Kwanini wanawake wengi wa siku hizi wana makalio makubwa?

Kwanini wanawake wengi wa siku hizi wana makalio makubwa?

Unajidanganya tu mkuu .. hayo matako tukiyavua nguo Yana mamichilizi sana , mengine ni makubwa na yanavutia , Ila wengi ni sabab ya kutembea uchi na kuvaa vimini , hii hufanya sis kuzingatia mambo yao Zaid , Ila hawajawazid chochote wanawake wa zaman na mama zetu Zaid ya kutuonesha mapaja tu, mama zetu ni warembo katika umri wao kuliko wao Sasa, dada zetu na wadogo zetu wa kike ni wazuri kuliko wao ambao wanajivunia urembo wa ngoz lain nyuma ya goti na mapaja ambayo inatufanya kuchanganyikiwa na tusizingatie nyuso zao na makeup zao Kama matope, hakuna maajab,
Yaani huyu sio mtamu?[emoji849][emoji3064][emoji3064]
Screenshot_2021-12-07-01-03-40-15.jpg
 
Ni mavaz yanachangia. Zaman wanawake walikua wanajistir so yalikua hayaonekani siku hz mtu anavyaa atakavyoamka hvyo ni rahis kuonekana misambwanda
 
Back
Top Bottom