzuri huyu mwanamke niliyonae sasa hivi ni mwislamu, ndugu ndugu ninapata mahaba ambayo sijawahi kupata kwa mademu wakikristo.

Nikifika home kwenye mishe zangu navuliwa shati, nafuliwa nguo na kupigiwa pasi,nalishwa, sipangiwi kupiga papuchi napiga ninavyotaka mimi na kingine zaidi ambacho hiki kidogo sijakikuta hata kwa mademu wa kislamu wenyewe ni kufanyiwa massage yaani ni hatari.

Shida ya wanawake wakikristo wanakwama wapi kwanini wengi wao hawana mahaba kama hawa kislamu.

Wataalamu naomba mtusaidie.
Demi
Sky Eclat
DeepPond
binti kiziwi
joseph1989
to yeye
rikiboy
Dr Dre
singojr
Statistics
Usher-smith MD
Mshana Jr
Liverpool VPN
Yna2
I LOVE GIRLS
Kunguru wa Manzese
Oweni hawa wetu wanaojua mahaba ,wale wao wasiojua mahaba tuwaachie wenyewe. Promo ikizidi sana tutaharibu mpango wetu wa siri tunaoendelea nao.
 
Oweni hao wenu wanaojua mahaba, hawa wetu wasiojua tuachieni wenyewe.

Oweni hawa wetu wanaojua mahaba ,wale wao wasiojua mahaba tuwaachie wenyewe. Promo ikizidi sana tutaharibu mpango wetu wa siri tunaoendelea nao.
Hapa hatupo kwenye ushindani wa kidini ila nimeleta hii mada ili tuijadili kuhusu swali langu la msingi nililouliza mdau na wewe ungetoa Maoni yako kuliko kuhusu vitu ambavyo havipo mbona mada imejieleza vizuri inakuaje wewe unashindwa kuielewa?
 
Bahati mbaya unakutana na malaya ndo matokeo yake.
Pili nawe Mungu alisema atakupatia wakufanana nae sasa wewe umejihusisha na mahusiano 8 na hujaoa sasa unapatiwa wanaofanana nawe. Soma biblia vizuri mkuu
 
Huu uzi ni kama vile umepika chakula chako halafu ukakiweka vizuri, Kisha mtu akaja akakidoka.

Halafu anakuja kukusifia kuwa chakula ulichopika ni Kitamu, unajua kupika.

Sasa hapo uamuzi ni wako, ima umchekee eti amekusifia au umpige makonzi kwanini amedokoa chakula chako.

Huyu jamaa anasifia mabinti wa kiislamu lakini baada ya kufanyanao maovu na machafu.
Mzinifu tuu huyu asilete stori zake za nyan kula mahindi. Wanawake nane na hajaoa hata mmoja
 
Hapa hatupo kwenye ushindani wa kidini ila nimeleta hii mada ili tuijadili kuhusu swali langu la msingi nililouliza mdau na wewe ungetoa Maoni yako kuliko kuhusu vitu ambavyo havipo mbona mada imejieleza vizuri inakuaje wewe unashindwa kuielewa?
Kuelewa kitu gani?? Wewe ndiye uliyedate na hao 8. Uzuri ubaya uliyeuona ni wewe. Kwa nini kutaja dini za watu kwenye uzinzi wako? Ungemchagua anayekufaa na kuendelea naye kimya kimya kingeharibika nini? Tafakari chukua hatua.
 
Anacho sema mdau ni kweli wanawake wa kikristo ni wabishi na ni vigumu sana kuwafundisha na lingine ni usafi wa ndani ya mwili wanacho jua ni usafi wa nje tu na ndio maana wengi wamebandika kucha za bandia sasa unajiuliza tu mtu ameweka kucha ndefu za bandia anajisafishaje? Kwenye k yake??

Sent from my ONEPLUS A3003 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo hakuna wanawake wa Kisilamu waliobandika kucha za bandia?
 
Waislam mafundisho Yao yamewapa nafasi ya uongozi wanaume na kuheshimika. Hivyo Mwanaume kwenye Uislam ni mtu wa thamani haijalishi mkubwa au mdogo. Hata mirathi Mwanaume anapata kingi kuliko mwanamke. Hakuna 50/50. Kwa wakristu 50/50 ambapo jeuri viburi hawana unyenyekevu kabisa.
 
Habari wanajf wenzangu

Hili swali nimekuwanikijiuliza Sana bila hata kupata majibu.

Binafsi mimi ni mkristo na nimedate na wanawake 8 mpaka right now na katika hao wanawake 8 niliwahi kudate nao wanawake ambao nimefurahia mahusiano nao ni wanawake wa5 tu na katika hao 4 ni wakislamu na 1 ndio mkristo mwenzangu.

Vitu nilivyogundua kwa wanawake wengi wakislamu angalau unakuta wanaheshima Sana, wavumilivu especially ukiwa umefuria kwa kipindi fulani na kitu zaidi na kwangu ni kikubwa hawa watu wanamahaba Sana.

Mfano mzuri huyu mwanamke niliyonae sasa hivi ni mwislamu, ndugu ndugu ninapata mahaba ambayo sijawahi kupata kwa mademu wakikristo.

Nikifika home kwenye mishe zangu navuliwa shati, nafuliwa nguo na kupigiwa pasi,nalishwa, sipangiwi kupiga papuchi napiga ninavyotaka mimi na kingine zaidi ambacho hiki kidogo sijakikuta hata kwa mademu wa kislamu wenyewe ni kufanyiwa massage yaani ni hatari.

Shida ya wanawake wakikristo wanakwama wapi kwanini wengi wao hawana mahaba kama hawa kislamu.

Wataalamu naomba mtusaidie.
Demi
Sky Eclat
DeepPond
binti kiziwi
joseph1989
to yeye
rikiboy
Dr Dre
singojr
Statistics
Usher-smith MD
Mshana Jr
Liverpool VPN
Yna2
I LOVE GIRLS
Kunguru wa Manzese
Ondoa huu ujinga kichwani mwako haraka sana kabla hujaja kujiua. Wasaliti wengi kwenye ndoa si ni hawa hawa kina Maimuna au ulikuwa hujuwi hili? Wanajifanya wapole na wana mapenzi ya ukweli ukiondoka tu wenzako wanakuja kulala kwenye kitanda chako huku wakichafua shuka zako.
 
Umesahau pia, wanaachika sana
Kuachika its part n parcel ya ndoa ya kiislamu...Milango iko wazi zaidi endapo mke atakuwa mkaidi na mkosa adabu tofauti na nyie wa bwana yesu asifiwe. Nyie kuachwa ni ngumu na ndio maana inawafanya wengi kuwa na jeuri
 
Back
Top Bottom