Kwanini wanawake wenye pesa hawadumu kwenye ndoa, wengi wao ni single mothers

Kwanini wanawake wenye pesa hawadumu kwenye ndoa, wengi wao ni single mothers

Wanawake wengi hasa wale wasiojuweza kiuchumi huwa wanaingia ndoani ili mwanaume aliyewaoa awajalie maslahi yao.

Hio inamaanisha wanawake huwa wanafunga ndoa for their own personal interests.Na ndio maana wanawake wanaojiweza kiuchumi huwa hawana haha ya kuolewa kwa sababu kile ambacho wangekifuata huko kwenye ndoa tayari wanacho.
 
Wanawake wengi hasa wale wasiojuweza kiuchumi huwa wanaingia ndoani ili mwanaume aliyewaoa awajalie maslahi yao.

Hio inamaanisha wanawake huwa wanafunga ndoa for their own personal interests.Na ndio maana wanawake wanaojiweza kiuchumi huwa hawana haha ya kuolewa kwa sababu kile ambacho wangekifuata huko kwenye ndoa tayari wanacho.
Unafikiri kuwa mwanamke kuolewa ni kwa sababu ya kutokuwa na pesa? Kwamba akiwa na pesa hapaswi kulewa.
 
Unafikiri kuwa mwanamke kuolewa ni kwa sababu ya kutokuwa na pesa? Kwamba akiwa na pesa hapaswi kulewa.
Ndio nimekwambia wengi huingia kwenye ndoa for that sake of their personal interests.

Kama mtu Hana uhikika wa kula Mara tatu kwa siku, Hana pesa ya kulipa pango na mahitaji mengine ya muhimu huwa anaamua kuolewa ili aweze kukidhiwa mahitaji yao.

Ndio ckuiz wanawake huwa hawaolewi kichwa kichwa tu, huwa wanaangaliwa financial status ya mtu.Bro Kama huna Kama haupo vizuri kiuchumi lazima utakataliwa tu na Kama utafanikiwa kumuoa Basi jiandae kugongewa nje.Huu Ni ukweli usiopingika.
 
Ndio nimekwambia wengi huingia kwenye ndoa for that sake of their personal interests.

Kama mtu Hana uhikika wa kula Mara tatu kwa siku, Hana pesa ya kulipa pango na mahitaji mengine ya muhimu huwa anaamua kuolewa ili aweze kukidhiwa mahitaji yao.

Ndio ckuiz wanawake huwa hawaolewi kichwa kichwa tu, huwa wanaangaliwa financial status ya mtu.Bro Kama huna Kama haupo vizuri kiuchumi lazima utakataliwa tu na Kama utafanikiwa kumuoa Basi jiandae kugongewa nje.Huu Ni ukweli usiopingika.
Sawa nimekuelewa
 
Habari wanajukwaa,

Moja kwa moja kwenye mada.

Wanawake wenye mafanikio kiuchumi huwa hawadumu kwenye ndoa na wengine huwa hawaolewi kabisa japo wanapenda kudate na wanaume (vijana) wasio na pesa nyingi wakiwahudumia kwa kila kitu na wakizingua wanawatimua.

Hasa watumishi ndiyo wanaongoza kuwa single mothers kuliko wafanyabiashara. Kuna ofisi fulani kubwa tu, kati ya wanawake 16 wanaofanya kazi hapo 12 waliolewa na kuachana na waume zao.

Shida ni nini wadau?
Mwanamke akiwa na pesa anaukana uanamke na anautaka unaume na anataka kuishi kama mwanaume mwenye jinsia ya kike tatizo liko hapo na moja ya tunda alilokatzwa mwanamke ni kushika pesa, madaraka na uongozi. Akiwa na pesa na akiwa Kiongozi huwa na yeye anajishangaa yaani mimi mwanamke naongoza hawa jamaa wote vibwengo
 
Mwanamke akiwa na pesa anaukana uanamke na anautaka unaume na anataka kuishi kama mwanaume mwenye jinsia ya kike tatizo liko hapo na moja ya tunda alilokatzwa mwanamke ni kushika pesa, madaraka na uongozi. Akiwa na pesa na akiwa Kiongozi huwa na yeye anajishangaa yaani mimi mwanamke naongoza hawa jamaa wote vibwengo
Eti vimbwengo! Ina maana wanaume tunaoongozwa na wananwake ni vimbwengo? 🀣
 
Back
Top Bottom