Kwanini watu wa Kigoma pekee wanaulizwa sana utaifa wao kuliko mikoa mingine ya mipakani?

Ni sahihi kwa vyombo vya usalama kukazia huko huko! Hawa jamaa wa kigoma wana techonojia zao za asili ambazo zina madhara makubwa! Chukulia muha mmoja kachokozwa pale kariaokoo akaamua kujibu kwa kulipua radi! Unadhani madhara kiasi gan yatatokea kwa raia wengine wasio na hatia? Hao jamaa wa kg kwanza ni wabish mno! Wabaki huko huko na radi zao na ubishi wao!
 
Kuna makatili wanaozidi kenya. Kwa nini usiseme wachaga wizi wao ni wa asili kwa sababu wakenya ni wezi naturally. Kama waliweza kuiba mlima kilimanjaro na kiutangaza kuwa ni wa kwao unategemea nini
🀣 🀣 🀣
 
🀣 🀣 🀣
 
πŸ‘ŠπŸ‘πŸ€
 
βœοΈπŸ“πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘ŠπŸ‘πŸ€πŸ™πŸ›‘οΈ
 
Si ilikuwa burundi Nyerere akaipora, tunauliza sana maana chimbuko lake si la tanzania.
 
Nilichogundua unachuki binafsi a Wachagga jambo ambalo litazidi kukuumiza. Mtanzania ambaye sio mwizi ni aliyekosa kitu cha kuiba ila wote hata Waha ni wezii tu. Tena Waha wengi Wanatutunzia nguruwe sana huku kaskazini na wao ni wadokozi tu.
πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘
 
Hahaha
 
βœοΈπŸ“πŸ‘ŠπŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ€πŸ™πŸ›‘οΈ
 
Watu wa Kigoma siyo waaminifu hawana msimamo ni watu wepesi kununuliwa.

Amani,Kafulila,Machali,Zitto n.k wote walifika bei kirahisi sana,kwa hiyo hata kwenye uraia hawawezi kuaminika kirahisi na serekali ya CCM kwa kuwa ndio watoa dau wenyewe.
Huu nao ni Ukweli, Zito alisaliti Chadema baada ya kuona amekuwa Maarufu.

Alidhani akiwa na chama chake atakuwa maarufu zaidi, amejiprove wrong na ACT yake ameitema.
 
Well Mr Billie umefafanua kama Mwana Usalama
 
βœοΈπŸ“πŸ‘ŠπŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ€πŸ™πŸ›‘οΈπŸ’πŸŽπŸ›‘οΈ
 
πŸ™„πŸ€”πŸ§
 
Mkuu kina nani wameifunga Kigoma na wewe ni wa wapi???, tuanzie hapo!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…