Very Unfortunate In Deed.
Yani Mtu Anadiriki Kumsifia Mwenzake Akipata Kazi Yenye Mianya Ya Kuiba!!!
Mtu Akipata Kazi Anaanza Kuangalia Kama Kuna Chochote Nje Ya Mshahara!!!
Mtu Anajindekeza Apate Kazi Yenye Ulaji!!!
Kwa Kweli Tiba Yetu Bado Haijaanza Kutayarishwa, Nadhani Wajukuu Wetu Wataanza Kuipeleleza Ni Wapi Inapatikana.
Yani Tuna Mindsets Za Ajabu Kabisa, Sijawahi Kuona Hata Mahali Pengine,
Inasikitisha Sana.
Tanzania Ni Masikini Sana Wa Elimu Jamii.
Masikini Wa Kutupwa,
Wazazi Hawajui Cha Kuwafunza Watoto, Watoto Wanakuwa Nunda, Wanafundishwa Na Dunia, Umasikini Huu Utaendelea Hadi Wazazi Watakapojipatia Nguvu Ya Kushape Taifa La Kesho Kwa Upendo Na Misimamo Halali Sustainable Ya Kijamii.