Sema hivi 80% ya wanawake mishine town na ndio waliofanikiwa uwa wanywaji wa pombe na starehe nyingine hivyo wao upendelea wanaume wanaoendana nao Kwa maana wahuni na mabishoo, Ila Kwa wewe swala Tano, mlokole, ustaarabu, mkalimu, mtiifu, na watu dizaini hii uwa hawapendwi .
wanawake Wa dizaini uliyotaja ni wapenda starehe hivyo ni vitu viwili tofauti, na ujue haya mambo kwako huwezi yaweza kama hulka yako si ya hivyo japo wanaume wengi uwa wanatamani bahati hizo ziwafikie lakini zitakufikiaje wakati club huendi,mziki huendi,pombe unywi Ni kujikubali tu.
Mala nyingi wanawake wahuni na waliochangamka mjini Kuna mambo mengi wanayajua kuhusu sex na starehe na ni viumbe vinapenda kufanyiwa vitu ambavyo mlokole huwezi fanya atasema uchafu,aibu,Dini hairuhusu.
Ila muhuni yeye anaongozwa na pombe,bhangi, na unga akiambiwa mi nataka hivi anafanya na anajiongeza Zaidi unakuta ndio maana wanawake Wa dizaini hii wengi wapo Kwa starehe TU mara chache ukute kazaa na huyo mtu.