Kwanini watu wa Kigoma pekee wanaulizwa sana utaifa wao kuliko mikoa mingine ya mipakani?

Kwanini watu wa Kigoma pekee wanaulizwa sana utaifa wao kuliko mikoa mingine ya mipakani?

Hili swala huwa linaniudhi sana. Mara utaambiwa we ni mtusi mara mhutu lakini huwezi kusiki mchaga anaambiwa we mkenya.
Ukiwa na Hela hutoulizwa hayo maswali ya kipuuzi,

a] ongeza Hela mpaka bank ikuite kwenye kikao cha dharula kukuomba uikopeshe hawatokuuliza wewe Mhutu au Mtutsi as long as una vibunda vya kutosha,

b] km UPO chini ya Mstari wa umasikini km upo kwenye Ile ¾ ya watu Masikini Tanzania walio CHINI ya Mstari wa umasikini lazima uulizwe wewe wa Kigoma umetoka wapi Burundi au Rwanda?
 
Ni kweli Kigoma kuna usumbufu wa uraia kuliko mikoa yote ya mipakani. Nadhani sababu ni: 1. Umasikini uliokithiri wa nchi jirani ya Burundi. Warundi wengi ndo cheap labor Kigoma. Na wengi wanatafuta kila njia ili waingie mingine.2. Muingiliano wa lugha kati ya Waha na Warundi. 3. Vita ya Congo DR kufanga Wakongo wengi kukimbilia nchini kupitia Kigoma e.t.c. Hata hivyo Kigoma kuna raia wa Burundi na Congo weng walio zamia nchini.
Mbona wamakonde wa Mtwara mpakani mwa Msumbiji hawasumbuliwi?Wa nyasa wa kwenye mpaka wa Malawi hawasumbuliwi?Maana hata watu wa Msumbiji na Malawi pia wapo wengi Tanzania
 
Hawa hawa kina Baba Levo,Mwijaku? Watu wengi ambao hawaaminiki ni kutoka kigoma
ndio hao hao akina Diamond,Ali kiba,Lunyamila,Matola,Kidau,Alphonce Modest,Nteze John,Said Maulid to name a few kwenye sanaa na michezo.Kwenye sekta nyingine ni wengi mnooo.
Kigoma ndio mkoa wa kwanza kuchagua upinzani na ndio mkoa uliompa kura nyingi Dr Wilbroad Slaa 2010(ni akili ya ziada inahitajika kwa watz kujua kuwa tunaweza kuchagua upinzani kuleta mabadiliko,kumbuka ilikuwa 2010)
Anyway Kigoma ni potential sana na kama Kigoma ingepewa shule mapema kama baadhi ya mikoa ya kaskazini basi huenda tungekuwa na Washington na New York(Dar na Kigoma,west and east)
Uoga wa maendeleo ndio sabab ya Serikali hii kuinyima makusudi Kigoma kipaumbele.Imagine hata reli ya SGR inapindishwa kwenda Mwanza what for?😂😂😂
 
Watu wa Kigoma siyo waaminifu hawana msimamo ni watu wepesi kununuliwa.

Amani,Kafulila,Machali,Zitto n.k wote walifika bei kirahisi sana,kwa hiyo hata kwenye uraia hawawezi kuaminika kirahisi na serekali ya CCM kwa kuwa ndio watoa dau wenyewe.
Ukiwa na akili ndogo huwez kumuelewa mwenye akili nyingi!Yaan wew ni wa kumjaji Zitto,I mean unamuweka Zitto kwenye kundi la akina Dr Slaa au Mbowe wenye kadi za CCM mpaka kesho!Are you kiddin me!Be serious bro
 
Hutaki watu wa Kigoma wahojiwe uraia. Alafu hapohapo unaumia kwanini watu wa Kilimanjaro wahojiwe kuhusu Kenya. Na unatamani sana Wachaga waitwe Wakenya.

Wewe ni mchawi? Au ukoo wenu una waganga wa kienyeji? Maana tabia ya kichawi kulalamika kwanini unafanyiwa hivi, hapohapo kuumia kwanini mwenzako hafanyiwi hilo baya
umewahi kufika Kigoma mkuu?Utasikitika jinsi ambavyo huduma za afya zilivyoduni!Hivi unajua Serikali inawajibu wa kuhakikisha keki ya Taifa inagawanywa sawa?Wakati mikoa hyo unayoisema inapewa shule kiupendeleo na fursa zingine Kigoma imeachwa.Hivi unajua ni mkoa wa Kigoma pekee nchi hii ambao bado haujaunganishwa kwa lami na mikoa mingine????Au unataka nan aifanye kazi ya kujenga barabara huko?Sasa kama unahisi watu flan si raia na wanapaswa wanyimwe maendeleo na fursa kuliko mikoa mingine wape autonomy economy and freedom wajiendeshe wenyewe uone!!!!Watu wakiwaambia hivi mnasema wanataka kujitenga ilhali mmewatenga.Ziwa Tanganyika hakuna meli mpaka kesho(meli ya mv Lyemba toka mjerumani 1918 huko mpaka leo na ni mbovu) lakini hamuwez kuwapa hata meli tu!Ukerewe kuna meli!!!!!!!!!!
Kwahyo mnahisi kuidhibiti Kigoma ni kuinyima maendeleo na kuifanya iwe military ground kila sehemu kuna kizuizi!!!!
Halaf ulivyomjinga unasema eti ukifanyiwa baya na mwenzako hafanyiwi usilalamike!Haujui ni haki kulia kwa yule anayepigwa na ni haki ya mpigaji kuambiwa maumivu na upendeleo anaouonyesha!
 
umewahi kufika Kigoma mkuu?Utasikitika jinsi ambavyo huduma za afya zilivyoduni!Hivi unajua Serikali inawajibu wa kuhakikisha keki ya Taifa inagawanywa sawa?Wakati mikoa hyo unayoisema inapewa shule kiupendeleo na fursa zingine Kigoma imeachwa.Hivi unajua ni mkoa wa Kigoma pekee nchi hii ambao bado haujaunganishwa kwa lami na mikoa mingine????Au unataka nan aifanye kazi ya kujenga barabara huko?Sasa kama unahisi watu flan si raia na wanapaswa wanyimwe maendeleo na fursa kuliko mikoa mingine wape autonomy economy and freedom wajiendeshe wenyewe uone!!!!Watu wakiwaambia hivi mnasema wanataka kujitenga ilhali mmewatenga.Ziwa Tanganyika hakuna meli mpaka kesho(meli ya mv Lyemba toka mjerumani 1918 huko mpaka leo na ni mbovu) lakini hamuwez kuwapa hata meli tu!Ukerewe kuna meli!!!!!!!!!!
Kwahyo mnahisi kuidhibiti Kigoma ni kuinyima maendeleo na kuifanya iwe military ground kila sehemu kuna kizuizi!!!!
Halaf ulivyomjinga unasema eti ukifanyiwa baya na mwenzako hafanyiwi usilalamike!Haujui ni haki kulia kwa yule anayepigwa na ni haki ya mpigaji kuambiwa maumivu na upendeleo anaouonyesha!
Mada inahusu ukaguzi wa vitambulisho vya taifa, wewe unajadili meli na barabara.
Tuko kwenye somo la Kiswahili tunajadili kiima na kiarifu wewe unaleta hesabu za kukokotoa eneo la mzingo wa mstatiri.

Anzisha mada ya maendeleo tuijadili mikoa yote inayonyimwa fursa
 
Mada inahusu ukaguzi wa vitambulisho vya taifa, wewe unajadili meli na barabara.
Tuko kwenye somo la Kiswahili tunajadili kiima na kiarifu wewe unaleta hesabu za kukokotoa eneo la mzingo wa mstatiri.

Anzisha mada ya maendeleo tuijadili mikoa yote inayonyimwa fursa
ulivyomuuliza yeye ni mchawi au ukoo wao ni waganga wa kienyeji ilikuwa ni mada tajwa hapo juu?Au uliishiwa hoja?Ndo nimekujazia nyama sasa kichwa chako kifunguke
 
Huwezi kusikia watu wanaokuja Dar kutokea Arusha au Moshi kwamba kwamba hawa siyo raia, wala huwezi kusikia watu wa Mbeya, Ruvuma kwamba hawa siyo raia wakati wapo mipakani.

Ila linapokuja swala la watu wa kutoka Kigoma ndiyo inakuwa issue, kwa nini? Hili swala huwa linaniudhi sana. Mara utaambiwa we ni mtusi mara mhutu lakini huwezi kusiki mchaga anaambiwa we mkenya.

Stop this plz!!
Kagera pia
 
ulivyomuuliza yeye ni mchawi au ukoo wao ni waganga wa kienyeji ilikuwa ni mada tajwa hapo juu?Au uliishiwa hoja?Ndo nimekujazia nyama sasa kichwa chako kifunguke
Anadai hataki ubaguzi, ila hapohapo anaumia kwanini watu wa Kilimanjaro hawabaguliwi. Nimemuuliza kama ana tabia za kichawi, ambalo hataki kufanyiwa bado roho inamuuma kwanini wengine hawafanyiwi hilo jambo baya.

Hawa ndio akiwa na UKIMWI anaambukiza wengine makusudi, wachawi. Atafurahia watu wengine wakikaguliwa, ilimradi yeye hataki watu wa Kigoma kukaguliwa uraia.
 
Ukiwa na akili ndogo huwez kumuelewa mwenye akili nyingi!Yaan wew ni wa kumjaji Zitto,I mean unamuweka Zitto kwenye kundi la akina Dr Slaa au Mbowe wenye kadi za CCM mpaka kesho!Are you kiddin me!Be serious bro
Zitto kajiweka mwenyewe pamoja na akili zake kubwa.
 
Back
Top Bottom