Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,987
- 1,757
π€£ π€£ π€£Kuna makatili wanaozidi kenya. Kwa nini usiseme wachaga wizi wao ni wa asili kwa sababu wakenya ni wezi naturally. Kama waliweza kuiba mlima kilimanjaro na kiutangaza kuwa ni wa kwao unategemea nini
π€£ π€£ π€£Ni sahihi kwa vyombo vya usalama kukazia huko huko! Hawa jamaa wa kigoma wana techonojia zao za asili ambazo zina madhara makubwa! Chukulia muha mmoja kachokozwa pale kariaokoo akaamua kujibu kwa kulipua radi! Unadhani madhara kiasi gan yatatokea kwa raia wengine wasio na hatia? Hao jamaa wa kg kwanza ni wabish mno! Wabaki huko huko na radi zao na ubishi wao!
πππ€umewakazania wachaga. walikubaka? kama alikukorofisha mmoja ungedili naye kama mwanaume. miafrika lini mtaacha kuchukiana na kua watu wamoja? weupe watudharau bado sisi kwa sisi tuchukiane. akikukera mtu mmoja usihitimishe jamii husika nzima wewe nyani mtu.
βοΈππππππ€ππ‘οΈRisk kubwa ya kuingia raia wa nchi jirani kimagendo ipo Kigoma, huwezi linganisha na Kilimanjaro au Arusha. Warundi wanapambana usiku na mchana kuzamia Tanzania. Umewahi tembelea kambi za wakimbizi Kigoma? Hao jamaa hawana mpango wa kurudi kwao, yaani wanaona ni bora wabaki kuwa wakimbizi kuliko kurudi kwao. Hata hivyo, wenyeji wa Kigoma, wengi huwaficha hawa wahamiaji haramu, na hivyo kufanya wote wajumuishwe kwenye makosa. Case ya Wachaga ni tofauti, maana hakuna muingiliano wa lugha za Wachaga na makibila ya Kenya
π§Acha uongo
Si ilikuwa burundi Nyerere akaipora, tunauliza sana maana chimbuko lake si la tanzania.Huwezi kusikia watu wanaokuja Dar kutokea Arusha au Moshi kwamba kwamba hawa siyo raia, wala huwezi kusikia watu wa Mbeya, Ruvuma kwamba hawa siyo raia wakati wapo mipakani.
Ila linapokuja swala la watu wa kutoka Kigoma ndiyo inakuwa issue, kwa nini? Hili swala huwa linaniudhi sana. Mara utaambiwa we ni mtusi mara mhutu lakini huwezi kusiki mchaga anaambiwa we mkenya.
Stop this plz!!
Ni kitu mmefanya kinachothibitisha kuwa nyie mna akili nyingi sana kuliko watu wa mikoa mingine?Siwezi kuelewa upuuzi huo. Sema wanawaonea wivu watu w kigoma mana wana akili nyingi. Huwezi walinganisha na wacha. Wachaga nguvu ya ni wizi tu
πππNilichogundua unachuki binafsi a Wachagga jambo ambalo litazidi kukuumiza. Mtanzania ambaye sio mwizi ni aliyekosa kitu cha kuiba ila wote hata Waha ni wezii tu. Tena Waha wengi Wanatutunzia nguruwe sana huku kaskazini na wao ni wadokozi tu.
HahahaNi sahihi kwa vyombo vya usalama kukazia huko huko! Hawa jamaa wa kigoma wana techonojia zao za asili ambazo zina madhara makubwa! Chukulia muha mmoja kachokozwa pale kariaokoo akaamua kujibu kwa kulipua radi! Unadhani madhara kiasi gan yatatokea kwa raia wengine wasio na hatia? Hao jamaa wa kg kwanza ni wabish mno! Wabaki huko huko na radi zao na ubishi wao!
Waha wanajiona wajuaji sanaNi kitu mmefanya kinachothibitisha kuwa nyie mna akili nyingi sana kuliko watu wa mikoa mingine?
βοΈππππππ€ππ‘οΈKIGOMA NA KAGERA kunakuwa gumzo la uraia kwa sababu zifuatazo.
1.Kule Tz imepaka na vi nchi vidogo ambavyo ni UGANDA,RWANDA NA BURUNDI ambavyo vyote vina tatizo la kisiasa na ukabila hivyo wengi wao hukimbilia Tanzania.
2.Kulima na kufuga kwenye hivyo vinchi ni shida kwa sababu ya udogo.
3.Wanaipenda amani ya Tanzania hivyo wengi wao huzamia huku Tanzania
4.Umasikini ulikokithiri na ufinyu wa fursa hicho ndo kitu kinawakimbiza huko.
5.Mabifu yaliyotokana na civil war mpaka leo yanawatesa baadhi ya koo na familia kwenye nchi hizo hivyo usalama wa baadhi ya raia ni mdogo
6.Kambi za wakimbizi zimetumika sana kuwabatiza WARUNDI NA warwanda na waganda kuwa WATANZANIA
7.Makabila kushabiana KIRUNDI au KIHUTU hufanana na KIHA na wakijua kiswahili hujiita WAHA,WAHANGAZA AU WASHUBI
Huu nao ni Ukweli, Zito alisaliti Chadema baada ya kuona amekuwa Maarufu.Watu wa Kigoma siyo waaminifu hawana msimamo ni watu wepesi kununuliwa.
Amani,Kafulila,Machali,Zitto n.k wote walifika bei kirahisi sana,kwa hiyo hata kwenye uraia hawawezi kuaminika kirahisi na serekali ya CCM kwa kuwa ndio watoa dau wenyewe.
Well Mr Billie umefafanua kama Mwana UsalamaKIGOMA NA KAGERA kunakuwa gumzo la uraia kwa sababu zifuatazo.
1.Kule Tz imepaka na vi nchi vidogo ambavyo ni UGANDA,RWANDA NA BURUNDI ambavyo vyote vina tatizo la kisiasa na ukabila hivyo wengi wao hukimbilia Tanzania.
2.Kulima na kufuga kwenye hivyo vinchi ni shida kwa sababu ya udogo.
3.Wanaipenda amani ya Tanzania hivyo wengi wao huzamia huku Tanzania
4.Umasikini ulikokithiri na ufinyu wa fursa hicho ndo kitu kinawakimbiza huko.
5.Mabifu yaliyotokana na civil war mpaka leo yanawatesa baadhi ya koo na familia kwenye nchi hizo hivyo usalama wa baadhi ya raia ni mdogo
6.Kambi za wakimbizi zimetumika sana kuwabatiza WARUNDI NA warwanda na waganda kuwa WATANZANIA
7.Makabila kushabiana KIRUNDI au KIHUTU hufanana na KIHA na wakijua kiswahili hujiita WAHA,WAHANGAZA AU WASHUBI
βοΈππππππ€ππ‘οΈπππ‘οΈKwanza mkoa wa Kigoma ndio wenye wahamiaji haramu wengi zaidi ya mikoa yote. Sababu mkoa unapakana na nchi zenye machafuko na usalama mdogo, na zote ni masikini zaidi yetu. Wakati kwa mikoa kama Tanga, Kili na Arusha inayopakana Kenya hao hawana njaa na hawana vita hivyo hawalazimiki kujaa Tanzania.
Pili, wenyeji wa Kigoma wanafanana sura na lugha na wenyeji wa Burundi na Rwanda. Hakuna Mchaga anafanana Mkenya, wala lugha hazifanani. Hivyo scrutiny kwa Kigoma ni kubwa.
Tatu, wahamiaji wenye shida ni wanaotokea Kigoma. Ndio majambazi na ndio wengine Rwandese wanajiona ni state within a state. Hutokutana na Mganda anajitapa uraia wake hapa Tanzania. Rwandese hata kama baba Msukuma mama Mnyarwanda unakuta anajitapa Mnyarwanda na kwao Rwanda hajawahi fika. Hao ni virusi.
Nne, Kigoma kuna wakimbizi wengi kuliko mikoa yote. Na hao wengine walitoroka.
Tano, unawajua Banyamurenge. Walianzaje, lengo lao ni nini na wanaleta athari gani. Sasa Kigoma bila uangalizi utapata miaka kadhaa ina Banyamurenge
ππ€π§Kujinasua lazima Serikali iweke mazingira.Unajinasua vipi hauna barabara?Hauna huduma za kijamii kama maji,elimu nk?Unasema kusini unasahau kusini wanabarabara ya lami mpaka Dsm mpaka Njombe huko kote lami!Kusini wanakorosho na Serikali imetafuta soko nje,Kigoma kuna michikichi Lakini Serikali haitafuta soko nje wala kuweka nguvu yyt na soko ni la uhakika,vivyohivyo kwenye suala la uvuvi(samaki wa Kigoma na Dagaa wake wa ziwa Tanganyika kwenye soko nje ni dhahabu kabisa lakini Serikali inafanya makusudi kutoweka nguvu huko).
Kutoa Rais,PM na mawaziri waandamizi haina maana wako smart kichwani!Au wew kwa akili yako unamuona Majaliwa ni mtu smart sana kichwani!???
Mkuu kina nani wameifunga Kigoma na wewe ni wa wapi???, tuanzie hapo!!!kwahyo dawa ya kupambana na wimbi la raia wa kigeni kuingia Kigoma ni kuinyima Kigoma maendeleo kwa makusudi!?Kuiwekea vizuizi kana kwamba unapoingia Kigoma ni kama unaingia military base!?What nonsense is this?Kigoma inapakana na nchi ngapi kwann isitumike kama fursa kufanya biashara na nchi hizo?..mmeifunga isifurukute,ujinga mtupu!
π€£ π€£ π€£Asante kwa kuwa MJITA WA MAJITA MUSOMA MARA.
Leo nina shuhudia vita ya maneno kati ya MHA NA MCHAGA wakigombea mipaka na siyo MKURYA NA MJALUO.