Iron Lady
JF-Expert Member
- Mar 4, 2008
- 4,071
- 1,374
prof shivji alishawahi kuandika njia za kuendeleza uchumi wa nchi na kuepuka umaskini, alisema lazima kuwa makini na sekta ya kilimo lakini kilimo bila viwanda bado ni kazi bure kwani mkulima alimapo na baadae kupangiwa bei ya mazao ni bure. bali akilima vya kutosha na kuwa na soko la kutosha ndani ya nchi na nje ya nchi lakini pia serikali lazima iingilie kati inapokuja swala la biashara kati ya taifa letu na jingine na serikali ihakikishe faida inapatikana kwa taifa kwa kumuwezesha mkulima kuuza mazao yake nje.
lakini kukiwa na malighafi za kutosha na uzalishaji viwandani utaongezeka ajira zitapatikana kwa urahisi zaidi pato litaongezeka kwa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.
hivyo basi kwa ufupi kilimo cha ukweli = food&materials -processing industries-manufacturing industries=employment&increase of govt income. goods produced create market inside and outside= trade
kama kuna kilimo cha kueleweka chenye lengo la maendeleo basi barabara umeme maji mawasiliano vitaboreshwa. viwanda navyo vijengwe karibu na mashamba hayo. watu wendao kufanya kazi huko watataka huduma hivyo masoko,hospitali,na huduma zote za kijamii zitasogea. kwa jinsi hii miji itapanuka na taifa litafaidika.hivyo kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kilimo na viwanda na maendeleo
hali ilivyo sasa nchini kwetu
kilimo hakijazingatiwa kiwe kilimo cha maendeleo wananchi bado wanalima kwa ajili ya chakula na kidogo kwa ajili ya biashara. serikali haijaamua kuzalisha katika sekta ya kilimo . hakuna viwanda vya kutosha hivyo wakulima bado wanateseka kupangiwa bei na watu wa nje. kwa sababu hakuna kilimo cha maendeleo bado vijijini hakuna miundo mbinu ya kutosha na kila mtu kukimbilia mjini. bado sisi tunasema kilimo ndio uti wa mgongo, kilimo kwanza?????????? wapi hatuko serious kabisa na maendeleo wa na hicho kilimo chenyewe
lakini kukiwa na malighafi za kutosha na uzalishaji viwandani utaongezeka ajira zitapatikana kwa urahisi zaidi pato litaongezeka kwa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.
hivyo basi kwa ufupi kilimo cha ukweli = food&materials -processing industries-manufacturing industries=employment&increase of govt income. goods produced create market inside and outside= trade
kama kuna kilimo cha kueleweka chenye lengo la maendeleo basi barabara umeme maji mawasiliano vitaboreshwa. viwanda navyo vijengwe karibu na mashamba hayo. watu wendao kufanya kazi huko watataka huduma hivyo masoko,hospitali,na huduma zote za kijamii zitasogea. kwa jinsi hii miji itapanuka na taifa litafaidika.hivyo kuna uhusiano mkubwa sana kati ya kilimo na viwanda na maendeleo
hali ilivyo sasa nchini kwetu
kilimo hakijazingatiwa kiwe kilimo cha maendeleo wananchi bado wanalima kwa ajili ya chakula na kidogo kwa ajili ya biashara. serikali haijaamua kuzalisha katika sekta ya kilimo . hakuna viwanda vya kutosha hivyo wakulima bado wanateseka kupangiwa bei na watu wa nje. kwa sababu hakuna kilimo cha maendeleo bado vijijini hakuna miundo mbinu ya kutosha na kila mtu kukimbilia mjini. bado sisi tunasema kilimo ndio uti wa mgongo, kilimo kwanza?????????? wapi hatuko serious kabisa na maendeleo wa na hicho kilimo chenyewe