Jeep rubicon
JF-Expert Member
- Jan 7, 2023
- 737
- 1,446
Bonge ya point mkuuHuyo wa hivyo ana asili ya kiburi tu. She is Egocentric. Hii ni character ya mtu regardless ana hela au hana yani but it becomes worst akiwa na hela na anaweza kuyatawala maisha yake.
Aisee kizazi hiki ni hatari ChiefAnaona anakufanyia bonge la favor kukupanulia mapaja kila unapotaka so anatafta jinsi ya kukukomesha[emoji3][emoji3][emoji3]!
Hafui wala kupika na wengine wanajisifugi humu humu ati sifuagi kwa boyfrend kumbe ni livivu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
maisha kama maisha, ni mtihani so much to be learned and experienced until you go six feet under.Those creatures are available in this world, only that connection I missing....
Na ikitokea umekutana na creatures ya namna hiyo (wife/husband material)...
Unakuta alishatendwa, kavurugwa na wakulungwa, hana matumaini tena, ukiamua kuendelea nae utafika ila utakuwa na kazi kubwa sana ya kumrejesha kwenye hali yake ya kawaida.....
Saa nyingine maisha sio kabisa.
Mikoa yote isiyo na wanawake wasomi Wengi haina Feminists wala Much know[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Tanga hamna Feminist kule ni mahabanist tu ndio wamejaa
Kama unataka mamaako afe kwa haraka basi mpelekee slay queen akamuuguze. Wanawake wengi wa kizazi cha millenium ni heartless.Aisee kizazi hiki ni hatari Chief
Kuna swali moja huwa najiuliza hivi kwa mfano mama yako mzazi anaumwa sana huko kijijini na hana mtu wa kukaa nae...means kumpeleka chooni, kumbadilisha nguo, kumlisha n.k
Hivi hawa wanawake wa sasahivi wanaweza kufanya hivyo kama wale wa zamani?
Atakubali umtoe mjini akamhudumie mama yako kijijini? [emoji23]
π€£ Kwake sio ishu ni usumbufu tuMnasema Ndoa ni kitega uchumi cha Mwanamke sasa kama huyo Mwanamke Uchumi wake uko vizuri Ndoa kwake ya nini
Hata usukumani nako ni hivyo hivyo. Wanawake very submissive yaniMikoa yote isiyo na wanawake wasomi Wengi haina Feminists wala Much know
Sasa Tanga, Kondoa au Singida kuna Wanawake wangapi Wanasheria au Wasomi hasa wanaoweza kujisimamia?
Na hao hasa lazima wawe Submissive kwa Waume zao
Elimu inampa Mwanamke Aggressiveness na Mara nyingine kiburi
Anaamini anaweza bila wewe
And mannerlessKama unataka mamaako afe kwa haraka basi mpelekee slay queen akamuuguze. Wanawake wengi wa kizazi cha millenium ni heartless.
Na kule Mfumo dume bado upo sanaHata usukumani nako ni hivyo hivyo. Wanawake very submissive yani
Wana lack ile mbegu ya utu kabisa. Ni kama wako genetically reprogrammed.And mannerless
kuna mtu alisema ili mwanamke awe msikivu, inabidi uzibue masikio ya chini vizuriWana lack ile mbegu ya utu kabisa. Ni kama wako genetically reprogrammed.
Haisaidii if brains are malfunctioningkuna mtu alisema ili mwanamke awe msikivu, inabidi uzibue masikio ya chini vizuri
Sio wa Rika la kizazi Cha Sasa, huyo mwanamke atakua wa enzi za nyerereSio wote kama ambavyo sio wote makapuku wana tabia njema.
Naijua couple inaishi kwenye mansion ya mke,gari kila kitu cha mke ila huwezi kumuomba mke kitu chochote akakupa jibu limgine zaidi ya "Subiri kwanza niongee na baba fulani halafu nitakupa jibu".
Nmekumissππππ
Usijaribu kufanya hivyo, atawahi kufariki hata kama muda ulikuwa bado, wanawake wa sasa wana manyanyaso sana pengine anaomba afe mapema ili apumzikeAisee kizazi hiki ni hatari Chief
Kuna swali moja huwa najiuliza hivi kwa mfano mama yako mzazi anaumwa sana huko kijijini na hana mtu wa kukaa nae...means kumpeleka chooni, kumbadilisha nguo, kumlisha n.k
Hivi hawa wanawake wa sasahivi wanaweza kufanya hivyo kama wale wa zamani?
Atakubali umtoe mjini akamhudumie mama yako kijijini? [emoji23]
Ni kweli kabisa, anawaza huyu mama atakufa lini?Usijaribu kufanya hivyo, atawahi kufariki hata kama muda ulikuwa bado, wanawake wa sasa wana manyanyaso sana pengine anaomba afe mapema ili apumzike
Nmekumiss