Kwanini wanawake wengi wa siku hizi wana makalio makubwa?

Kwanini wanawake wengi wa siku hizi wana makalio makubwa?

Dah ni hatari sana kwa kweli, majuzi tu nilikoswa koswa kugongwa na gari maeneo ya Magomeni , wanatuvuruga akili kwa kweli
Mzeya na experience yako yote bado unataka kugongwa kisa wezere
 
Yaani leo nipo kkoo katika wanawake 10 unaopishana nao basi 7 wamefungasha na wana mizigo kweli. Nini siri ya mafanikio? English figure zinaanza kupotea
Mchina hajawahi kushindwa ki2 labda kufufua mtu.
 
Huyu hatujui vizuri, hajui kuwa ile flat screen Tume I unga na king’amuzi cha Azam!
Huyu Mamndenyi nadhani hakujui vizuri. Ngoja nimwekee picha niliyokupiga jana wakati unaenda kwa mjumbe wa nyumba kumi kumshtaki wifi yako

1656869107633.png
 
Yaani leo nipo kkoo katika wanawake 10 unaopishana nao basi 7 wamefungasha na wana mizigo kweli. Nini siri ya mafanikio? English figure zinaanza kupotea
Sheikh Kipozeo anapatikana mitaa hiyohiyo check nae
 
Back
Top Bottom