Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
Very Unfortunate In Deed.
Yani Mtu Anadiriki Kumsifia Mwenzake Akipata Kazi Yenye Mianya Ya Kuiba!!!
Mtu Akipata Kazi Anaanza Kuangalia Kama Kuna Chochote Nje Ya Mshahara!!!
Mtu Anajindekeza Apate Kazi Yenye Ulaji!!!
Kwa Kweli Tiba Yetu Bado Haijaanza Kutayarishwa, Nadhani Wajukuu Wetu Wataanza Kuipeleleza Ni Wapi Inapatikana.
Yani Tuna Mindsets Za Ajabu Kabisa, Sijawahi Kuona Hata Mahali Pengine,
Inasikitisha Sana.
Tanzania Ni Masikini Sana Wa Elimu Jamii.
Masikini Wa Kutupwa,
Wazazi Hawajui Cha Kuwafunza Watoto, Watoto Wanakuwa Nunda, Wanafundishwa Na Dunia, Umasikini Huu Utaendelea Hadi Wazazi Watakapojipatia Nguvu Ya Kushape Taifa La Kesho Kwa Upendo Na Misimamo Halali Sustainable Ya Kijamii.
Nafikiri pia tupiganie somo la saikolojia ambayo ni sayansi ya mwingiliano wa akili,mwili,mazingira na tabia! Ni somo zuri sana linatakiwa lipewe kipaumbele kuanzia msingi!
 
Ahahahahaha.....wabongo bana....mineno miiiingi....
Psychology is the scientific study of behavior and mental processes! Therefore...

1)This will help wananchi to learn inside's our president's unpredictable behaviors and to get inside his mind and to undestand his super ego!

2)Both of these stuff can be learned and this will help build a more prosperous community/nation!

3)Kumbuka ni saikolojia inayotufahamisha kuwa njaa ni hitaji la kisaikolojia na si vinginevyo, kama unaelewa Maslow Hierachy social needs before self actualization!
 
Si ndio wanavyotudhihaki ingekuwa Tz maskini hawa akina karamagi, chenge, msabaha, Big Ben mapesa yote wanayapata wapi??? Msitukumbushe machungu jamani.
 
Si ndio wanavyotudhihaki ingekuwa Tz maskini hawa akina karamagi, chenge, msabaha, Big Ben mapesa yote wanayapata wapi??? Msitukumbushe machungu jamani.
Wanapita na mishangingi yao na mibenzi vioo juu ndani ya kiyoyozi huku pambio ikiwa ni "sisi maskini!"

Wanaishi kama wafalme! Bado pambio ni "sisi masikini!"

Mabilioni yanaitwa vijisenti na wasaidizi wake na yeye anatoka nje anaimba the same pambio..

"Sisi Masikini" Huku ari mpya na kasi mpya ikiwa "msijali kuitwa mafisadi!"


Kama nchi yetu masikini ndo maana wanaiuza bei chee!

Tunataka viongozi waonyeshe mfano kwa kupunguza matumizi ya kifahari na matanuzi yenye kufuja pesa za wananchi na badala yake wa invest kwenye maendeleo na mahitaji ya kijamii!

Kuacha kupora na badala yake kuinvest kwenye maendeleo na elimu!

Na pia warudishe vijisenti vyetu ili watu wapewe matractor ya kuwasaidia kilimo bora,hospitali, walimu walipwe mishahara yao!

Hivi vile vijisenti vya Chenge visingetosha kweli kumaliza mgogoro wa mishahara ya walimu wetu kweli?
 
Ningeomba pia Mtanzania yoyote unaetembelea hii thread kutoa mawazo yako huru kwamba nchi yetu ni masikini ama ni tajiri!?
Na kama hutaki kutoa maelezo marefu then just say either rich or poor!
Thanks.
 
Tanzania is both rich and poor


ionary.com Unabridged (v 1.1) - Cite This Source - Share This
rich Audio Help /rɪtʃ/ Pronunciation Key - Show Spelled Pronunciation[rich] Pronunciation Key - Show IPA Pronunciation adjective, -er, -est, noun
–adjective 1. having wealth or great possessions; abundantly supplied with resources, means, or funds; wealthy: a rich man; a rich nation.
2. abounding in natural resources: a rich territory.
3. having wealth or valuable resources (usually fol. by in): a country rich in traditions.
4. abounding (usually fol. by in or with): a countryside rich in beauty; a design rich with colors.
5. of great value or worth; valuable: a rich harvest.
6. (of food) delectably and perhaps unhealthfully spicy, or sweet and abounding in butter or cream: a rich gravy; a rich pastry.
7. costly, expensively elegant, or fine, as dress or jewels.
8. sumptuous; elaborately abundant: a rich feast.
9. using valuable materials or characterized by elaborate workmanship, as buildings or furniture.
10. abounding in desirable elements or qualities: a man rich in kindness.
11. (of wine) strong and finely flavored.
12. (of color) deep, strong, or vivid: rich purple.
13. full and mellow in tone: rich sounds; a rich voice.
14. strongly fragrant; pungent: a rich odor.
15. producing or yielding abundantly: a rich soil.
16. abundant, plentiful, or ample: a rich supply.
17. Automotive. (of a mixture in a fuel system) having a relatively high ratio of fuel to air (contrasted with lean).
18. Informal. a. highly amusing.
b. ridiculous; absurd.

–noun 19. (used with a plural verb) rich persons collectively (usually prec. by the): new tax shelters for the rich.
 
Kamundu

Sijakuelewa ndugu naomba uwe specific!
 
Last edited by a moderator:
Kamundu

Kwenye highlight..which one?
And how can we keep one?
Do we really need both?
 
Last edited by a moderator:
Tanzania is an immensely rich country. Our problem is underdevelopment. I recently travelled from Dar to Arusha (by bus) with a lady from Namibia. She had likewise travelled by bus through Zambia from Namibia and she was amazed how green the countryside was. Much of Namibia is desert. When you see the Chinese running to get citizenship in Tanzania, when you see the Kaburus running to own land in Ngorongoro then you know how rich Tanzania is.
 
Jmushi1,

Statements zote ni sahihi, Tanzania na Afrika kwa ujumla ni tajiri kwa maana ya resources kama ardhi, madini, mafuta nk. Lakini watu wake ni maskini kwasababu tumeshindwa kutumia akili zetu kutengeneza added values kutoka kwenye hizo resources zetu.

Umaskini uko kwenye vichwa vyetu, akili zetu, fikra zetu nk. Hata tukipata uongozi bora sana bado itachukua miaka mingi kwa Watanzania kuwa matajiri. Ni rahisi kubadili uongozi lakini ni ngumu sana kubadili culture ya uvivu
na kutokuwajibika ambayo imejengeka Tanzania na Afrika
. .


Haswa sisi ni wavivu,wabinafsi na hatuna uzalendo hebu angalieni Wajerumani walivyojenga nchi yao baada ya vita....cambodia,vietnam ni baadhi tu za nchi zilikuwa masikini zaidi yetu na sasa angalieni wako wapi.


Sisemi Waafrika ni wavivu, maana wakija huku nje wanajituma kweli kweli..

Kwa sababu inabidi wafanye hivo kulingana na aidha wenyeji ni wachapa kazi au bado labda tunayo ile kasumba ya kuwa bila mnyapara kazi haiendi


Ndio viongozi wa Afrika wameiba mabilioni ya resources zetu lakini mimi siamini kama ndio chanzo cha umaskini wetu. Matatizo yetu yanaenda ndani zaidi. Mwalimu Nyerere alijaribu kushughulikia kiini cha matatizo ya Watanzania lakini bahati mbaya akachagua siasa mbaya na chama kushika hatamu mpaka ikafikia mahali ambapo hakuwa challenged na hivyo kudumaa kama viongozi wetu wengine.

Nakubaliana nawewe kabisaaaaa
 
Tanzania is Rich,
tatizo letu kubwa hatuna mipango madhubuti ya kuinua vipato vya wananchi kwa kutumia lundo la raslimali tulizo nazo.

-Tunahitaji mageuzi ya ardhi
-tunahitaji mageuzi ya kilimo
-tunahitaji mageuzi ya viwanda ili kuanzisha viwanda vya ndani vitakavyotoa ajira kwa watu,na kutumia resources tulizo nazo effectively.

Huu utakua mwanzo wa sisi kuzalisha bidhaa za kusafirishwa nje ya nchi.

Taifa letu lina raslimali nyingi sana sawa na taifa kama India au zaidi.India walifanya hayo hapo juu kwa takribani miaka 20,leo tunaona wanavyopaa.

Hapo Kenya wamegundua mambo kadhaa ndio maana wameanzisha wizara ya Viwanda tu,na ile ya focus 2030.sasa serikali yetu ndio inatufanya tuzidi kuwa maskini
 
Tanzania is an immensely rich country. Our problem is underdevelopment. I recently travelled from Dar to Arusha (by bus) with a lady from Namibia. She had likewise travelled by bus through Zambia from Namibia and she was amazed how green the countryside was. Much of Namibia is desert. When you see the Chinese running to get citizenship in Tanzania, when you see the Kaburus running to own land in Ngorongoro then you know how rich Tanzania is.

I certainly DO AGREE with you...But then:

Who's reponsible for the underdevelopment given the factor we are rich?

a)The government

b)THE PEOPLE

c)Both govt. and THE PEOPLE

What should we do then?
 
Mara nyingi sana tunaambiwa Tanzania ni nchi masikini sana duniani. Sasa kweli kama nchi yetu ni masikini Mkapa angepata wapi hizo milioni 70 za jununua mgodi wa Kiwira ambao ulikuwa na thamani ya milioni 700. Kwa vile Mkapa hajuwi hesabu basi ile sifuri ya mwisho aliiondoa akalipa tu milioni 70 badala ya miliono 700.

1.Nchi yetu ina mgodi mmoja wa almasi,Mwadui na ina deposit kama tatu nyingine za almasi.
3. Tuna Bulhanghulu, North Mara,Geita,Tulawaka, na migodi mingine ya dhahabu.
4. Tunapia deposit nyingine za dhahabu amabzo ziko katika matayarisho ya kufanywa migodi.
5. Tuna madini ya chuma.
6. Tuna Tanzanite na madini mengine ya kutengeza vito.
7. Tuna madini ya nickel ambayo yana bei kubwa duniani.

Madini yote haya tumewapa wawezekaji na halafu manatwambia TAZANIA NI CHI MASIKINI SANA. Jamani hamuoni AIBU?
Hebu Tizama kama wenzetu Kenya wana migodi ya dhahabu kama sisi!

Linganisha Tanzania na nchi ya Holland kama wao wanamigodi ya dhahabu kama Tanzania. Hawana chchote lakini Holland ni nchi tajiri kuliko sisi.

8 Tuna mbuga za wanyama nyingi sana na zina tupatia fedha za kigeni.Au kwa kifupi tusema zina wapatia Vigogo wetu fedha za kigeni.
9. Tuna misitu kadhaa na tunaweza kusafirisha magogo ughaibuni.
10. Tunayo gesi ya Siongosongo na hivi karibuni imegunduliwa gesi nyingine karibu na Dar es Salaam.

SASA NDUGUZANGU HUO UMASIKINI WETU UKO WAPI.

LABDA TUNA UMASIKINI WA UONGOZI TU. MAFISADI WAMEJAA kina Chenge na Mkapa wamejaa.

Zambia seizes 'Chiluba millions'
The Zambian government says it has recovered money and assets worth nearly $60m stolen during the rule of former P a. resident Frederick Chilub
The assets include bank deposits and an upmarket apartment in Belgium.
Information Minister Mike Mulongoti said the assets would be sold and the money used to upgrade hospitals.
 
Mara nyingi sana tunaambiwa Tanzania ni nchi masikini sana duniani. Sasa kweli kama nchi yetu ni masikini Mkapa angepata wapi hizo milioni 70 za jununua mgodi wa Kiwira ambao ulikuwa na thamani ya milioni 700. Kwa vile Mkapa hajuwi hesabu basi ile sifuri ya mwisho aliiondoa akalipa tu milioni 70 badala ya miliono 700.

1.Nchi yetu ina mgodi mmoja wa almasi, Mwadui na ina deposit kama tatu nyingine za almasi.

3. Tuna Bulhanghulu, North Mara, Geita,Tulawaka, na migodi mingine ya dhahabu.

4. Tunapia deposit nyingine za dhahabu amabzo ziko katika matayarisho ya kufanywa migodi.

5. Tuna madini ya chuma.

6. Tuna Tanzanite na madini mengine ya kutengeza vito.

7. Tuna madini ya nickel ambayo yana bei kubwa duniani.

Madini yote haya tumewapa wawezekaji na halafu manatwambia TAZANIA NI CHI MASIKINI SANA. Jamani hamuoni AIBU?

Hebu Tizama kama wenzetu Kenya wana migodi ya dhahabu kama sisi!

Linganisha Tanzania na nchi ya Holland kama wao wanamigodi ya dhahabu kama Tanzania. Hawana chchote lakini Holland ni nchi tajiri kuliko sisi.

8 Tuna mbuga za wanyama nyingi sana na zina tupatia fedha za kigeni.Au kwa kifupi tusema zina wapatia Vigogo wetu fedha za kigeni.

9. Tuna misitu kadhaa na tunaweza kusafirisha magogo ughaibuni.

10. Tunayo gesi ya Siongosongo na hivi karibuni imegunduliwa gesi nyingine karibu na Dar es Salaam.

SASA NDUGUZANGU HUO UMASIKINI WETU UKO WAPI.

LABDA TUNA UMASIKINI WA UONGOZI TU. MAFISADI WAMEJAA kina Chenge na Mkapa wamejaa.

Zambia seizes 'Chiluba millions'
The Zambian government says it has recovered money and assets worth nearly $60m stolen during the rule of former P a. resident Frederick Chilub
The assets include bank deposits and an upmarket apartment in Belgium.
Information Minister Mike Mulongoti said the assets would be sold and the money used to upgrade hospitals.

Well said mkuu na changamoto ni kuwapelekea wananchi ujumbe huo!
 
Tanzania ni nchi tajiri, lakini tuna viongozi mafisadi ambao wanajali matumbo yao na hivyo kuutumia utajiri wa Tanzania kujitajirisha wao na familia zao kupitia rasilimali tulizonazo na mikataba mibovu wanayoidhinisha.

Miaka ya karibuni tumesikia baadhi ya viongozi wakiwa na migodi yao ambayo wameipata katika mazingira ya kutatanisha. Hao waliosaini mikataba mibovu ya uchimbaji dhahabu ni mashareholders wa Barrick ambapo kila kampuni hiyo ikifanya vizuri thamani ya shares zao huongezeka lakini Watanzania hatuoni manufaa yoyote ya dhahabu yetu..

What should we do then if thats the fact! (Kwenye red highlight)
 
Si ndio wanavyotudhihaki ingekuwa Tz maskini hawa akina karamagi, chenge, msabaha, Big Ben mapesa yote wanayapata wapi??? Msitukumbushe machungu jamani.

Kauli hapo juu kweli inatia huruma! Esp. kenye highlight.

Swali sasa majukumu yako ni yapi?

Do something...Nenda kawaelimishe wananchi popote pale ulipo in any means neccessary kwasababu maendeleo hayawezi kuja kwa ku wish peke yake!

Pole kwa machungu ndugu yangu

Tuko pamoja!
 
mnakumbuka tulipokuwa darasa la kwanza au la pili tulikuwa tukiimba hivi:

Tanzania, Tanzania
nchi yenye mali nyingi
watu wengi wa ulaya wanaililia sana

niliona ndege wengi
chini wanatia fora
wanapendeza mlio kama mtoto wa nyumbani

my take:
jamani hivi ni kweli watu wengi wa ulaya wanaililia sana Tanzania , au watu wengi wa Tanzania wanaililia Ulaya.

pengine mafunzo haya ya toka elimu ya msingi ndo yamepelekea watu kuwa na mitizamo inayokinzana kuhusu mali zenyewe , je hizo mali ni wealth au ni natural resources?

Gamba,

Ukiangalia staili ya wasomi kujipatia mali (rich, wealth0 ni kupitia kalamu na njia nyepesi. hakuna watu wenye kutaka kupitia njia ngumu kujenga mali kwa kutumia natural resourceskama kina Ford, Rockefeller na koo tajiri nyingine zilizofanya duniani.

Sisi tunataka ule utajiri wa ma CEO, wa mishahara mikubwa na marupurupu, lakini hata kufanya kazi kwa juhudi na maarifa kutumia rasilimali tulizonazo ili kuongeza mapato ya kampuni au shirika ili kuhakikisha mishahara yetuinaongezeka marudufu hatutaki.

Tanzania tuna neema ya kuwa na rasilimali nyingi. Ni juhudi na maarifa yetu wenyewe ndizo zitakazotupa uwezo wa kuwa Taifa linalojitegemea na lenye utajiri wa kutosha kutoa huduma.

Sisi tunakimbilia kutafuta wageni wafanye hiyo kazi ya kuzalisha hizo mali asili na rasilimali tukisubiri kupata utajiri kwa kukata kodi na kupokea mishahara!
 
I certainly DO AGREE with you...But then:

Who's reponsible for the underdevelopment given the factor we are rich?

a)The government
b)THE PEOPLE
c)Both govt. and THE PEOPLE

What should we do then?
Mushi1,
We are all responsible. But our leaders are more responsible. Tulipopata uhuru tulikuwa na wasomi wachache sana. Mwalimu akahimiza elimu ya bure kwa Watanzania. Hiyo ilikuwa ni hatua mojawapo ya maendeleo, kwa sababu maendeleo ni process. Mwalimu pia alitambua kuwa majority ya Watanzania ni wakulima wadogo wadogo. Kikahimizwa kilimo. Mwalimu akasema hayo ya madini tuyaache kwanza mpaka Watanzania (wenyewe) watakapokuwa tayari kuyachimba. Wakakurupuka wajanja fulani wakaingiza matapeli wa kutuibia madini yetu. Umeuliza what should we do?
Ningekuwa na uwezo kitu cha kwanza ningewafukuzilia mbali matapeli wote. Simamisha zoezi zima la uchimbaji madini mpaka kitakapoeleweka. Ningekuwa na uwezo pia ningewatimua hawa viongozi tulio nao sasa kwa sababu hawa ndio waliotusaliti. Ningekuwa na uwezo pia ningeitisha mkutano wa kitaifa tujadilie hatima ya taifa letu.
Ningekuwa na uwezo ningehimiza zaidi kilimo, kwa sababu maendeleo ni mchakato, tuwawezeshe wakulima wetu kuzalisha zaidi na si subsistence peke yake. Ningetoa ruzuku kwa wakulima kama wafanyavyo ndugu zetu Wafaransa na Wamarekani, na kama WB na IMF wakipiga kelele ningewaambia "go to hell." So, brother Mushi1, don't get me started here.
 
Back
Top Bottom