Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzeya na experience yako yote bado unataka kugongwa kisa wezereDah ni hatari sana kwa kweli, majuzi tu nilikoswa koswa kugongwa na gari maeneo ya Magomeni , wanatuvuruga akili kwa kweli
Mchina hajawahi kushindwa ki2 labda kufufua mtu.Yaani leo nipo kkoo katika wanawake 10 unaopishana nao basi 7 wamefungasha na wana mizigo kweli. Nini siri ya mafanikio? English figure zinaanza kupotea
😂😂😂😂😂Huyu Mamndenyi nadhani hakujui vizuri. Ngoja nimwekee picha niliyokupiga jana wakati unaenda kwa mjumbe wa nyumba kumi kumshtaki wifi yako
View attachment 2280111
Mzeya na experience yako yote bado unataka kugongwa kisa wezere
Siku hizi ndio fashion, si tunahisi wana makalio makubwa [emoji28]Usije kuwa umeona vigodoro ni vingi sana
Wifi tena, bado ma mkwe,😂😂😂😂😂
Huo ndo mgogoro wa yanga, ngoja sasa yaanze kutepetaHuyu Mamndenyi nadhani hakujui vizuri. Ngoja nimwekee picha niliyokupiga jana wakati unaenda kwa mjumbe wa nyumba kumi kumshtaki wifi yako
View attachment 2280111
Huyo anayashindiya huko sinza
Sheikh Kipozeo anapatikana mitaa hiyohiyo check naeYaani leo nipo kkoo katika wanawake 10 unaopishana nao basi 7 wamefungasha na wana mizigo kweli. Nini siri ya mafanikio? English figure zinaanza kupotea
Yamekaa kama sonzoMengine ya sponchi mkuu. Ukitaka kujua angalia anavyotembea anajihami kugusana na mtu, Kama huamini siku moja jitoe akili ujikwae uguse hilo tako uone lilivyo baridi na linabonyea.View attachment 2048440