Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
Gamba,

Ukiangalia staili ya wasomi kujipatia mali (rich, wealth0 ni kupitia kalamu na njia nyepesi. hakuna watu wenye kutaka kupitia njia ngumu kujenga mali kwa kutumia natural resourceskama kina Ford, Rockefeller na koo tajiri nyingine zilizofanya duniani.

Sisi tunataka ule utajiri wa ma CEO, wa mishahara mikubwa na marupurupu, lakini hata kufanya kazi kwa juhudi na maarifa kutumia rasilimali tulizonazo ili kuongeza mapato ya kampuni au shirika ili kuhakikisha mishahara yetuinaongezeka marudufu hatutaki.

Tanzania tuna neema ya kuwa na rasilimali nyingi. Ni juhudi na maarifa yetu wenyewe ndizo zitakazotupa uwezo wa kuwa Taifa linalojitegemea na lenye utajiri wa kutosha kutoa huduma.

Sisi tunakimbilia kutafuta wageni wafanye hiyo kazi ya kuzalisha hizo mali asili na rasilimali tukisubiri kupata utajiri kwa kukata kodi na kupokea mishahara!

Reverand umemsahau na Carnegie kwenye listi! Ambaye kwa asili alikuwa masikini na akaanzisha ile "Carnegie Foundation"

Kihistoria hawa watu walipata u zillionea wao kwa ufisadi hapa marekani wakati ule wa "The gilded Age"

Age ambayo ni similar na hii tunayoipitia sasa hivi ya Ubinafsishaji nk!

Mafisadi wa kimarekani enzi hizo walitake advantage kama mafisadi wetu wanavyofanya nchini mwetu!

Lakini wananchi wa Marekani walipowajia juu wakageuka kuwa "Philanthropists"

Kwa maana nyingine wakaamua kutumia utajiri wao kwa kujitolea kuijenga marekani!

Hiyo ni kwenye "progressive era".....Ndani ya US history wakati wa kina Woodrow Wilson na Roosevelt. Wilson tunamkumbuka pia kwa zile "14 points"

Era ambayo wamarekani walichoshwa na ufisadi na kuamua kufanya mabadiliko makubwa!

Mafisadi wali igeuza mioyo yao na kuamua kuwatumikia wananchi kwa mali waliyowaibia!

Carnegie alijitolea pesa zake zote zilizokuwa ni nyingi kupindukia!

Akasema zitumike kwenye kila kitu mpaka utoaji wa scholarships!

Wakaijenga marekani...Kuanzia barabara, Hospitali, mashirika kama vile YMCA ndiyo mafisadi waliyaanzisha kuwasaidia masikini!

Haki za wafanyakazi, mazingira bora ya kazi, haki za wanawake kupiga kura, sheria za vyakula, sheria za kuwabana viongozi mafisadi!

Listi ni kubwa!

Kwa kifupi watu hao waliokuwa mafisadi na wanyonyaji ndio waliogeuka na walioijenga marekani tunayoiona kwa kiasi kikubwa mno!

Wakaugeuza ufisadi kuwa something positive!

Hapa ndio tumekwama kwasababu viongozi wetu hawakubali kuwa kuna ufisadi!

Haya ni matatizo ambayo waafrika tumeshindwa kujifunza kutokana na historia ya dunia na hivyo mara nyingi ku resort kwenye mapigano ya wenyewe kwa wenyewe kama wanavyoelekea kutaka kufanya watuhumiwa wa ufisadi!

Na ndio maana pia nika suggest wakamatwe kabla ya kufanya hivyo!

Waigeuze mioyo yao na watubu ili tulijenge taifa jipya badala ya kuanza umwagaji damu!
 
Mushi1,
We are all responsible. But our leaders are more responsible. Tulipopata uhuru tulikuwa na wasomi wachache sana. Mwalimu akahimiza elimu ya bure kwa Watanzania. Hiyo ilikuwa ni hatua mojawapo ya maendeleo, kwa sababu maendeleo ni process. Mwalimu pia alitambua kuwa majority ya Watanzania ni wakulima wadogo wadogo. Kikahimizwa kilimo. Mwalimu akasema hayo ya madini tuyaache kwanza mpaka Watanzania (wenyewe) watakapokuwa tayari kuyachimba. Wakakurupuka wajanja fulani wakaingiza matapeli wa kutuibia madini yetu. Umeuliza what should we do?
Ningekuwa na uwezo kitu cha kwanza ningewafukuzilia mbali matapeli wote. Simamisha zoezi zima la uchimbaji madini mpaka kitakapoeleweka. Ningekuwa na uwezo pia ningewatimua hawa viongozi tulio nao sasa kwa sababu hawa ndio waliotusaliti. Ningekuwa na uwezo pia ningeitisha mkutano wa kitaifa tujadilie hatima ya taifa letu.
Ningekuwa na uwezo ningehimiza zaidi kilimo, kwa sababu maendeleo ni mchakato, tuwawezeshe wakulima wetu kuzalisha zaidi na si subsistence peke yake. Ningetoa ruzuku kwa wakulima kama wafanyavyo ndugu zetu Wafaransa na Wamarekani, na kama WB na IMF wakipiga kelele ningewaambia "go to hell." So, brother Mushi1, don't get me started here.

I would prefer you start it kwasababu ni mjadala positive
 
Mushi1,
We are all responsible. But our leaders are more responsible. Tulipopata uhuru tulikuwa na wasomi wachache sana. Mwalimu akahimiza elimu ya bure kwa Watanzania. Hiyo ilikuwa ni hatua mojawapo ya maendeleo, kwa sababu maendeleo ni process. Mwalimu pia alitambua kuwa majority ya Watanzania ni wakulima wadogo wadogo. Kikahimizwa kilimo. Mwalimu akasema hayo ya madini tuyaache kwanza mpaka Watanzania (wenyewe) watakapokuwa tayari kuyachimba. Wakakurupuka wajanja fulani wakaingiza matapeli wa kutuibia madini yetu. Umeuliza what should we do?

1)Ningekuwa na uwezo kitu cha kwanza ningewafukuzilia mbali matapeli wote.

2)Simamisha zoezi zima la uchimbaji madini mpaka kitakapoeleweka.

3)Ningekuwa na uwezo pia ningewatimua hawa viongozi tulio nao sasa kwa sababu hawa ndio waliotusaliti.

4)Ningekuwa na uwezo pia ningeitisha mkutano wa kitaifa tujadilie hatima ya taifa letu.

5)Ningekuwa na uwezo ningehimiza zaidi kilimo, kwa sababu maendeleo ni mchakato, tuwawezeshe wakulima wetu kuzalisha zaidi na si subsistence peke yake.

6)Ningetoa ruzuku kwa wakulima kama wafanyavyo ndugu zetu Wafaransa na Wamarekani, na kama WB na IMF wakipiga kelele ningewaambia "go to hell."

So, brother Mushi1, don't get me started here.

Si unaona mkuu? Pointi unazo nyingi tuu!
 
Reverand umemsahau na Carnegie kwenye listi! Ambaye kwa asili alikuwa masikini na akaanzisha ile "Carnegie Foundation"

Kihistoria hawa watu walipata u zillionea wao kwa ufisadi hapa marekani wakati ule wa "The gilded Age"

Mzee,

Wenzetu walianza kwa uzalishaji mali, na kadri jinsi ulivyokuwa ukiongezeka, ndivyo walivyozidi kutaka ongeza mali kwa kuchukua ardhi zaidi na kununua wale walio dhaifu. Sasa hizo ni principles za ubepari na ni tofauti na principle za Ufisadi ambazo ni kuhujumu bila kuzalisha!
 
Mushi1,
We are all responsible. But our leaders are more responsible. Tulipopata uhuru tulikuwa na wasomi wachache sana. Mwalimu akahimiza elimu ya bure kwa Watanzania. Hiyo ilikuwa ni hatua mojawapo ya maendeleo, kwa sababu maendeleo ni process. Mwalimu pia alitambua kuwa majority ya Watanzania ni wakulima wadogo wadogo. Kikahimizwa kilimo. Mwalimu akasema hayo ya madini tuyaache kwanza mpaka Watanzania (wenyewe) watakapokuwa tayari kuyachimba. Wakakurupuka wajanja fulani wakaingiza matapeli wa kutuibia madini yetu. Umeuliza what should we do?
Ningekuwa na uwezo kitu cha kwanza ningewafukuzilia mbali matapeli wote. Simamisha zoezi zima la uchimbaji madini mpaka kitakapoeleweka. Ningekuwa na uwezo pia ningewatimua hawa viongozi tulio nao sasa kwa sababu hawa ndio waliotusaliti. Ningekuwa na uwezo pia ningeitisha mkutano wa kitaifa tujadilie hatima ya taifa letu.
Ningekuwa na uwezo ningehimiza zaidi kilimo, kwa sababu maendeleo ni mchakato, tuwawezeshe wakulima wetu kuzalisha zaidi na si subsistence peke yake. Ningetoa ruzuku kwa wakulima kama wafanyavyo ndugu zetu Wafaransa na Wamarekani, na kama WB na IMF wakipiga kelele ningewaambia "go to hell." So, brother Mushi1, don't get me started here.

Jasusi,

Sisi tulikuwa na ruzuku kwa kilimo, ufugaji na uvuvi. Tulikuwa na "universal health care system" na Universal education program. Hizi zote zilitoa huduma kwa bei nafuu kwa wananchi au bure kabisa.

Tulichokikosa ni mapato kutokana na uzalishaji mali hasa wa viwanda na biashara.

Leo hii, Hillary na Obama wanaongelea "universal health care system", wenzao wa Republican wanasema No, it is not right. Does it make us champions of people's welfare before the Rich and Wealthy Americans?
 
Mzee,

Wenzetu walianza kwa uzalishaji mali, na kadri jinsi ulivyokuwa ukiongezeka, ndivyo walivyozidi kutaka ongeza mali kwa kuchukua ardhi zaidi na kununua wale walio dhaifu. Sasa hizo ni principles za ubepari na ni tofauti na principle za Ufisadi ambazo ni kuhujumu bila kuzalisha!

Kile cha wananchi kinapowekwa mfukoni si ndio ufisadi?

Ama na wewe ndo una tafsiri zako nyingine?

Ama huamini kabisa kuwa ufisadi uko na walichokuwa wakikifanya rockefella na wenzake si ufisadi?

Si ni yeye alikuwa ana i own idara yote ya mabenki na sheria mbovu? Akimiliki machimbo ya mafuta etc etc na pesa kutokuwa faidisha wananchi? Mafisadi wetu si wanafanya the same kuanzia kwenye simu, mabenki, na migodi?

Umeenda kufanya research ya hivi vitu viwili kabla hujaja kunijibu?


1)Progressive era

2)Gilded Age

Kacheck kama FDIC Haikuanzishwa kwasababu ya ufisadi!


Pia kina Mkapa kumiliki baada ya kujiuzia mali za taifa ambazo ni kitega kikuu cha uchumi tayari hapo we unaita nini hiyo?


Pro JK'S MNA KAZI!


He's got to convince me adawais

NB: Pia ningeshauri ukafanye utafiti ili next time uje na points!
 
Mushi,

I take it with great offence kuniita Pro Kikwete! Kuwa na mawazo tofauti nawe hakunifanyi mimi kuwa shabiki wa Kikwete na huku kunaonyesha udhaifu wako kukubali kauli na maoni ya wengine. you sound like CCM kuwa kama hukubaliani nao, basi wewe unayekataa kuungana na CCM na mwenye mtazamo mwingine ni mhaini!

I detest such labeling!

I already know the history if US and so is History of the world. I do not need another tuition on that subject.

Nimekuwa kwa falsafa za Ujamaa ambazo ndizo unazozijengea hoja hapa.

Kwenye ujamaa wa Nyerere, Marx, hata ukirudi kwenye Injili na maandiko matakatifu, mahubiri yanazungumzia usawa.

Lakini hata katika mahubiri haya na nikilenga katika Ukristo, tangu awali, binaadamu amejilimbikizia mali kwanza kwa kazi na juhudi zake mwenyewe, kisha ku-expand na kutaka kuwa na monopoly.

Mfalme Daudi na hata mwanawe Mfalme Suleiman, waliongeza utajiri wao kibabe kwa kuteka na kunyang'anya wale ambao walipingana nao.

Lakini msaahafu, unatuonyesha kuwa kwa kuwa Daudi na Suleiman, walikuwa wacha Mungu wa kweli, basi wao ni tofauti na Pharao na Nebukadreza ambao nao walijitwalia mali na kujenga himaya lakini waliabudu Miungu wengine.

Je kwa tafsiri zako za kujilimbikizia mali, hatustahili kusema Kizazi kilicho shina la Yesu lilikuwa la kifisadi na hivyo Yesu ni uzao na matunda ya Ufisadi?

Take a time to reflect kwa nini kuna mashindano na kuna kuwa na mshindi wa kwanza na wa mwisho. Kama binadamu wote ni sawa, basi wote tungeshinda mbio za
mita 100, kwa sekunde 9.78, na si mtu wa kumi kumaliza mbio kwa muda wa sekunde 12. Meaning there is nothing called usawa, ni kila mtu kwa juhudi na maarifa yake.

May be I should ask you, what is proper definition of Ufisadi? maana inaelekea kuna generalization kubwa sana katika Tanzania ya neno fisadi.

Tulipokuwa tunapambana na Ubepari, tulipinga mambo ya Ubeberu.

Alichofanya Carnegie, wakati wa Gilded Age si to take advantage of the opportunity to expand his wealth and increase production of his business and industries. Was it right to take adgvantage, No it was not, lakini hakuna hata siku moja katika maisha ya mwanadamu kutakuja tokea usawa. It is utopian to think that without competition, there will be equality.

Ufisadi wa kina Chenge, Lowassa na Rostam, si sawa mambo waliyofanya wakina Rockfeller au Carnegie! Infact unawapa tukuzo na kuwafananisha na watu walianza kwa kuchapa kazi left and right na kadri walivyozidi kujijenge, pamoja na tamaa waliyokuwa nayo, waliendeleza juhudi na maarifa za uzalishaji mali.

Walichofanya hawa ambao ni watumishi wa Serikali na kazi zao ni kulinda katiba na kutumia Sheria kutawala na kulinda Raia na Taifa ni kuliibia taifa.

Wao kina Chenge tunawatuhumu kwa wizi na hujuma kwa mali ambayo si yao ni yetu sote!
 
Mushi,

1)I take it with great offence kuniita Pro Kikwete! Kuwa na mawazo tofauti nawe hakunifanyi mimi kuwa shabiki wa Kikwete na huku kunaonyesha udhaifu wako kukubali kauli na maoni ya wengine. you sound like CCM kuwa kama hukubaliani nao, basi wewe unayekataa kuungana na CCM na mwenye mtazamo mwingine ni mhaini!

I detest such labeling!

2)I already know the history if US and so is History of the world. I do not need another tuition on that subject.

Nimekuwa kwa falsafa za Ujamaa ambazo ndizo unazozijengea hoja hapa.

3)Kwenye ujamaa wa Nyerere, Marx, hata ukirudi kwenye Injili na maandiko matakatifu, mahubiri yanazungumzia usawa.

Lakini hata katika mahubiri haya na nikilenga katika Ukristo, tangu awali, binaadamu amejilimbikizia mali kwanza kwa kazi na juhudi zake mwenyewe, kisha ku-expand na kutaka kuwa na monopoly.

Mfalme Daudi na hata mwanawe Mfalme Suleiman, waliongeza utajiri wao kibabe kwa kuteka na kunyang'anya wale ambao walipingana nao.

Lakini msaahafu, unatuonyesha kuwa kwa kuwa Daudi na Suleiman, walikuwa wacha Mungu wa kweli, basi wao ni tofauti na Pharao na Nebukadreza ambao nao walijitwalia mali na kujenga himaya lakini waliabudu Miungu wengine.

Je kwa tafsiri zako za kujilimbikizia mali, hatustahili kusema Kizazi kilicho shina la Yesu lilikuwa la kifisadi na hivyo Yesu ni uzao na matunda ya Ufisadi?

Take a time to reflect kwa nini kuna mashindano na kuna kuwa na mshindi wa kwanza na wa mwisho. Kama binadamu wote ni sawa, basi wote tungeshinda mbio za
mita 100, kwa sekunde 9.78, na si mtu wa kumi kumaliza mbio kwa muda wa sekunde 12. Meaning there is nothing called usawa, ni kila mtu kwa juhudi na maarifa yake.

4)May be I should ask you, what is proper definition of Ufisadi? maana inaelekea kuna generalization kubwa sana katika Tanzania ya neno fisadi.

5)Tulipokuwa tunapambana na Ubepari, tulipinga mambo ya Ubeberu.

6)Alichofanya Carnegie, wakati wa Gilded Age si to take advantage of the opportunity to expand his wealth and increase production of his business and industries. Was it right to take adgvantage, No it was not, lakini hakuna hata siku moja katika maisha ya mwanadamu kutakuja tokea usawa. It is utopian to think that without competition, there will be equality.

7)Ufisadi wa kina Chenge, Lowassa na Rostam, si sawa mambo waliyofanya wakina Rockfeller au Carnegie! Infact unawapa tukuzo na kuwafananisha na watu walianza kwa kuchapa kazi left and right na kadri walivyozidi kujijenge, pamoja na tamaa waliyokuwa nayo, waliendeleza juhudi na maarifa za uzalishaji mali.

8)Walichofanya hawa ambao ni watumishi wa Serikali na kazi zao ni kulinda katiba na kutumia Sheria kutawala na kulinda Raia na Taifa ni kuliibia taifa.

9)Wao kina Chenge tunawatuhumu kwa wizi na hujuma kwa mali ambayo si yao ni yetu sote!

Nitajaribu ila sitaki tupoteze maana halisi ya hii thread!Nitatumia reference ya namba...

1) Ni ideas zako ndio inabidi ni kubrand hivyo nothing else!

Umeonyesha kutokukubaliana kama kuna kitu kama ufisadi pamoja na tafsiri nyingi wao viongozi wanazotaka tuzikumbatie!

Mpaka utakapoweka wazi kuwa Balali na wenzanke wakamatwe then infront of mu eyes itakuwa hivyo still!

2)Sijakupa tuition on the subject nimekutaka utumie mifano halisi kwasababu na sisi si tuko kwenye mbio za ubepari?

Tunakotaka kupitia sisi wao wameshapitia na nina rudia tumeshindwa kujifunza na historia zao kwasababu ni wazi utafsiri wetu ni wa tofauti!

Kama vile tunavofanya kwenye maandiko matakatifu!

Tafsiri zetu always mbovu! Wachungaji wa wale walioleta dini ni tofauti na wale walioipokea!

Tuna bakia kwenda back and forth oh mi najua nimesoma sihitaji kuambiwa!

Na kuwa vigumu kujadili na kupata viongozi bora hence moving our coutry forward.

Nataka ulete data kama nilivyofanya otherwise turudu kwenye mada ya either we're poor or not!

3)Unadai mambo ya usawa huku ukinituhumu kwa kukumbatia siasa za ujamaa ulizokulia?

Binadamu wote ni sawa ilitoka wapi? Unajijibu mwenyewe?

4)Ndio maana nikakuita pro JK kwasababu na wewe uko out of touch!

Sio tu hujui ufisadi ni nini bali pia hauamini if there's such a thing as UFISADI!

Again we should go back to the point adawais time wasting ni obvious! Nenda kwenye thread ya "JK-Msijali kuitwa Mafisadi"

Then muandikie email kumuuliza what he ment! And then come back here and give us a hint.. Baada ya hapo then nitajua tofauti kati yako na Kikwete!

5)Unawafagilia wakina Chenge ambao sasa ndio mabeberu wetu! Na sielewi mawazo yako wewe ni yapi! Kuwa wao si mafisadi? Ama hakuna hata kitu inaitwa ufisadi!

6)Nani kasema mambo ya competition si mazuri?
Historia gani we umesoma?

Ipi hiyo mchungaji?

Kwangu haionyeshi hivyo!

Or otherwise uelewa wetu ni wa tofauiti inapokuja kwenye history!


Kwenye hii point sijakuelewa kabisa na umesahau pale niliposema kuwa waliigeuza mioyo yao! Mafisadi wetu wamefanya hivyo ama wananendelea kutuona sisi ni pumbavu?

Na wewe pia kuamua kusema kuwa hawakufanya ufisadi!

7)Walijimilikisha mali za umma ambazo walizipata kwa connection na viongozi wao ambao nao walikuwa na shea na bado wanazo(chase manhattan)

Si nimekupa mfano wa Kiwira etc etc kama ilivyokuwa kwenye resources zao za mafuta, madini, financial institution kama benki kuu nk?

8)Sasa kama huoni connection na huku unadai kuijua historia kwanini tusikupe u PRO JK?

WALITUMIA MAJINA YA TOFAUTI KUJIMILIKISHA KAMA ILIVYOKUWA KWA VIONGOZI WENGINE MAFISADI DUNIANI!

Kwamba ni viongozi ama si viongozi still wamevunja sheria ambazo zinawagusa kama mtanzania yoyote yule!

Pointi hapa ni ufisadi...Usipindishe hoja!

Again turudi kwenye point coz of lack of time!

9)Mali ni "yetu sote" kwa maneno! Ni yao kwa vitendo!

We want it back!

Then back to the point whether we're rich or not!?
 
Mushi,

Ama husomi na kumuelewa mtu, au ni kukurupuka na kujibu.Hata majibu yako yanawalakini mkubwa na unaelekea hukusoma na kutafakari nilichoongelea.

Hivi wewe tangu umekuwa mwanachama hapa JF, tangu lini umesoma au kunisoma kuwa mimi ni Pro-Kikwete?

Kipengele chako cha sita kitakuhukumu, ni wapi nimemfagilia Chenge? Didi you read and understand my point kusema usiwape tukuzo kina Chenge na kuwafananisha na kina Carnegie?

Nilipoongelea kina Rockfeller na Carnegie, nilikuwa nazungumzia industrialist, watu waliojenga utajiri wao kwa kuanza kuchapa kazi kwa nguvu na maarifa, na kadri walivyozidi kuongezeka na kuneemeka, ndipo wakazidi kutaka nyongeza.

This is completely diffferent with Chenge na Lowassa ambao ni watumishi wa Serikali ambao wanaiba na kuhujumu Taifa. Is Chenge an Industrialist? Did he invent may be Chumvi sasa anataka awe na monopoly ya kuzalisha na kuuza chumvi? No!

You can never compare the wealth of Industrialist who accumltaed his wealth through hard working and innovation as foundation of his richness and a civil servant, who became rich not out of his salary but through corruption and economic sabotage schemes! Mmoja katoka jasho mwingine katumia jasho la mwingine kujitajirisha!

Nikurahisishie, Utajiri wa Mengi na Manji, si sawa na wa Mramba na Chenge! Mengi na Manji ni wa kutokana na jasho lao, Mramba na Chenge ni kutokana na wizi!

Mifano niliyokupa, umeikebehi na kuidharau kwa kuwa wewe hoja yako ni ufisadi and nothing else. Nimekuuliza premise na mazingira ya Ufisadi. Wewe unakimbilia nisome mambo ya Historia ya Marekani, nikakujibu hata Mfalme Daudi, alinyang'anya watu kujenga ufalme wake, just to show you kuwa katika dunia, hakuna mfumo wa usawa hata siku moja. Usawa ni nadharia, na kikubwa cha kusema kila mtu ni sawa ni kwa kuwa kila mtu anakula, anapumua, anakunya, anaugua.

Lakini, si kila mtu anakula chakula kwa kiwango sawa au chakula kile kile. Wengine mayai au maziwa yanawadhuru, lakini si tunaambiwa ndio chakula bora?

Umeshindwa kujibu hoja ukaanza kuniita out of touch! Kutofautiana fikra na hoja does not make me out of touch. Soma makala zangu zote uone how out of touch I have become. Infact nenda hii mada ya "divided perspective" uone nilivyo out of touch!

Nitakusaidia kwa kuhitimisha. Utajiri na mali za kina Rockfeller, Ford, Carnegie na hata Bill Gates ulitokana na mfumo wa kiuchumi ulioruhusu watu binafsi kuwa wazalishaji mali huru, kutumia juhudi na maarifa yao, na kadri siku zilivyokwenda, kuongezeka kwa soko la bidhaa zao kulilazimisha wao watafute rasilimali mpya, mitaji na kadhalika.

Sijakataa, kuwa hawakutumia dhuluma kuongeza nguvu zao za uzalishaji mali ili kuongeza utajiri wao ambao ulianza ongezeka kwa nguvu. Nimesema walichofanya hakikuwa sahihi, lakini kilikubalika kwa mazingira yao ya mfumo wa Kibepari. Ni sawa na Mfalme Daudi au Sulemani, kuteka nchi, ardhi mali na kujiongezea utajiri na himaya zao.

Walichofanya kina Chenge, Mramba, Lowassa, Karamagi ambao ni walinzi wa Sheria na Katiba ni kuliibia Taifa. Huo ni uhujumu na ufisadi kwa mazingira ya kwetu. Wametumia rushwa, na vyeo vyao kuliibia Taifa. Wao hawakuwa wenye mali au wazalishaji mali. Wao walikuwa ni wafanyakazi wa Taifa.

Nilichokileta kwa kuwazungumzia kina Rockfeller ni kujibu kuwa, wenzetu walitumia Mali asili na Rasilimali kuzizalisha kwa kutumia juhudi na maarifa, ndipo wakaanza kuwa matajiri. Nimesema awali na narudia tena hapa kwako kwenye mada yako, sisi (viongozi wetu) badala ya kuhamasisha uzalishaji mali na kuwa wabunifu, tunakimbilia kutafuta utajiri kwa njia fupi na nyepesi. Kama kuuza viwanda na mashirikia, kubinafsisha shughuli za uzalishaji mali kama Kilimo, madini, nishati na utalii, kutafuta wawekewzaji kununua na kuendesha mashirika na shughuli za uzalishaji mali, ili tulipwe pesa na kujitapa tumepata mapato, huku tunacholipwa ni asilimia ndogo tuu ya kinachovunwa.

Sasa kama tungekuwa na kina Carnegie, Ford na Rockfellerambao ni wazawa, si 100% ya uzalishaji mali na mazao yake yangebakia kuwa mali yetu na hivyo Taifa kuanza kuegemea mkono wa Nchi iliyoendelea na tajiri na kufanya maisha ya kila mtu kuwa ya kiwango bora?

Sasa kama hunielewi kwa hili na utaendelea kuniita out of touch na Pro Kikwete, basi nakuachia wewe na mada yako muendelee kutafuta majibu kama Tanzania ni Tajiri au Masikini!

Ni mimi Pro Kikwete, Mpenda na mlinzi wa Ufisadi ambaye ni Out of Touch!
 
Mushi,

Ama husomi na kumuelewa mtu, au ni kukurupuka na kujibu.Hata majibu yako yanawalakini mkubwa na unaelekea hukusoma na kutafakari nilichoongelea.

Hivi wewe tangu umekuwa mwanachama hapa JF, tangu lini umesoma au kunisoma kuwa mimi ni Pro-Kikwete?

Kipengele chako cha sita kitakuhukumu, ni wapi nimemfagilia Chenge? Didi you read and understand my point kusema usiwape tukuzo kina Chenge na kuwafananisha na kina Carnegie?

Nilipoongelea kina Rockfeller na Carnegie, nilikuwa nazungumzia industrialist, watu waliojenga utajiri wao kwa kuanza kuchapa kazi kwa nguvu na maarifa, na kadri walivyozidi kuongezeka na kuneemeka, ndipo wakazidi kutaka nyongeza.

This is completely diffferent with Chenge na Lowassa ambao ni watumishi wa Serikali ambao wanaiba na kuhujumu Taifa. Is Chenge an Industrialist? Did he invent may be Chumvi sasa anataka awe na monopoly ya kuzalisha na kuuza chumvi? No!

You can never compare the wealth of Industrialist who accumltaed his wealth through hard working and innovation as foundation of his richness and a civil servant, who became rich not out of his salary but through corruption and economic sabotage schemes! Mmoja katoka jasho mwingine katumia jasho la mwingine kujitajirisha!

Nikurahisishie, Utajiri wa Mengi na Manji, si sawa na wa Mramba na Chenge! Mengi na Manji ni wa kutokana na jasho lao, Mramba na Chenge ni kutokana na wizi!

Mifano niliyokupa, umeikebehi na kuidharau kwa kuwa wewe hoja yako ni ufisadi and nothing else. Nimekuuliza premise na mazingira ya Ufisadi. Wewe unakimbilia nisome mambo ya Historia ya Marekani, nikakujibu hata Mfalme Daudi, alinyang'anya watu kujenga ufalme wake, just to show you kuwa katika dunia, hakuna mfumo wa usawa hata siku moja. Usawa ni nadharia, na kikubwa cha kusema kila mtu ni sawa ni kwa kuwa kila mtu anakula, anapumua, anakunya, anaugua.

Lakini, si kila mtu anakula chakula kwa kiwango sawa au chakula kile kile. Wengine mayai au maziwa yanawadhuru, lakini si tunaambiwa ndio chakula bora?

Umeshindwa kujibu hoja ukaanza kuniita out of touch! Kutofautiana fikra na hoja does not make me out of touch. Soma makala zangu zote uone how out of touch I have become. Infact nenda hii mada ya "divided perspective" uone nilivyo out of touch!

Nitakusaidia kwa kuhitimisha. Utajiri na mali za kina Rockfeller, Ford, Carnegie na hata Bill Gates ulitokana na mfumo wa kiuchumi ulioruhusu watu binafsi kuwa wazalishaji mali huru, kutumia juhudi na maarifa yao, na kadri siku zilivyokwenda, kuongezeka kwa soko la bidhaa zao kulilazimisha wao watafute rasilimali mpya, mitaji na kadhalika.

Sijakataa, kuwa hawakutumia dhuluma kuongeza nguvu zao za uzalishaji mali ili kuongeza utajiri wao ambao ulianza ongezeka kwa nguvu. Nimesema walichofanya hakikuwa sahihi, lakini kilikubalika kwa mazingira yao ya mfumo wa Kibepari. Ni sawa na Mfalme Daudi au Sulemani, kuteka nchi, ardhi mali na kujiongezea utajiri na himaya zao.

Walichofanya kina Chenge, Mramba, Lowassa, Karamagi ambao ni walinzi wa Sheria na Katiba ni kuliibia Taifa. Huo ni uhujumu na ufisadi kwa mazingira ya kwetu. Wametumia rushwa, na vyeo vyao kuliibia Taifa. Wao hawakuwa wenye mali au wazalishaji mali. Wao walikuwa ni wafanyakazi wa Taifa.

Nilichokileta kwa kuwazungumzia kina Rockfeller ni kujibu kuwa, wenzetu walitumia Mali asili na Rasilimali kuzizalisha kwa kutumia juhudi na maarifa, ndipo wakaanza kuwa matajiri. Nimesema awali na narudia tena hapa kwako kwenye mada yako, sisi (viongozi wetu) badala ya kuhamasisha uzalishaji mali na kuwa wabunifu, tunakimbilia kutafuta utajiri kwa njia fupi na nyepesi. Kama kuuza viwanda na mashirikia, kubinafsisha shughuli za uzalishaji mali kama Kilimo, madini, nishati na utalii, kutafuta wawekewzaji kununua na kuendesha mashirika na shughuli za uzalishaji mali, ili tulipwe pesa na kujitapa tumepata mapato, huku tunacholipwa ni asilimia ndogo tuu ya kinachovunwa.

Sasa kama tungekuwa na kina Carnegie, Ford na Rockfellerambao ni wazawa, si 100% ya uzalishaji mali na mazao yake yangebakia kuwa mali yetu na hivyo Taifa kuanza kuegemea mkono wa Nchi iliyoendelea na tajiri na kufanya maisha ya kila mtu kuwa ya kiwango bora?

Sasa kama hunielewi kwa hili na utaendelea kuniita out of touch na Pro Kikwete, basi nakuachia wewe na mada yako muendelee kutafuta majibu kama Tanzania ni Tajiri au Masikini!

Ni mimi Pro Kikwete, Mpenda na mlinzi wa Ufisadi ambaye ni Out of Touch!

Turudi kwenye maana halisi ya mjadala pls
Is tz rich or poor!
 
Mushi,

Tukuulize wewe kwa maoni yako binafsi,(1) is Tanzania Rich or Poor? (2)If it is rich, how? (3)if it is poor, how?

Tanzania is rich in terms of its resources...Yet its inhabitants are poor (majority) We lack good ideas,honesty and good leadership.

2)Rich in resoursces and man power...We need good implimentations and appropiate allocations in terms of better technology together with the ability to acknowledge the urgency for doing so.

3)Our people are poor and the least we have is un equivalently distributed amongst us!

To be more specific i have some more analyisis on the poor side of the definition: In terms of its people the poverty comes hand to hand with inequality and the poor welfare of THE PEOPLE!

Therefore i will begin by defining those terms mainly Poverty, Inequality, and lastly our welfare....

Poverty: Poverty has been approached in both absolute and relative terms.

"Absolute poverty" is a measurable quantity referring to a lack of the basic resources needed to maintain a minimum of physical health, normally calculated in calories or nutritional levels. "Relative poverty" has a qualitative dimension.

It refers to general standards of living in different societies, taking into account culturally sensitive interpretations of poverty, and variations between and within societies over time.

Inequality: For those concerned with social policies and economic growth, inequality is normally interpreted as lack of equality of condition, that is lack of achievement of any given welfare indicator (e.g. income, consumption) or any valuable attribute of a population.

For example, the larger the difference in income between a country's rich and poor, the larger the inequality.

Note that reduction of poverty levels within any given society may not imply a reduction of inequality, because all classes in society may benefit simultaneously from economic growth, keeping the same proportion among them.

While it seems clear that inequality is undesirable, there is a great deal of debate over the desirability of total equality.

One debate over equality questions is the meaning and value of concepts such as class, status, power, and authority.

These cannot, it is argued, be completely equalized without suppressing other values such as personal freedom and individualism.

Welfare: It has a much broader meaning, referring to the general state of well-being that an "entity" enjoys.

Here, "entity" can be taken as a person or as a state, thus one can speak in terms of "personal well-being" or "welfare of the state."

To be continued....
 
Tanzania is rich in terms of its resources...Yet its inhabitants are poor (majority) We lack good ideas,honesty and good leadership.

2)Rich in resoursces and man power...We need good implimentations and appropiate allocations in terms of better technology together with the ability to acknowledge the urgency for doing so.

3)Our people are poor and the least we have is un equivalently distributed amongst us!

To be more specific i have some more analyisis on the poor side of the definition: In terms of its people the poverty comes hand to hand with inequality and the poor welfare of THE PEOPLE!

Therefore i will begin by defining those terms mainly Poverty, Inequality, and lastly our welfare....

Poverty: Poverty has been approached in both absolute and relative terms.

"Absolute poverty" is a measurable quantity referring to a lack of the basic resources needed to maintain a minimum of physical health, normally calculated in calories or nutritional levels. "Relative poverty" has a qualitative dimension.

It refers to general standards of living in different societies, taking into account culturally sensitive interpretations of poverty, and variations between and within societies over time.

Inequality: For those concerned with social policies and economic growth, inequality is normally interpreted as lack of equality of condition, that is lack of achievement of any given welfare indicator (e.g. income, consumption) or any valuable attribute of a population.

For example, the larger the difference in income between a country's rich and poor, the larger the inequality.

Note that reduction of poverty levels within any given society may not imply a reduction of inequality, because all classes in society may benefit simultaneously from economic growth, keeping the same proportion among them.

While it seems clear that inequality is undesirable, there is a great deal of debate over the desirability of total equality.

One debate over equality questions is the meaning and value of concepts such as class, status, power, and authority.

These cannot, it is argued, be completely equalized without suppressing other values such as personal freedom and individualism.

Welfare: It has a much broader meaning, referring to the general state of well-being that an "entity" enjoys.

Here, "entity" can be taken as a person or as a state, thus one can speak in terms of "personal well-being" or "welfare of the state."

To be continued....


Mushi:

Longolongo nyingi. Jukumu la miundo ya jamii ni kuboresha ubora wa maisha ya jamii husika. Hivyo jamii husika inaposhindwa kutumia resources zao zilizokuwepo kuendeleza ubora wa maisha yao basi utajiri wa resources hizo unakuwa irrelevant.

Hivyo tunapojibu je Tanzania ni tajiri au masikini, cha muhimu ni kuangalia ubora wa maisha wa jamii zilizopo Tanzania na kulinganisha na jamii zingine.

Kwa mfano: Hong Kong na Singapore ni nchi ambazo hazina maliasili nyingi na zina idadi kubwa ya watu kwa eneo. Lakini kwa sababu toka mwanzo walijiona kuwa wao ni chanzo cha maendeleo ya ubora wa maisha yao, wamepiga hatua kubwa za maendeleo. Na kwa upande mwingine, nchi nyingi za kiAfrika ikiwemo Tanzania ambazo toka tumepata uhuru tunaangalia maliasili zetu kama ndio utajiri wetu tumeshindwa kupiga hatua.
 
Mushi:

1)Longolongo nyingi. (2)Jukumu la miundo ya jamii ni kuboresha ubora wa maisha ya jamii husika. (3)Hivyo jamii husika inaposhindwa kutumia resources zao zilizokuwepo kuendeleza ubora wa maisha yao basi utajiri wa resources hizo unakuwa irrelevant.

Hivyo tunapojibu je Tanzania ni tajiri au masikini, cha muhimu ni (4)kuangalia ubora wa maisha wa jamii zilizopo Tanzania na kulinganisha na jamii zingine.

Kwa mfano: Hong Kong na Singapore ni nchi ambazo hazina maliasili nyingi na zina idadi kubwa ya watu kwa eneo. Lakini kwa sababu toka mwanzo walijiona kuwa wao ni chanzo cha maendeleo ya ubora wa maisha yao, wamepiga hatua kubwa za maendeleo. Na kwa upande mwingine, nchi nyingi za kiAfrika ikiwemo(5) Tanzania ambazo toka tumepata uhuru tunaangalia maliasili zetu kama ndio utajiri wetu tumeshindwa kupiga hatua.
Response yako haijatoa hoja ni kwa kivipi data hizo ni longo longo..Maana naona unapenda majibu ya mkato....Na hiyo siyo JF style!

2)Hilo bado kufanyika kwenye jamii yetu:

Rejea posting yangu kwenye poverty, welfare of a given society, this time our own!

3)Jamii husika haiwezi kuzitumia resources zake kama hawazimiliki na hazina faida kwao:

Rejea unequal income distribution pamoja na inability to utilize the resources for the benefit of its inhabitants, honesty in leadership together with the sense of urgency in terms of dealing with the whole situation during "Absolute poverty" eradication!(Rejea posting yangu kuhusu definition ya "Absolute poverty!")

4)Maoni yako ni yapi hayo baada ya wewe kuangalia ubora wa jamii ya mtanzania na kuilinganisha na wengine?

5)Sasa kama hii si longo longo...Then niambie tofauti yetu iko wapi kwenye hili!
 
Haya nduguzanguni someni wenyewe hapa muelewe zaidi.Umasikini uko wapi?Ni uzembe wetu tu sisi wananchi!

Kashfa ya mgodi wa dhahabu Buhemba, bilioni 30/- `zaliwa`

2008-05-11 12:06:39
Na Mwandishi Wetu
Kashfa ya ufisadi katika mgodi wa dhahabu wa Buhemba ulioko mkoani Mara, umesababisha mapato ya nchi yenye thamani ya Sh. bilioni 30 `kuliwa` na wajanja.

Fedha hizo `zilitafunwa ` katika Awamu ya Rais Benjamin Mkapa, kuanzia 2003 hadi 2006 kupitia wawekezaji wa kampuni ya Tangold `iliyojimilikisha` mgodi huo kinyemela.

Kwa mujibu wa takwimu zilizopatikana kutoka Benki Kuu (BoT), jijini Dar es Salaam, Tangold ilichukua mgodi wa Buhemba ambao kuanzia mwaka 1997 ulikuwa ukiendeshwa kwa ubia na kampuni ya MEREMETA, Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Triennex Properietary Limited ya Afrika Kusini.

Nyaraka nyeti kutoka BoT zilisema kuwa JWTZ na mbia huyo walianza kuchimba dhahabu Oktoba 1997 na baadaye mkataba ulimalizika na Tangold ilijimilikisha mgodi huo kuanzia mwaka 2003 hadi 2006.

Ziliibua kuwa mambo ya MEREMETA hayakwenda vizuri kwani miradi yote iliyoanzishwa ilitumia fedha za mikopo kutoka Benki ya Nedcor ya Afrika Kusini ambayo ilichukuliwa na kampuni ya Triennex Properietary kwa niaba ya Serikali ya Tanzania.

``Kwa kuhofia athari za mkopo huo kwa uchumi wa nchi, Rais mstaafu Benjamin Mkapa, aliunda Kamati maalum (task force) mwaka 2003 kwa ajili ya kuhakikisha mkopo unalipwa , kusimamia uendeshaji wa miradi ya MEREMETA na kuchunguza matatizo ya kampuni hiyo ya JWTZ na wawekezaji kutoka Afrika Kusini``, kilisema chanzo cha BoT.

Wajumbe wa kamati ya kuchunguza matatizo ya MEREMETA walikuwa ni Gavana wa BoT aliyefutwa kazi Dk. Daudi Balali, aliyekuwa Mwenyekiti.

Wengine ni Makatibu Wakuu Bw. Gray Mgonja wa Wizara ya Fedha, Bw. Patrick Rutabanzibwa -Madini na Nishati, (sasa Wizara ya Maji na Umwagiliaji), Bw. Vincent Mrisho aliyekuwa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (sasa Ofisi ya Waziri Mkuu) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya awamu ya tatu, Bw. Andrew Chenge.

Bw. Chenge mwezi uliopita alijiuzulu wadhifa wa Waziri wa Miundombinu kufuatia tuhuma za kuhifadhi zaidi ya shilingi bilini moja zinazodaiwa kuwa ni rushwa aliyopewa katika ununuzi wa rada iliyogharimu bilioni 70/-

Baada ya Tangold kuchukua Buhemba, ilichimba dhahabu yenye thamani ya Dola milioni 121.3 sawa na Sh. bilioni 147.

Dhahabu iliyochimbwa kwa kipindi hicho ni mali ya serikali kwani mgodi huo ulikuwa ni mali ya umma na ilikuwa na thamani ya Dola.

Taarifa zilizoifikia Nipashe Jumapili zilieleza kuwa katika kipindi hicho cha miaka minne, Tangold ilichimba karibu kilo 10,000 za dhahabu kutoka mgodi huo na kupata faida ya bilioni 30/-.

Tangold ilionyesha kuwa ililipa mrahaba wa Dola milioni 3.6 kwa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma Vijijini ambao ni sawa na Sh. bilioni 4.36 kwa muda wote.

Takwimu za uchimbaji zilionyesha kuwa mwaka 2003 zilichimba kilo 2,848. 874, wakati mwaka uliofuata zilipatikana kilo 291.290. Mapato yanaonyesha kuwa mwaka 2005 ilipata kilo 2,220. 560 na mwaka 2006 ilipata kilo 1,890.934 na kwa jumla zilipatikana kilo 9, 941.658.

Hata hivyo, baada ya kupata kiasi hicho BoT ilionyesha kuwa Tangold iliilipa kampuni moja ya Afrika ya Kusini gharama za kuendesha mgodi ambazo ni kati ya Dola milioni 80 na 90 kwa miaka minne ambazo ni sawa na Sh. bilioni 100 mpaka 116.3.

Hata hivyo, licha ya kupata mabilioni hayo Tangold haikuwasilisha fedha hizo serikalini.

``Taarifa za Tangold haziko Wizara ya Fedha-Msajili wa Hazina , wala kwa Msajili wa Biashara (BRELA) hata BoT hazikuwahi kuwasilishwa,`` kilisema chanzo cha BoT.

Pesa hizo bilioni 30 ni mali ya umma lakini hazijulikani zilipo na swali linaloendelea kuulizwa ni wamiliki wa kampuni hiyo ni akina nani?

Katika Mkutano wa Bunge wa mwezi uliopita Mbunge wa Musoma Vijini Bw. Nimrod Mukono, alitaka kufahamishwa wamiliki wa mgodi wa Buhemba.
 
Haya nduguzanguni someni wenyewe hapa muelewe zaidi.Umasikini uko wapi?Ni uzembe wetu tu sisi wananchi!

Kashfa ya mgodi wa dhahabu Buhemba, bilioni 30/- `zaliwa`

2008-05-11 12:06:39
Na Mwandishi Wetu
Kashfa ya ufisadi katika mgodi wa dhahabu wa Buhemba ulioko mkoani Mara, umesababisha mapato ya nchi yenye thamani ya Sh. bilioni 30 `kuliwa` na wajanja.

Fedha hizo `zilitafunwa ` katika Awamu yaRais Benjamin Mkapa, kuanzia 2003 hadi 2006 kupitia wawekezaji wa kampuni ya Tangold `iliyojimilikisha` mgodi huo kinyemela.

Kwa mujibu wa takwimu zilizopatikana kutoka Benki Kuu (BoT), jijini Dar es Salaam, Tangold ilichukua mgodi wa Buhemba ambao kuanzia mwaka 1997 ulikuwa ukiendeshwa kwa ubia na kampuni ya MEREMETA, Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Triennex Properietary Limited ya Afrika Kusini.

Nyaraka nyeti kutoka BoT zilisema kuwa JWTZ na mbia huyo walianza kuchimba dhahabu Oktoba 1997 na baadaye mkataba ulimalizika na Tangold ilijimilikisha mgodi huo kuanzia mwaka 2003 hadi 2006.

Ziliibua kuwa mambo ya MEREMETA hayakwenda vizuri kwani miradi yote iliyoanzishwa ilitumia fedha za mikopo kutoka Benki ya Nedcor ya Afrika Kusini ambayo ilichukuliwa na kampuni ya Triennex Properietary kwa niaba ya Serikali ya Tanzania.

``Kwa kuhofia athari za mkopo huo kwa uchumi wa nchi, Rais mstaafu Benjamin Mkapa, aliunda Kamati maalum (task force) mwaka 2003 kwa ajili ya kuhakikisha mkopo unalipwa , kusimamia uendeshaji wa miradi ya MEREMETA na kuchunguza matatizo ya kampuni hiyo ya JWTZ na wawekezaji kutoka Afrika Kusini``, kilisema chanzo cha BoT.

Wajumbe wa kamati ya kuchunguza matatizo ya MEREMETA walikuwa ni Gavana wa BoT aliyefutwa kazi Dk. Daudi Balali, aliyekuwa Mwenyekiti.

Wengine ni Makatibu Wakuu Bw. Gray Mgonja wa Wizara ya Fedha, Bw. Patrick Rutabanzibwa -Madini na Nishati, (sasa Wizara ya Maji na Umwagiliaji), Bw. Vincent Mrisho aliyekuwa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (sasa Ofisi ya Waziri Mkuu) na Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya awamu ya tatu, Bw. Andrew Chenge.

Bw. Chenge mwezi uliopita alijiuzulu wadhifa wa Waziri wa Miundombinu kufuatia tuhuma za kuhifadhi zaidi ya shilingi bilini moja zinazodaiwa kuwa ni rushwa aliyopewa katika ununuzi wa rada iliyogharimu bilioni 70/-

Baada ya Tangold kuchukua Buhemba, ilichimba dhahabu yenye thamani ya Dola milioni 121.3 sawa na Sh. bilioni 147.

Dhahabu iliyochimbwa kwa kipindi hicho ni mali ya serikali kwani mgodi huo ulikuwa ni mali ya umma na ilikuwa na thamani ya Dola.

Taarifa zilizoifikia Nipashe Jumapili zilieleza kuwa katika kipindi hicho cha miaka minne, Tangold ilichimba karibu kilo 10,000 za dhahabu kutoka mgodi huo na kupata faida ya bilioni 30/-.

Tangold ilionyesha kuwa ililipa mrahaba wa Dola milioni 3.6 kwa Halmashauri ya Wilaya ya Musoma Vijijini ambao ni sawa na Sh. bilioni 4.36 kwa muda wote.

Takwimu za uchimbaji zilionyesha kuwa mwaka 2003 zilichimba kilo 2,848. 874, wakati mwaka uliofuata zilipatikana kilo 291.290. Mapato yanaonyesha kuwa mwaka 2005 ilipata kilo 2,220. 560 na mwaka 2006 ilipata kilo 1,890.934 na kwa jumla zilipatikana kilo 9, 941.658.

Hata hivyo, baada ya kupata kiasi hicho BoT ilionyesha kuwa Tangold iliilipa kampuni moja ya Afrika ya Kusini gharama za kuendesha mgodi ambazo ni kati ya Dola milioni 80 na 90 kwa miaka minne ambazo ni sawa na Sh. bilioni 100 mpaka 116.3.

Hata hivyo, licha ya kupata mabilioni hayo Tangold haikuwasilisha fedha hizo serikalini.

``Taarifa za Tangold haziko Wizara ya Fedha-Msajili wa Hazina , wala kwa Msajili wa Biashara (BRELA) hata BoT hazikuwahi kuwasilishwa,`` kilisema chanzo cha BoT.

Pesa hizo bilioni 30 ni mali ya umma lakini hazijulikani zilipo na swali linaloendelea kuulizwa ni wamiliki wa kampuni hiyo ni akina nani?

Katika Mkutano wa Bunge wa mwezi uliopita Mbunge wa Musoma Vijini Bw. Nimrod Mukono, alitaka kufahamishwa wamiliki wa mgodi wa Buhemba.
Hivi kabla ya Mh Rais ksema kuwa sisi ni masikini alishatueleza kuhusu "utu tuutajiri" tulionato?

At the same time akisema wasijali gharama wala kuitwa mafisadi!SWALI LINABAKI KWETU SISI WATANZANIA...GIVEN ALL THESE FACTS....IS OUR COUNTRY RICH OR POOR?!



Where are we going ma fella countrymen!
 
Hivi kabla ya Mh Rais ksema kuwa sisi ni masikini alishatueleza kuhusu utu tuutajiri?

At the same time akisema wasijali gharama wala kuitwa mafisadi!
SWALI LINABAKI KWETU SISI WATANZANIA...GIVEN ALL THESE FACTS....IS OUR COUNTRY RICH OR POOR?!

Where are we going ma fella countrymen!

Kutoa takwimu ni sawa ni njia ya kuhalalisha unachokisema lakini haitaki tochi na wala kufikiri sana, nakubaliana na wewe kuwa Tanzania si masikini na naweza kusema Mungu katupendelea kwa utajiri hasa wa mali ya asili - tuanataka nini watu tunao si ghaba, ardhi yenye rutba ipo tuna maziwa na mito na wala sizungumzii misitu na baari pamoja na fukwe zake na wachilie mbali hayo madini. Kinachotukwamisha ni vingozi wasio na vision na kutokujali maendeleo ya nchi.

Niliwahi kuzungumza na Meneja wa Kampuni ya Mabasi ya Kenya tuliokutana katika safari na alinieleza wanasubiri logics za kuunda Jumuiya ya Africa ya Mashariki zikamilike waje Tz kuwekeza zaid kwani ni nchi Tajiri kwa Africa ya Mashariki na Kati ukitoa Zaire(Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo).
 
Response yako haijatoa hoja ni kwa kivipi data hizo ni longo longo..Maana naona unapenda majibu ya mkato....Na hiyo siyo JF style!

2)Hilo bado kufanyika kwenye jamii yetu:

Rejea posting yangu kwenye poverty, welfare of a given society, this time our own!

3)Jamii husika haiwezi kuzitumia resources zake kama hawazimiliki na hazina faida kwao:

Rejea unequal income distribution pamoja na inability to utilize the resources for the benefit of its inhabitants, honesty in leadership together with the sense of urgency in terms of dealing with the whole situation during "Absolute poverty" eradication!(Rejea posting yangu kuhusu definition ya "Absolute poverty!")

4)Maoni yako ni yapi hayo baada ya wewe kuangalia ubora wa jamii ya mtanzania na kuluinganisha na wengine?

5)Sasa kama hii si longo longo...Then niambie tofauti yetu iko wapi kwenye hili!


Mushi,


Sorry to ask this, how old are you and which year are you in University?

I have to ask this because of the kind of responses you always give. Just as you responded irresponsibly to me, few pages behind on this topic, you have done the same to Bin Maryam. Did you actually take time to read and digest what he was saying?

Do you have any idea of what Bin Maryam saw in Tanzania goold old days za Azimio la Musoma, Vijiji vya Ujamaa and current state of Tanzania that led him to provide such response to you?

Most of what you have posted about definitions of poverty, rich and such are direct quotes from a dictionary or a text book you are using at college and not your opinions, ndiyo maana Bin Maryam kakuambia achana na Longolongo! Who said JF style is to right with bold and large fonts of 10 paragraphs as a way to make an argument and respond?

Sometimes silence is Golden,and you should learn to accept and acknowledge different opinions.

As far as I read your thread, you have not come up with anything of substance to tell us why Tanzania is Rich or Poor than copying definitions or some materials you have read and paste it here and you claim them to be data!

Wewe umeleta hoja unataka watu wachangie na wakupe majibu au kuwe na majadiliano, lakini unakuwa moderator ambaye unataka kila kitu kiendane na unachotaka na huna hoja yeyote ile bali hisia zako kwenye suala la umasikini au utajiri wa Tanzania.

Respect people opinions, you could learn something if you are as smart as you try to show us.

Jenga hoja usitumie nguvu kujenga hoja!
 
Mushi,


Sorry to ask this, how old are you and which year are you in University?

I have to ask this because of the kind of responses you always give. Just as you responded irresponsibly to me, few pages behind on this topic, you have done the same to Bin Maryam. Did you actually take time to read and digest what he was saying?

Do you have any idea of what Bin Maryam saw in Tanzania goold old days za Azimio la Musoma, Vijiji vya Ujamaa and current state of Tanzania that led him to provide such response to you?

Most of what you have posted about definitions of poverty, rich and such are direct quotes from a dictionary or a text book you are using at college and not your opinions, ndiyo maana Bin Maryam kakuambia achana na Longolongo! Who said JF style is to right with bold and large fonts of 10 paragraphs as a way to make an argument and respond?

Sometimes silence is Golden,and you should learn to accept and acknowledge different opinions.

As far as I read your thread, you have not come up with anything of substance to tell us why Tanzania is Rich or Poor than copying definitions or some materials you have read and paste it here and you claim them to be data!

Wewe umeleta hoja unataka watu wachangie na wakupe majibu au kuwe na majadiliano, lakini unakuwa moderator ambaye unataka kila kitu kiendane na unachotaka na huna hoja yeyote ile bali hisia zako kwenye suala la umasikini au utajiri wa Tanzania.

Respect people opinions, you could learn something if you are as smart as you try to show us.

Jenga hoja usitumie nguvu kujenga hoja!

Haya basi unataka kusema kuwa hatujifunzi?

Wewe umezaliwa unajua kila kitu?

Na mimi nikuulize wewe ni mchungaji wa kanisa gani na una waumini wangapi?

Na uchungaji wako umeusomea wapi?
 
Back
Top Bottom