Kwanini watu wa Kigoma pekee wanaulizwa sana utaifa wao kuliko mikoa mingine ya mipakani?

Kwanini watu wa Kigoma pekee wanaulizwa sana utaifa wao kuliko mikoa mingine ya mipakani?

Kuna makatili wanaozidi kenya. Kwa nini usiseme wachaga wizi wao ni wa asili kwa sababu wakenya ni wezi naturally. Kama waliweza kuiba mlima kilimanjaro na kiutangaza kuwa ni wa kwao unategemea nini
umewakazania wachaga. walikubaka? kama alikukorofisha mmoja ungedili naye kama mwanaume. miafrika lini mtaacha kuchukiana na kua watu wamoja? weupe watudharau bado sisi kwa sisi tuchukiane. akikukera mtu mmoja usihitimishe jamii husika nzima wewe nyani mtu.
 
People from that area are very intelligent and thats why toka Mwalimu mpaka Serikali hii waliinyima Kigoma kila kitu kuanzia infrastructures,education and social services.Waliifunga Kigoma kwelikweli..unahitaji jicho la tatu kujua suala hilo
Acha Fix bana...Very Intelligent
 
Wachaga je kwa nini usiseme wengi wa kenya
Risk kubwa ya kuingia raia wa nchi jirani kimagendo ipo Kigoma, huwezi linganisha na Kilimanjaro au Arusha. Warundi wanapambana usiku na mchana kuzamia Tanzania. Umewahi tembelea kambi za wakimbizi Kigoma? Hao jamaa hawana mpango wa kurudi kwao, yaani wanaona ni bora wabaki kuwa wakimbizi kuliko kurudi kwao. Hata hivyo, wenyeji wa Kigoma, wengi huwaficha hawa wahamiaji haramu, na hivyo kufanya wote wajumuishwe kwenye makosa. Case ya Wachaga ni tofauti, maana hakuna muingiliano wa lugha za Wachaga na makibila ya Kenya
 
Risk kubwa ya kuingia raia wa nchi jirani kimagendo ipo Kigoma, huwezi linganisha na Kilimanjaro au Arusha. Warundi wanapambana usiku na mchana kuzamia Tanzania. Umewahi tembelea kambi za wakimbizi Kigoma? Hao jamaa hawana mpango wa kurudi kwao, yaani wanaona ni bora wabaki kuwa wakimbizi kuliko kurudi kwao. Hata hivyo, wenyeji wa Kigoma, wengi huwaficha hawa wahamiaji haramu, na hivyo kufanya wote wajumuishwe kwenye makosa. Case ya Wachaga ni tofauti, maana hakuna muingiliano wa lugha za Wachaga na makibila ya Kenya
Acha uongo
 
Risk kubwa ya kuingia raia wa nchi jirani kimagendo ipo Kigoma, huwezi linganisha na Kilimanjaro au Arusha. Warundi wanapambana usiku na mchana kuzamia Tanzania. Umewahi tembelea kambi za wakimbizi Kigoma? Hao jamaa hawana mpango wa kurudi kwao, yaani wanaona ni bora wabaki kuwa wakimbizi kuliko kurudi kwao. Hata hivyo, wenyeji wa Kigoma, wengi huwaficha hawa wahamiaji haramu, na hivyo kufanya wote wajumuishwe kwenye makosa. Case ya Wachaga ni tofauti, maana hakuna muingiliano wa lugha za Wachaga na makibila ya Kenya
Kama hajaelewa atakua ni mkaidi.

Mipaka mingine yote hukuti raia wa nchi za jirani wanavuka sana kuingia kwetu,ila mpaka wa Kigoma umekua na shida hiyo na ndio maana Serikali ipo makini sana na hilo lakini bado sometimes inazidiwa kwa raia wa Tanzania kuwahifadhi wageni kutoka nchi jirani
 
warundi na waha ni mapacha wafananao!! Lakini haipendezi kuwaghasi ghasi!!
 
We
Kama hajaelewa atakua ni mkaidi.

Mipaka mingine yote hukuti raia wa nchi za jirani wanavuka sana kuingia kwetu,ila mpaka wa Kigoma umekua na shida hiyo na ndio maana Serikali ipo makini sana na hilo lakini bado sometimes inazidiwa kwa raia wa Tanzania kuwahifadhi wageni kutoka nchi jirani
We una uwezo wa kujua hiyu ni raia au la? Kama wakimbizi au wageni wengi wanapitia moshi kutokea kenya we utawajuaje na umefanya comparison hiyo lini. Au nyie ndo mnasomaga vichwa vya habari vya magazeti na ku come up with conclusion
 
We

We una uwezo wa kujua hiyu ni raia au la? Kama wakimbizi au wageni wengi wanapitia moshi kutokea kenya we utawajuaje na umefanya comparison hiyo lini. Au nyie ndo mnasomaga vichwa vya habari vya magazeti na ku come up with conclusion
Tembea uone tofauti ya mpaka wa huko na kwingine ndugu
 
Shida ni kwamba ..lugha moja inaunnganisha mataifa manne. Tz .BR. Rw na Eastern Congo. Hii ilitakiwa iwe nchi moja inayogitegemea . Wazungu washenzi saana hawa.
 
Huwezi kusikia watu wanaokuja dar kutokea Arusha au Moshi kwamba kwamba hawa siyo raia, wala hiwwezi kusikia watu wa mbeya, ruvuma kwamba hawa siyo raia wakati wapo mipakani.

Ila linapokuja swala la watu wa kutoka kigoma ndo inakuwa issue, kwa nini? Hili swala huwa linaniudhi sana. Mara utaambiwa we ni mtusi mara mhutu lakini huwezi kusiki mchaga anaambiwa we mkenya. Stop this plz!!
Mnafanana na Wahutu/Watutsi kiasi cha kushindwa kutofautishwa.
Mkenya ana lafudhi ambayo inamtambulisha Ukenya wake; huwezi kumchanganya na Mchaga.

Mnahojiwa shauri ya mfanano wenu na wasio wetu, hakuna la zaidi...
 
Siwezi kuelewa upuuzi huo. Sema wanawaonea wivu watu w kigoma mana wana akili nyingi. Huwezi walinganisha na wacha. Wachaga nguvu ya ni wizi tu
Nilichogundua unachuki binafsi a Wachagga jambo ambalo litazidi kukuumiza. Mtanzania ambaye sio mwizi ni aliyekosa kitu cha kuiba ila wote hata Waha ni wezii tu. Tena Waha wengi Wanatutunzia nguruwe sana huku kaskazini na wao ni wadokozi tu.
 
KIGOMA NA KAGERA kunakuwa gumzo la uraia kwa sababu zifuatazo.
1.Kule Tz imepaka na vi nchi vidogo ambavyo ni UGANDA,RWANDA NA BURUNDI ambavyo vyote vina tatizo la kisiasa na ukabila hivyo wengi wao hukimbilia Tanzania.
2.Kulima na kufuga kwenye hivyo vinchi ni shida kwa sababu ya udogo.
3.Wanaipenda amani ya Tanzania hivyo wengi wao huzamia huku Tanzania
4.Umasikini ulikokithiri na ufinyu wa fursa hicho ndo kitu kinawakimbiza huko.
5.Mabifu yaliyotokana na civil war mpaka leo yanawatesa baadhi ya koo na familia kwenye nchi hizo hivyo usalama wa baadhi ya raia ni mdogo
6.Kambi za wakimbizi zimetumika sana kuwabatiza WARUNDI NA warwanda na waganda kuwa WATANZANIA
7.Makabila kushabiana KIRUNDI au KIHUTU hufanana na KIHA na wakijua kiswahili hujiita WAHA,WAHANGAZA AU WASHUBI
 
Back
Top Bottom