Bin Maryam
JF-Expert Member
- Oct 22, 2007
- 685
- 13
Ukitaka kupima ubora wa kitu ni lazima utumie namba. Hiyo namba inaweza kuwa ya kufikilika au makadirio ya kweli.
Tanzania ni nchi masikini, end of story, period, finito, konec. Hakuna discussion ya kusema kuwa sisi ni tajiri kwa sababu namba zote zinazotumika kuelezea utajiri zinaonyesha kuwa sisi ni masikini.
Pamoja na umasikini wetu, Tanzania ina potential ya kuwa nchi tajiri. Na hii potential yetu ndio inayowafanya watu kufikiri sisi kuwa tajiri.
Tanzania ni nchi masikini, end of story, period, finito, konec. Hakuna discussion ya kusema kuwa sisi ni tajiri kwa sababu namba zote zinazotumika kuelezea utajiri zinaonyesha kuwa sisi ni masikini.
Pamoja na umasikini wetu, Tanzania ina potential ya kuwa nchi tajiri. Na hii potential yetu ndio inayowafanya watu kufikiri sisi kuwa tajiri.