Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Tunasahau kitu kimojaTujitahidi san kujenga bond na Madogo popote pale tuwapo na Chance mimi kwenye Holiday za wanangu huwa najitahidi kadri niwezavyo Nipate muda wa kukaa nao na Incase nikawa na Jambo sensitive huwa nasafiri nao walau Kujenga Bond mana unakaa Miezi ata minne hujawaona madogo ni hatari
Labda kama uliwafanyia ukatili wa kutisha watoto kiasi cha kuona hata kifo chako ni ahueni kwao. Mzazi ni mzazi
Hakuna mtoto aliefikia umri mkubwa asiejua kuwa wazazi ndio mashabiki halisi wa mafanikio yako, ukipata tatizo wa kwanza ni wao wataumia kwa akili na moyo wote lakini pia watakupambania kwa nguvu zote... Uwepo wako ni matokeo yao
Imagine mtu baki unaemjua kijuu juu akifariki unaumia.. Vipi kuhusu mzazi?..
Iwepo strong bond au isiwepo, kuwepo na ugomvi au lolote baya. Ila mzazi akifariki ni story nyingine