Kwanini wanawake wengi wana wapenda wanaume wenye tabia hizi?

Kwanini wanawake wengi wana wapenda wanaume wenye tabia hizi?

1. Wanaume wajeuri (wasio na kibri) hawa wanawake huwapenda sana hapa mjini.

2. Wanaume wapambanaji (lakini hawajapata) hawa wanapendwa sana na Ke zinazo jielewa na huishi na kupendwa kwa hope.

3. Wanaume wakorofi (sio wakali) hawa pia wana miliki na kupendwa na vyuma vya hatari kivyede yani.

4. Wanaume wajanja (sio wajuaji) hawa wanaume wanapendwa na wanamiliki pis kali sana sana down town.

5. Wanaume mishen town/wazee wa mipango (sio matapeli) jamaa wanapendwa sana kuaminiwa na wanawake kinoma.

6. Wanaume wasafi (lakini hawana hela) hawa wanapendwa na wanawake na wanamiliki madem walio kwisha jipata mjini.

7. Wanaume janja janja (lakini sio waongo) hawa wanapendwa sana na wanamiliki unbelievable womans in town.

Huu ni utafiti na uzoefu wangu tangu nilipo jitambua.
Naomba kuwasilisha, na comments ziwe fupfupi ili tuokoe muda.
Sema hivi 80% ya wanawake mishine town na ndio waliofanikiwa uwa wanywaji wa pombe na starehe nyingine hivyo wao upendelea wanaume wanaoendana nao Kwa maana wahuni na mabishoo, Ila Kwa wewe swala Tano, mlokole, ustaarabu, mkalimu, mtiifu, na watu dizaini hii uwa hawapendwi .

wanawake Wa dizaini uliyotaja ni wapenda starehe hivyo ni vitu viwili tofauti, na ujue haya mambo kwako huwezi yaweza kama hulka yako si ya hivyo japo wanaume wengi uwa wanatamani bahati hizo ziwafikie lakini zitakufikiaje wakati club huendi,mziki huendi,pombe unywi Ni kujikubali tu.

Mala nyingi wanawake wahuni na waliochangamka mjini Kuna mambo mengi wanayajua kuhusu sex na starehe na ni viumbe vinapenda kufanyiwa vitu ambavyo mlokole huwezi fanya atasema uchafu,aibu,Dini hairuhusu.

Ila muhuni yeye anaongozwa na pombe,bhangi, na unga akiambiwa mi nataka hivi anafanya na anajiongeza Zaidi unakuta ndio maana wanawake Wa dizaini hii wengi wapo Kwa starehe TU mara chache ukute kazaa na huyo mtu.
 
Back
Top Bottom