Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?
Natumaini wakati wa azimio la arusha kama wanamkakati uliokuwa ukiongozwa na mwalimu jk nyerere wa kujali na kuleta maendeleo kwa wote ungekwenda kama walivyokubaliana leo ungekuta nchi ipo na watu wenye maadili ya kweli,na maendeleo ya kweli.tujiulize kijanja na kijinga pia.nchi yetu ina.-1 -madini mengi sana ya aina mbalimbali.tanzanite na dhahabu gramu moja inatosha kununua mafuta (barrels)pipa tano,sasa fikiria tanzanite iliyokuwa inauzwa kenya wao wakapewa zawadi ya ndege nilisikia ingawa sina ukweli wa hilo.makampuni yote yanayochimba dhahabu yameneemeka .-2-misitu ,ambayo inatoa mbao nyingi ukweli ni kwamba nchi yetu ni nne kwa uzalishaji hapa afrika.-3 mbuga za wa nyama-tanzania ni ya tatu kwa kupokea watalii weni barani afrika,ukiachilia mbali ,uwindaji,uuzwaji wa nyama pori na mazao mengine yatokanayo na mbuga za wanyama.-3-bandari,inasikitisha kwamba nchi kama zambia ,malawi burundi rwanda,zaire zitegemea bandari ya dar es salaam kupitisha mizigo yao.-4-bahari ,maziwa,mito na mabwawa,vyote ni vyanzo vya samaki,vyiura ,maji kwa umwagiliaji nk.-5-ardhi -kwa kilimo cha mazao ya biashara ,chakula,mauwa ,mboga ,matunda ,ujenzi wa barabara zilizo bora kwa usafiri wa mizigo inayikwenda nje.-6-viwanja vya ndege ,reli.-7-milima kama kilimanjaro,usambara,meru nk.ni utajiri usiobebeka kama kila mtu akimfiria mtanzania kama mwenzake.tujifunze kutoka kwa wazungu hawana mchezo na maendeleo ,uongozi,utawala,matumizi ya rasilimali.mwisho kila kitu kina mwisho na kila mtu anastahili maisha bora
 

Attachments

  • capt.bdff4ecbcbde95054feb913da9cba4ed[1].jpg
    capt.bdff4ecbcbde95054feb913da9cba4ed[1].jpg
    25.2 KB · Views: 37
  • _52734713_011986706-2[1].jpg
    _52734713_011986706-2[1].jpg
    143.7 KB · Views: 46
  • r586435554[2].jpg
    r586435554[2].jpg
    15.4 KB · Views: 36
  • day_photos004--500x380[1].jpg
    day_photos004--500x380[1].jpg
    27.7 KB · Views: 41
  • _52590022_011914894-1[1].jpg
    _52590022_011914894-1[1].jpg
    154.7 KB · Views: 38
keo kutakuwa na kongamano katika chuo cha ushirika kuhusu kwanini sisi ni masikini after 50 years of independence, tutakuwa n mh. samwel sitta, prof shivji, mh harrison mwakyembe and prof sulemain chambo. wote wwatachangia mada na kuhusiana na topic mbalimbali, from leadership to development topics. your welcomed to share ideas and opinions concerning the matter
 
"kwanini Tanzania bado maskini miaka 50 ya uhuru", ndio kongamano linalo karibia kuanza hapa muccobs, watoa mada ni prof. Issa Shivji, Mh. Samwel Sitta, Dr. Harrison Mwakyembe, Prof Suleiman Chambo,Mr Mangasini (lecturer) and others. Najua ndugu zangu wana jamii mna mwono mkubwa sana kuhusiana na hii mada. Ill keep u up to date about what is going on, wakati mkichangia na kutoa mawazo yenu.
 
kwanini Tanzania bado maskini miaka 50 ya uhuru

"kwanini Tanzania bado maskini miaka 50 ya uhuru", ndio kongamano linalo karibia kuanza hapa muccobs, watoa mada ni prof. Issa Shivji, Mh. Samwel Sitta, Dr. Harrison Mwakyembe, Prof Suleiman Chambo,Mr Mangasini (lecturer) and others. Najua ndugu zangu wana jamii mna mwono mkubwa sana kuhusiana na hii mada. Ill keep u up to date about what is going on, wakati mkichangia na kutoa mawazo yenu.​
 



"kwanini Tanzania bado maskini miaka 50 ya uhuru", ndio kongamano linalo karibia kuanza hapa muccobs, watoa mada ni prof. Issa Shivji, Mh. Samwel Sitta, Dr. Harrison Mwakyembe, Prof Suleiman Chambo,Mr Mangasini (lecturer) and others. Najua ndugu zangu wana jamii mna mwono mkubwa sana kuhusiana na hii mada. Ill keep u up to date about what is going on, wakati mkichangia na kutoa mawazo yenu.​
 
Sababu tulikuwa tunaongozwa na majini ya Sheikh Yahya
 
Tanzania haijawahi kuongozwa na kilaza kama mkwe're
 
ndugu zangu wana jamvini nimekuwa nikijiuliza maswali haya kwa muda mrefu sana

hivi kweli sisi kama nchi ni masikini ? na kama sio masikini tufanyeje basi kuondokana na hari ngumu ya kimaisha?

na pia najiuliza hivi inawezekanaje Tanzania kama inchi ikawa na Utajiri mkubwa lakini watu wake wakawa ni maskini wakubwa ? tumekosa nini kwa Mungu?

naendelea kujiuliza au

Au sisi ni masikini kwa sababu akiri zetu nazo ni masikini , hatuna uwezo wa kufikiri na kupanga makubwa au hata tukifikiri makubwa na kuyapanga hatuyatekelezi? sijui naomba waungwana mnisadie kwa nini tu masikini ili nami nimfundishe mwanangu ili asije rudia makosa tuliyoyafanya sisi.

ni mimi mchukia umasikini.
Asante
 
Ahsante kwa hii topc. Tanzania sio masikini asilani! Watanzania hawajiamini, hawajitumi, hawana/hakuna kiongozi/viongozi wanaojali Taifa lao la Tanzania na Watu wake waishi je. Lazima Watanzania wajirudi haraka sana la sivyo tutachwa mbali mno na majirani zetu. Siasa zimezidi mno! Viwanda vya mazao ya kilimo ni muhimu! Vitazimua Kilimo Kwanza, Wakulima wapate bei nzuri ya mazao yao iwe ndiyo motisha ya uzalishaji bora! Nawasilisha.
 
<font size="4"><b>ndugu zangu wana jamvini nimekuwa nikijiuliza maswali haya kwa muda mrefu sana<br />
<br />
hivi kweli sisi kama nchi ni masikini ? na kama sio masikini tufanyeje basi kuondokana na hari ngumu ya kimaisha?<br />
<br />
na pia najiuliza hivi inawezekanaje Tanzania kama inchi ikawa na Utajiri mkubwa lakini watu wake wakawa ni maskini wakubwa ? tumekosa nini kwa Mungu?<br />
<br />
naendelea kujiuliza au<br />
<br />
Au sisi ni masikini kwa sababu akiri zetu nazo ni masikini , hatuna uwezo wa kufikiri na kupanga makubwa au hata tukifikiri makubwa na kuyapanga hatuyatekelezi? sijui naomba waungwana mnisadie kwa nini tu masikini ili nami nimfundishe mwanangu ili asije rudia makosa tuliyoyafanya sisi. <br />
<br />
ni mimi mchukia umasikini.<br />
Asante</b></font>
<br />
<br />
Nchi iliyo na mfumo mbovu wa kiuchumi,mfumo unaoruhusu muda mwingi wa kujiletea maendeleo kuwa ni wa kulala.

Wananchi wengi wa china na nchi zingine wanatumia muda mwingi kufanya kazi kuliko kulala,je sisi watanzania tunamakampuni mangapi ambayo yanafanya kazi masaa24?
 
Sababu gani nchi hii maendeleo yake ni hafifu au negligible kabisa. "TATIZO NI MFUMO AU UWAJIBIKAJI?" pls comment anything u think abt it...
 
Man!this s developing country,all countries whch are ready developd b4 there were in socialist or comunist system but we are in developng stage and we folow democracy nd multpart system dat s a big mistake we did!we need single political part nd one leader who 'll have decision!remember socilism or communalism alow to kil any body who abuse the money of wananchi!dat ol.
 
tatizo ni uongozi wetu sio wazalendo siku tukipata viongozi wazalendo ni miaka mitano tu tunaweza kuwa mbali sana
 
mwl alisema maendeleo = watu, ardhi, siasa safi na utawala wa sheri. Mi sina imani na sehmu mbili kati ya hzi. Siasa na utawala wa sheria. Watanzania tunapenda rushwa, na ufisadi. Pia siasa yetu ni ya ajabu. Mi nadhani hzo ndizo sababu za sisi kuwa maskini hadi leo hii.
 
IMG_3701.jpg

Wazungu wapo serious wanaongea business.......Wabongo wamemkenulia mpiga picha. Utafikiri leo ndio mara ya kwanza yao kuona kamera.....Utafikiri nchi yao haipo kwenye mgao wa umeme. Hata sijui wanafanya nini hapo.

Hii tabia ndio ipo kila sehemu.

Kuna article moja ya JMakamba Politics, Society & Things anasema moja ya tatizo la umeme ni kwa sababu Tanesco ilikuwa inataka kuwa privatized kwa hiyo serikali haiku invest kwa kipindi kirefu.

Kwanza, hiyo ni sawa sawa na kusema viongozi wetu hawaoni mbali na hawajui kupanga mambo.

Pili, wakati wanagombea huo uongozi walipromise kufanya mambo yawe mazuri zaidi, na wakati wanapromise walikuwa wanafahamu hali ya nchi iliyoachwa na serikali zilizopita.....sasa hivi wanajifanya hawawezi kutatua matatizo kwa sababu wenzao waliopita waliharibu sana.

Hivyo ndio vitu vinavyosummriziwa na hiii picha,......tabia ya watanzania kuchukulia vitu poa tu....hata kama sio poa kihivyo.
 
Tanzania ni masikini kwa sababu inaongozwa na baadhi ya viongozi ambo ni vilaza, mafisadi na wenye siasa chafu
 
Back
Top Bottom