Kwanini watu wa Kigoma pekee wanaulizwa sana utaifa wao kuliko mikoa mingine ya mipakani?

Kwanini watu wa Kigoma pekee wanaulizwa sana utaifa wao kuliko mikoa mingine ya mipakani?

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Huwezi kusikia watu wanaokuja Dar kutokea Arusha au Moshi kwamba kwamba hawa siyo raia, wala huwezi kusikia watu wa Mbeya, Ruvuma kwamba hawa siyo raia wakati wapo mipakani.

Ila linapokuja swala la watu wa kutoka Kigoma ndiyo inakuwa issue, kwa nini? Hili swala huwa linaniudhi sana. Mara utaambiwa we ni mtusi mara mhutu lakini huwezi kusiki mchaga anaambiwa we mkenya.

Stop this plz!!
 
People from that area are very intelligent and thats why toka Mwalimu mpaka Serikali hii waliinyima Kigoma kila kitu kuanzia infrastructures,education and social services. Waliifunga Kigoma kwelikweli..unahitaji jicho la tatu kujua suala hilo
 
Ni kweli Kigoma kuna usumbufu wa uraia kuliko mikoa yote ya mipakani. Nadhani sababu ni: 1. Umasikini uliokithiri wa nchi jirani ya Burundi. Warundi wengi ndo cheap labor Kigoma. Na wengi wanatafuta kila njia ili waingie mingine.2. Muingiliano wa lugha kati ya Waha na Warundi. 3. Vita ya Congo DR kufanga Wakongo wengi kukimbilia nchini kupitia Kigoma e.t.c. Hata hivyo Kigoma kuna raia wa Burundi na Congo weng walio zamia nchini.
 
Ni kweli Kigoma kuna usumbufu wa uraia kuliko mikoa yote ya mipakani. Nadhani sababu ni: 1. Umasikini uliokithiri wa nchi jirani ya Burundi. Warundi wengi ndo cheap labor Kigoma. Na wengi wanatafuta kila njia ili waingie mingine.2. Muingiliano wa lugha kati ya Waha na Warundi. 3. Vita ya Congo DR kufanga Wakongo wengi kukimbilia nchini kupitia Kigoma e.t.c. Hata hivyo Kigoma kuna raia wa Burundi na Congo weng walio zamia nchini.
Wachaga je kwa nini usiseme wengi wa kenya
 
Ni kweli Kigoma kuna usumbufu wa uraia kuliko mikoa yote ya mipakani. Nadhani sababu ni: 1. Umasikini uliokithiri wa nchi jirani ya Burundi. Warundi wengi ndo cheap labor Kigoma. Na wengi wanatafuta kila njia ili waingie mingine.2. Muingiliano wa lugha kati ya Waha na Warundi. 3. Vita ya Congo DR kufanga Wakongo wengi kukimbilia nchini kupitia Kigoma e.t.c. Hata hivyo Kigoma kuna raia wa Burundi na Congo weng walio zamia nchini.
Akisoma hili atakua ashaelewa.
 
Ni kweli Kigoma kuna usumbufu wa uraia kuliko mikoa yote ya mipakani. Nadhani sababu ni: 1. Umasikini uliokithiri wa nchi jirani ya Burundi. Warundi wengi ndo cheap labor Kigoma. Na wengi wanatafuta kila njia ili waingie mingine.2. Muingiliano wa lugha kati ya Waha na Warundi. 3. Vita ya Congo DR kufanga Wakongo wengi kukimbilia nchini kupitia Kigoma e.t.c. Hata hivyo Kigoma kuna raia wa Burundi na Congo weng walio zamia nchini.
kwa hiyo kazi ya immigration officer nini..
 
Ni kweli Kigoma kuna usumbufu wa uraia kuliko mikoa yote ya mipakani. Nadhani sababu ni: 1. Umasikini uliokithiri wa nchi jirani ya Burundi. Warundi wengi ndo cheap labor Kigoma. Na wengi wanatafuta kila njia ili waingie mingine.2. Muingiliano wa lugha kati ya Waha na Warundi. 3. Vita ya Congo DR kufanga Wakongo wengi kukimbilia nchini kupitia Kigoma e.t.c. Hata hivyo Kigoma kuna raia wa Burundi na Congo weng walio zamia nchini.
🤔🤔🤔🤔🤔

Elimu mujaarabu
 
Hawa Warundi wanaojiita Waha unawajua unawasikia?? Jamaa ni wabishi kinoma.

Tatizo linaanza na jina lao, WAHA maana yake ni WA HAPA!!

Mrundi ukimuuliza wewe ni wa wapi anakwambia WAHA maana yake wa hapa
Acheni ujinga. Tukianza kuwaandamana wachaga itakuwaje. Kwanza wachaga wote ni wezi haijalishi ni nani ndo mana kuna influx kubwa ya wachaga kuwa mapadre kwa sababu wanapenda maisha kitonga na kuiba kirahisi
 
People from that area are very intelligent and thats why toka Mwalimu mpaka Serikali hii waliinyima Kigoma kila kitu kuanzia infrastructures,education and social services.Waliifunga Kigoma kwelikweli..unahitaji jicho la tatu kujua suala hilo
Sasa huo weledi gani kama wameshindwa kujinasua? Usikuze mambo?

Umeshafika kusini? Tena wametoa rais, pm na mawaziri waandamizi kbs.
 
Back
Top Bottom