Kwanini watu wanachukia sana Ugali. Kwani ugali una kosa gani jamani?, Wanasayansi njoeni basi mtupe Elimu

Kwanini watu wanachukia sana Ugali. Kwani ugali una kosa gani jamani?, Wanasayansi njoeni basi mtupe Elimu

Inategemea mboga. Ugali dagaa zilizopikwa vizuri ninaweza mwezi mzima mchana na jioni. Ila kwa maoni ya jumla UGALI sio kabisa. Ni chakula cha kudumaza akili. Wakati wazungu wasiokula ugali wanafikiria kwenda Mars sisi wala ugali karibu kila mwaka tuna kambi za kipindupindu.
 
Ugali inategemea unakula na mboga gani, ugali na kabichi lazima uukasirikie. Ila ugali maini rosti, ugali nyama choma, ugali maziwa mgando hii napenda na naweza kula muda wowote.
 
Ugali inategemea unakula na mboga gani, ugali na kabichi lazima uukasirikie. Ila ugali maini rosti, ugali nyama choma, ugali maziwa mgando hii napenda na naweza kula muda wowote.
We yaelekea ni wa kudeka deka sana,huo ugali kabichi una shida gani chief?
 
Ugali inategemea unakula na mboga gani, ugali na kabichi lazima uukasirikie. Ila ugali maini rosti, ugali nyama choma, ugali maziwa mgando hii napenda na naweza kula muda wowote.
Ukisha ona chakula ambacho kinategemea mboga gani ndio kivutie ujue hakuna kitu hapo,coz hapo kinakua kitamu kwa msaada wa mboga gani,

Yani mpaka ugali upigwe tafu na hayo mazagazaga ndio uwe mzuri?

Wali hata mkavu unalika tu.
 
Nakumbuka kuna kipindi tulikua na beki tatu mvivu kupika akawa anapika ugali mpaka night coz mother alimpa mandate ya kuamua apike nini baba akiwa kasafiri, ilifika stage mzee karudi tukakiamsha beki tatu akafukuzwa na mother akapewa onyo kali na mzee tukatengeza ratiba yetu ya msosi no ugali
 

Wadau habari ya Jioni,

kwani ugali una shida gani, mimi
nilijua ni hapa tu jamiiforum kumbe hata majumbani kwa watu.

Mimi ni mzanaki wa pale Kyabakari mbona kule kwetu tunakula ule ugali wa mtama na tupo fresh tu.

Tena ukila ugali wa mchanganyiko wa udaga na mtama alafu mboga yako ikawa kuku wa kienyeji jogoo ukalipika chuku chuku mbona tunakuwa tupo strong tu, kimwili na kiakili.

Watanzania tuachane na mambo ya kuzungu, Kama unapenda ugali basi dondosha comment yako kwa aina ya ugali unaopikwa kwenye kabila lako.

Nawasilisha;
Kuna wengine wanaupasha asubuhi wanaunywea chai😃😃
 
Nakumbuka kuna kipindi tulikua na beki tatu mvivu kupika akawa anapika ugali mpaka night coz mother alimpa mandate ya kuamua apike nini baba akiwa kasafiri, ilifika stage mzee karudi tukakiamsha beki tatu akafukuzwa na mother akapewa onyo kali na mzee tukatengeza ratiba yetu ya msosi no ugali
Unajisikiaje kuandika kuwa mama yako alipewa onyo mbele yako? Umeandika ushuzi mtupu.
 

Wadau habari ya Jioni,

kwani ugali una shida gani, mimi
nilijua ni hapa tu jamiiforum kumbe hata majumbani kwa watu.

Mimi ni mzanaki wa pale Kyabakari mbona kule kwetu tunakula ule ugali wa mtama na tupo fresh tu.

Tena ukila ugali wa mchanganyiko wa udaga na mtama alafu mboga yako ikawa kuku wa kienyeji jogoo ukalipika chuku chuku mbona tunakuwa tupo strong tu, kimwili na kiakili.

Watanzania tuachane na mambo ya kuzungu, Kama unapenda ugali basi dondosha comment yako kwa aina ya ugali unaopikwa kwenye kabila lako.

Nawasilisha;
Kwani ugali unaandaliwa kwa kutumia nafaka gani?
 
Back
Top Bottom