Kwanini wanawake wenye pesa hawadumu kwenye ndoa, wengi wao ni single mothers

Kwanini wanawake wenye pesa hawadumu kwenye ndoa, wengi wao ni single mothers

Anaona anakufanyia bonge la favor kukupanulia mapaja kila unapotaka so anatafta jinsi ya kukukomesha[emoji3][emoji3][emoji3]!

Hafui wala kupika na wengine wanajisifugi humu humu ati sifuagi kwa boyfrend kumbe ni livivu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee kizazi hiki ni hatari Chief

Kuna swali moja huwa najiuliza hivi kwa mfano mama yako mzazi anaumwa sana huko kijijini na hana mtu wa kukaa nae...means kumpeleka chooni, kumbadilisha nguo, kumlisha n.k

Hivi hawa wanawake wa sasahivi wanaweza kufanya hivyo kama wale wa zamani?

Atakubali umtoe mjini akamhudumie mama yako kijijini? [emoji23]
 
Those creatures are available in this world, only that connection I missing....

Na ikitokea umekutana na creatures ya namna hiyo (wife/husband material)...

Unakuta alishatendwa, kavurugwa na wakulungwa, hana matumaini tena, ukiamua kuendelea nae utafika ila utakuwa na kazi kubwa sana ya kumrejesha kwenye hali yake ya kawaida.....

Saa nyingine maisha sio kabisa.
maisha kama maisha, ni mtihani so much to be learned and experienced until you go six feet under.

Ila maumivu ya mapenzi hayasikii pain killers, pombe ata banghi. To be safe, dont hang with those you truly love (hypothesis)
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Tanga hamna Feminist kule ni mahabanist tu ndio wamejaa
Mikoa yote isiyo na wanawake wasomi Wengi haina Feminists wala Much know

Sasa Tanga, Kondoa au Singida kuna Wanawake wangapi Wanasheria au Wasomi hasa wanaoweza kujisimamia?

Na hao hasa lazima wawe Submissive kwa Waume zao

Elimu inampa Mwanamke Aggressiveness na Mara nyingine kiburi

Anaamini anaweza bila wewe
 
Aisee kizazi hiki ni hatari Chief

Kuna swali moja huwa najiuliza hivi kwa mfano mama yako mzazi anaumwa sana huko kijijini na hana mtu wa kukaa nae...means kumpeleka chooni, kumbadilisha nguo, kumlisha n.k

Hivi hawa wanawake wa sasahivi wanaweza kufanya hivyo kama wale wa zamani?

Atakubali umtoe mjini akamhudumie mama yako kijijini? [emoji23]
Kama unataka mamaako afe kwa haraka basi mpelekee slay queen akamuuguze. Wanawake wengi wa kizazi cha millenium ni heartless.
 
Mikoa yote isiyo na wanawake wasomi Wengi haina Feminists wala Much know

Sasa Tanga, Kondoa au Singida kuna Wanawake wangapi Wanasheria au Wasomi hasa wanaoweza kujisimamia?

Na hao hasa lazima wawe Submissive kwa Waume zao

Elimu inampa Mwanamke Aggressiveness na Mara nyingine kiburi

Anaamini anaweza bila wewe
Hata usukumani nako ni hivyo hivyo. Wanawake very submissive yani
 
Sio wote kama ambavyo sio wote makapuku wana tabia njema.

Naijua couple inaishi kwenye mansion ya mke,gari kila kitu cha mke ila huwezi kumuomba mke kitu chochote akakupa jibu limgine zaidi ya "Subiri kwanza niongee na baba fulani halafu nitakupa jibu".
Sio wa Rika la kizazi Cha Sasa, huyo mwanamke atakua wa enzi za nyerere
 
Aisee kizazi hiki ni hatari Chief

Kuna swali moja huwa najiuliza hivi kwa mfano mama yako mzazi anaumwa sana huko kijijini na hana mtu wa kukaa nae...means kumpeleka chooni, kumbadilisha nguo, kumlisha n.k

Hivi hawa wanawake wa sasahivi wanaweza kufanya hivyo kama wale wa zamani?

Atakubali umtoe mjini akamhudumie mama yako kijijini? [emoji23]
Usijaribu kufanya hivyo, atawahi kufariki hata kama muda ulikuwa bado, wanawake wa sasa wana manyanyaso sana pengine anaomba afe mapema ili apumzike
 
Back
Top Bottom