Atleast unaonekana unahitaji kujifunza kitu
Saafi
Suala la vyuo vya mafunzo kwa vitendo limepunguza kwa kiasi kikubwa suala la ajira jana ufuatavyo
1. Wanafunzi wa vyuo guvyo
Mfano veta
Wamekuwa wakifundishwa elimu ya kujiajiri
Mfano ufundi
Ambapo wakitoka hapo hawahitaji kusubiri kuajiriwa na mtu bali wabajiajiri wenyew
Na ndio sera za nchi nyingi zilizo endelea
Wanasema
Kabla hujawaza kuajiriwa
Waza kuajiri watu elfu kumi
nadhan kijana utafanikiwa sana
Jaribu hata kutumia akili kidogo
Afya
Kuna zahanati zmejengwa kila kata na Serikali tukufu ya ccm
Zimemaliza kero za wakina mama wanaitembea umbali mrefu keende kutafuta matibab
Waalize ndugu zako wanaokaa vijijin watakuambia
Tena raia wanaishukuru tu serikali
Elimu
Jmn kuhusu suala la elimu
hata kama ww ni kipofu huwezi kusema eti serikali haijafanya kitu kuhusu serikali
Compare shule za sekondari zilijuwa ngap wakati jk anaingia madarakan
Na leo shule hizo ziko ngap na zmesaidia vipi kupunguza idad ya watu wanaoishia shule ya msingi.
Hapa katikati palijitikeza tatzo la ukosef wa maabara na walimu wa kutisha
lakin serikal tukufu ya ccm imelifix hilo na kama unakumbuka
Juz juz kulikuwa na shinikizo la ma DC ambao maabara hazjakamilika wakamilishe na wamefanikiwa
Ajira
Serikali yetu imejitahidi kwa kias chake katika suala la ajira
Kwa kuapply njia zifuatazi
1.kuongeza vyuo vya elimu ya Ufundi kwa vutendi kama veta
Na vyuo mbali mbali vya maendeleo ya jamii
Hivyo kupunguza tatzo la ajira
2 . kupitia wizara zake mbalimbali
kama wizara ya elimu ambayo imekuwa mstar wa mbele katka kutoa ajira mbalimbali
Mabasi yaendayo kasi
mradi huo umeshajamilija
Na bashukuru serikali yetu imetimiza hilo na uzinduz ulikuwa jana
Hilo sitalizungumzia maana mmejionea wote
Jaribu hata kutumia akili kidogo
Afya
Kuna zahanati zmejengwa kila kata na Serikali tukufu ya ccm
Zimemaliza kero za wakina mama wanaitembea umbali mrefu keende kutafuta matibab
Waalize ndugu zako wanaokaa vijijin watakuambia
Tena raia wanaishukuru tu serikali
Elimu
Jmn kuhusu suala la elimu
hata kama ww ni kipofu huwezi kusema eti serikali haijafanya kitu kuhusu serikali
Compare shule za sekondari zilijuwa ngap wakati jk anaingia madarakan
Na leo shule hizo ziko ngap na zmesaidia vipi kupunguza idad ya watu wanaoishia shule ya msingi.
Hapa katikati palijitikeza tatzo la ukosef wa maabara na walimu wa kutisha
lakin serikal tukufu ya ccm imelifix hilo na kama unakumbuka
Juz juz kulikuwa na shinikizo la ma DC ambao maabara hazjakamilika wakamilishe na wamefanikiwa
Ajira
Serikali yetu imejitahidi kwa kias chake katika suala la ajira
Kwa kuapply njia zifuatazi
1.kuongeza vyuo vya elimu ya Ufundi kwa vutendi kama veta
Na vyuo mbali mbali vya maendeleo ya jamii
Hivyo kupunguza tatzo la ajira
2 . kupitia wizara zake mbalimbali
kama wizara ya elimu ambayo imekuwa mstar wa mbele katka kutoa ajira mbalimbali
Mabasi yaendayo kasi
mradi huo umeshajamilija
Na bashukuru serikali yetu imetimiza hilo na uzinduz ulikuwa jana
Hilo sitalizungumzia maana mmejionea wote
yah ntafanikiwa sana ukiondoka mfumo fisadi wa ccm na kuingia ukawa,hujaona ni vijana wangapi wamemaliza vyuo vikuu wako mitaani hawana ajira au vyuo vilivyoko nchini vyote ni vya veta watajiajiri? hivi kwa mtazamo wako ni haki watu wachangishwe hela za maabara wakati wengine wanagawana mabilioni ya pesa ambayo yangetosha kumaliza tatizo la maabara? na waliohusika si ndio walewale wa serkal ya kijani
Hivi hamuwezi kutulia wakati mnaandika? mtuwekee kamusi ili tuwaelewe. HAPA NDIPO HUWA NINA MASHAKA NA URAIA WA WATETEZI WA MFUMO WA CHAMA TAWALA. SINA SHAKA NA ELIMU ZENU MAANA WENGI NI WAZEE WA VYETI.
Jaribu hata kutumia akili kidogo
Afya
Kuna zahanati zmejengwa kila kata na Serikali tukufu ya ccm
Zimemaliza kero za wakina mama wanaitembea umbali mrefu keende kutafuta matibab
Waalize ndugu zako wanaokaa vijijin watakuambia
Tena raia wanaishukuru tu serikali
Elimu
Jmn kuhusu suala la elimu
hata kama ww ni kipofu huwezi kusema eti serikali haijafanya kitu kuhusu serikali
Compare shule za sekondari zilijuwa ngap wakati jk anaingia madarakan
Na leo shule hizo ziko ngap na zmesaidia vipi kupunguza idad ya watu wanaoishia shule ya msingi.
Hapa katikati palijitikeza tatzo la ukosef wa maabara na walimu wa kutisha
lakin serikal tukufu ya ccm imelifix hilo na kama unakumbuka
Juz juz kulikuwa na shinikizo la ma DC ambao maabara hazjakamilika wakamilishe na wamefanikiwa
Ajira
Serikali yetu imejitahidi kwa kias chake katika suala la ajira
Kwa kuapply njia zifuatazi
1.kuongeza vyuo vya elimu ya Ufundi kwa vutendi kama veta
Na vyuo mbali mbali vya maendeleo ya jamii
Hivyo kupunguza tatzo la ajira
2 . kupitia wizara zake mbalimbali
kama wizara ya elimu ambayo imekuwa mstar wa mbele katka kutoa ajira mbalimbali
Mabasi yaendayo kasi
mradi huo umeshajamilija
Na bashukuru serikali yetu imetimiza hilo na uzinduz ulikuwa jana
Hilo sitalizungumzia maana mmejionea wote
---- ww hata kuandika tu kazi,unaandika unafikiri sisi tuko kenya au?mbona hatuyaoni hayo yote
Utayaonaje uko daslaam
Njoo kilwa kivinje uone
Njoo maswa simiyu uone
Njoo tandahimba uone
Huwez kuyaona maana hujaamua kuyaona
Na umeshalishwa sumu
Umekalili mkuu siyo kila aliyeko jamiiforum anatoka dar,me niko namanyere huku ndo kwetu tena vijijini kabisa au huku siyo tanzania?ndo maana nimekuambia siyaoni hayo yote zaidi kuona kwenye maandishi tu na kusikia kwenye majibu ya mawazir wenu kupitia maswali na majibu ya pale Ze comedy show dodoma
vipi kuhusu bilioni 324 za escrow,zisingetosha kukabiliana na tatizo la maabara nchini mpaka walimu na wananchi wachangishwe? au ndio imetumika kununulia laptop za walimu? au ule ulikua sio ufisadi?
Kwa hiyo na Escrow ni ya Lowassa?Mfumo fisadi ameondoka nae yule joka kuu fisadi
Baba wa ufisad
Amehama nao yuko nao mfumo huo ukawa
Waliwajibishwaje? Na je mbona wamepitishwa tena kugombea ubunge? Huo ndo uwajibishwaji?Kwan hawakuwajibishwa?
S ndo nyie mnasema kama una ushahidi peleka mahakamani?
Waliwajibishwaje? Na je mbona wamepitishwa tena kugombea ubunge? Huo ndo uwajibishwaji?
Kwa hiyo na Escrow ni ya Lowassa?
nonsense