Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
😆😆[emoji38][emoji38] hii comment nimecheka Sana kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆[emoji38][emoji38] hii comment nimecheka Sana kwa kweli
Mkuu umenitoa kwenye reli kbs aiseMengine ya sponchi mkuu. Ukitaka kujua angalia anavyotembea anajihami kugusana na mtu, Kama huamini siku moja jitoe akili ujikwae uguse hilo tako uone lilivyo baridi na linabonyea.View attachment 2048440
Siyo kila unayemuona anaonekana kajaa kama baunsa kafanya mazoezi, wengine wamevaa sponjiMabrazameni wanavaaje waonekane wana body???
Nasikia ttcl haishiki nikwel?😅😂Siku hizi na wao wanakuja juu hawataki kupitwa.
Pia kuna kampeni kubwa sana inayapiganiwa kwa sasa ya matumizi ya line ya pili.
Hiyo ya makalio makubwa kwa wanaume umejisemea weweSio kwamba wanawake wa siku hizi wana makalio makubwa La hasha! ninachokiona na nilichogundua ni kwamba
Mavazi ya siku hizi yanawashika sana dada na mama zetu,watu hawavai nguo za kuachia tena siku hzi hata mmama akienda kwa fundi kushona Wanamshonea nguo imemshika.
kitu kinachopelekea maumbile yao yaonekane yajichore ndio mana unaona kama wanawake wana makalio.
Japo wapo wanayoyaongezea kuptia taiti zao ila ukweli mkubwa upo ktk mavazi yao.
Umeshawahi jiuliza kwann wanaume hawana Makalio makubwa? si kweli wanaume hawana makalio makubwa, ukweli ni kwamba wanaume hatuvai nguo za kubana bana.
Huu ni uchokozi [emoji23]Sio kwamba kuna kabila limeondoka dar ndio maana waliobaki unaona wote wana makalio makubwa?
Mbongo huyu ana asili ya hapo +250Aggy wa bongo analo zigo sikatai, lakini ni mfupi au mrefu wa wastani, sasa hilo jitu lilopanda juu namna hiyo labda Aggy wa Brazil!!
[emoji23][emoji23][emoji23] umeguswa na ujumbe nini?Huu ni uchokozi [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Unataka kuniambia ratio ya walioenda Kilimanjaro ni fifty-fifty na waliobaki???
Hapana [emoji23] mimi kwetu Mbeya ndugu[emoji23][emoji23][emoji23] umeguswa na ujumbe nini?
Kumbe watu wa Mbeya ndio mmebaki mjini! Ndio maana mleta mada kachanganyikiwa. [emoji23][emoji23][emoji23]Hapana [emoji23] mimi kwetu Mbeya ndugu
Usiwasahau Zena na tackle lake na Betina na flat screen lake! [emoji23][emoji23][emoji23]Cartoonists wa kibongo enzi hizo akina Ibra Washokera na wengine waliona mbali sana.
Huyi Aggy wa RwandaAggy wa bongo analo zigo sikatai, lakini ni mfupi au mrefu wa wastani, sasa hilo jitu lilopanda juu namna hiyo labda Aggy wa Brazil!!
Una uhakikaYaani huyu sio mtamu?[emoji849][emoji3064][emoji3064]View attachment 2048019
Yani akili zake hapo zipo kwenye hayo makalio hamna kingine anachowaza
pcha mkuuYaani leo nipo kkoo katika wanawake 10 unaopishana nao basi 7 wamefungasha na wana mizigo kweli. Nini siri ya mafanikio? English figure zinaanza kupotea
Kuna vigodoro siku hizi vinauzwa madukani humo pia kuna madawa ya mchina ya kuongeza makalio kwahiyo Sio ishu za kushangaa. Wenyewe wanawake wanashaurianaYaani leo nipo kkoo katika wanawake 10 unaopishana nao basi 7 wamefungasha na wana mizigo kweli. Nini siri ya mafanikio? English figure zinaanza kupotea
Labda!!Huyi Aggy wa Rwanda