Kwanini wanawake wenye pesa hawadumu kwenye ndoa, wengi wao ni single mothers

Kwanini wanawake wenye pesa hawadumu kwenye ndoa, wengi wao ni single mothers

Hili halina ubishi mkuu, mtoto wakike aliekulia kwenye maadili na pesa ipo kwao, magari na majumba kawaida huwa wanakuja kuwa wake wazuri sana mbeleni. Hawanaga ulimbukeni wa kishamba wa pesa yani wala pesa huwa haziwapelekeshi sababu wamekuwa wanaziona.

Shida ni hawa ambao wanazaliwa hadi wanakuwa baba hajawahi kumiliki hata boda boda ndio matatizo. Yani yeye kakulia kwenye nyumba ya kupanga hadi anavunja ungo ndio wanahamia kwao. Hawa wanawake wa hivi ndio akija kuajiriwa akaja shika tuhela akamiliki hata ka IST anataka aishi maisha fake na kujionesha kuwa anazo, ushamba mwingi na ujuaji, kuiga iga lifestyle za watu mitandaoni. Hata akipata mwanaume hawezi tulia sababu ushamba wa kutaka kujaribu kila kitu unamzonga.
Katika makuzi yangu nime wahi date hizo type mbili, from humble family na from well off family. Unaonge ukweli kabisa. Waswahili wanasema masikini akipata matako hulia mbwata
 
Katika makuzi yangu nime wahi date hizo type mbili, from humble family na from well off family. Unaonge ukweli kabisa. Waswahili wanasema masikini akipata matako hulia mbwata
I made a vow sitaoa mwanamke ambaye mshamba na limbukeni cause i know the roots of it. Focus yangu imekuwa ni kulenga family ya aina hio humble and well off. Sipendelei kudate na pisi ambazo hazina chimbuko hilo thus why hata mizinga naiskiaga kwa majirani tu.
 
Hili halina ubishi mkuu, mtoto wakike aliekulia kwenye maadili na pesa ipo kwao, magari na majumba kawaida huwa wanakuja kuwa wake wazuri sana mbeleni. Hawanaga ulimbukeni wa kishamba wa pesa yani wala pesa huwa haziwapelekeshi sababu wamekuwa wanaziona.

Shida ni hawa ambao wanazaliwa hadi wanakuwa baba hajawahi kumiliki hata boda boda ndio matatizo. Yani yeye kakulia kwenye nyumba ya kupanga hadi anavunja ungo ndio wanahamia kwao. Hawa wanawake wa hivi ndio akija kuajiriwa akaja shika tuhela akamiliki hata ka IST anataka aishi maisha fake na kujionesha kuwa anazo, ushamba mwingi na ujuaji, kuiga iga lifestyle za watu mitandaoni. Hata akipata mwanaume hawezi tulia sababu ushamba wa kutaka kujaribu kila kitu unamzonga.
Kuna msemo unasema shika hela tujue tabia yako.Kuna msemo mwingine masikini akipata matako hulia mbwata. .
 
I made a vow sitaoa mwanamke ambaye mshamba na limbukeni cause i know the roots of it. Focus yangu imekuwa ni kulenga family ya aina hio humble and well off. Sipendelei kudate na pisi ambazo hazina chimbuko hilo thus why hata mizinga naiskiaga kwa majirani tu.
Hakuna kitu kinaudhi kama mizinga, yaani usiombe ukutane na demu ambaye anapiga mizinga 24/7 omba Mungu akuepushie mbali
 
Bad luck.....
Bahati mbaya sanaaa......
Sijui wengine ndo wanaita ku balance maisha......

Hao wanawake ambao ni humble, well raised, well mannered, not after money fully package house wife material..........

Wanakutanaga au wanadondokeaga kwa wanaume mabandidu, makatili, haijui thamani ya mwanamke, mgomvi, wanaume wasiojali for no reason......😔😔😔😔

And vice versa, mwanaume ambaye anajua kupenda na hata akiwa na hela zake, humble anajali mkewe anajali watoto most of time at home, anapataga mwanamke wa hovyoooo......☹☹☹

Sijui ndo msemo wa the world is not fair...🤔🤔
 
Bad luck.....
Bahati mbaya sanaaa......
Sijui wengine ndo wanaita ku balance maisha......

Hao wanawake ambao ni humble, well raised, well mannered, not after money fully package house wife material..........

Wanakutanaga au wanadondokeaga kwa wanaume mabandidu, makatili, haijui thamani ya mwanamke, mgomvi, wanaume wasiojali for no reason......😔😔😔😔

And vice versa, mwanaume ambaye anajua kupenda na hata akiwa na hela zake, humble anajali mkewe anajali watoto most of time at home, anapataga mwanamke wa hovyoooo......☹☹☹

Sijui ndo msemo wa the world is not fair...🤔🤔
Hakika, mara nyingi shetani anakua kazini
 
Bad luck.....
Bahati mbaya sanaaa......
Sijui wengine ndo wanaita ku balance maisha......

Hao wanawake ambao ni humble, well raised, well mannered, not after money fully package house wife material..........

Wanakutanaga au wanadondokeaga kwa wanaume mabandidu, makatili, haijui thamani ya mwanamke, mgomvi, wanaume wasiojali for no reason......😔😔😔😔

And vice versa, mwanaume ambaye anajua kupenda na hata akiwa na hela zake, humble anajali mkewe anajali watoto most of time at home, anapataga mwanamke wa hovyoooo......☹☹☹

Sijui ndo msemo wa the world is not fair...🤔🤔
Its really a bad luck out there...Wanawake wanaojielewa well raised are rare pieces of value. Sijui kwanini wengi wanakutanaga na majasusi 😀😀😀
 
Mzee mwanamke submissive anaonekana tu hata akiwa na billion 5 bank. The moment unaongea nae tu utagundua kuwa she is the one to be with.

Upo na mwanamke for dinner anafokea wahudumu like fuq kisa wamechelewesha chakula kidogo. Umeenda nae bar anafokea wahudumu like shiettt ati bia mbona sio ya baridi sana. Unategemea kuna mtu hapo sasa. Oa huyo wa hivyo uone balaa lake kama hujaanza kuosha vyombo akishakuzoea.
Yes ukioa wa hivyo utapata shida ila nilimaanisha tu kuwa wapo wanawake wasioingiza hata mia,wanategemea waume zao kwa kila kitu ila kiburi kimewajaa ila hayo hayo yakifanywa na mke alomzid mume hela inaonekana kibri cha pesa.
 
Its really a bad luck out there...Wanawake wanaojielewa well raised are rare pieces of value. Sijui kwanini wengi wanakutanaga na majasusi 😀😀😀

Kama kuna watu/mtu ana control dunia na mahusiano yake, walau angekuwa anabalansisha uwiano, kwamba huyu amkutanishe na huyu watadumu au watakaa, mkorofi amkutanishe na mkorofi wafundishane adabu.....

There's a lot he'll.....

May be kuwe na madalali ambao wanapata uhalisia wa mtu ke na me na kuwaunganisha sema hapo wanaokutanishwa kupendana kuje baadae kikubwa hulka zao kwanza.
 
Back
Top Bottom