Kwanini Wazanzibari wengi wanatumia nguvu kubwa sana kulazimisha undugu na Waarabu

Kwanini Wazanzibari wengi wanatumia nguvu kubwa sana kulazimisha undugu na Waarabu

Acha kutukana wewe..au hujafunga mfungo...ndio manafundishagwa hivyo kutukana hovyo kipindi cha mfungo.?

#MaendeleoHayanaChama
Angalia comment nilizochangia nyuma nishawahi mtukana mtu ifike mahali mtu aheshimu imani za watu.
 
Sisi na nyie nani anazungumza kingereza kibovu eti markiti wtf,mpo mpo tu na shobo zenu kiarabu hamjui,kiswahili sasa mnavyoongea weird ass accent[emoji23][emoji23][emoji23]
Chuki zitakupandisha pressure bure kijana!
 
Kwa hiyo Angel ni shetani!?...imekuaje Kama huyo ni shetani akijifanya malaika!?
Watu bwana, msiwe mnapenda kukariri tu vitu bila kujuwa ukweli. Shetani alimshukia Mohammed akijifanya kuwa ni malaika Jibril. Ushaelewa sasa? Akamshushia Mohammed baadhi ya verses za Qur'an.
 
Watu bwana, msiwe mnapenda kukariri tu vitu bila kujuwa ukweli. Shetani alimshukia Mohammed akijifanya kuwa ni malaika Jibril. Ushaelewa sasa? Akamshushia Mohammed baadhi ya verses za Qur'an.
Thibitisha,unataka nielewe matamanio yako!!?..thibitisha yule alikua shetani aliyejifanya malaika,ukitumia vifungu vya biblia na Qur'an na siyo nyyegge zako
 
View attachment 2193296


Wazanzibari wengi ni kama wamesahau kabisa historia ya chimbuko lao kwamba waarabu walipofika visiwani walianza kuwakamata wenyeji na kuwauza kama watumwa nchi zingine, pale wenyeji walipokuwa wachache ndipo waarabu kama kina tipu tipu walisafri kuja huku bara na maeneo ya karibu kununua watumwa ambao walikuwa aidha ni wakimbizi, makabila dhaifu yaliyoshindwa vita, koo zilizotengwa, n.k na kuwasafirisha kwenda zanzibar kuwauza sokoni aidha wakatumikishwe nchi za nje ama kubaki Zanzibar kulima mikarafuu.

Leo hii utashuhudia hivi vituko

1-watakwambia waarabu ni ndugu zao hapo unakuta mtu ni mweusi au ana rangi ile maji ya kunde ya kisomahli hafikii hata robo ya ngozi ya mwarabu ila atalazimizha hata uarabu wa nafsi,

2.akiwa ni mwarabu shombe / mchanganyiko mfano wale wa kizazi cha waarabu walioingilia kinguvu mabinti watumwa, hapo hataki kabisa kusikia ukimwambia ana asili ya mwarabu na mwafrika, ule upande wa kiafrika hataki kuusikia kabisa, mnaweza kugombana.

3-wanavaa kama Waarabu wakiwa wanafunga ndoa. Unamkuta mtu hadi ana jambia kiuononi!

4. wengi wamebadili majina yote yawe ya kiarabu, yale ya ukoo wameyafukia, utawakuta kina Abdul Mohamed, Ally Saleh, Abubakar Sharriff, n.k

5-Nilisoma habari >> hii hapa << watoto huminywa visogo ili wawe vichwa flat kama waarabu na barakashia zitumbukie kirahisi.

6-Kwa wazanzibari wengi jiji la Muscat lililopo nchi ya Oman ni kama pepo, humwaambii kitu aisee, hilo jiji kwao ni zaidi ya London, New York, Paris, n.k

7. yani akitokeaga mmama wa kiarabu hata mwenye miaka 47 aliepewa talaka tatu na anatafta mwanaume mpya, basi huyo bado ni mbichi kabisa kwa wazanzibari, atashambuliwa kama mchele ukimwagia kuku.

8-Ukitaka mzanzibari afurahi wewe mwambie tu ana asili kama ya waarabu, hapo utayaona meno yake yote kwa tabasamu ataloachia.

9. Ukimsema vibaya mwarabu yeyote wanafikiri unamtukana ndugu yake Mtume, hii hali imefanya wengi kuona waarabu wote watakatifu,

Cha kushangaza mwarabu ni kama hata huo undugu hautaki, labda uwakute wapo karibu na viongozi wa juu kwa lengo maalum la biashara zao tu, huwa hawaozeshi hata mabinti zao kwa wazanzibari weusi na wale waarabu pori / chotara

hata uwaonyeshe video za wale wafanyakazi wanaotokea Zanzibar wanavyopigwa huko uarabuni na mabosi wao wa kiarabu, wao watabisha ni video ya uongo.
Kwa hiyo ndugu zetu ni nyinyi wabongo mbona hatuna na makabila kama yenu wala lugha kama zenu kaa na ufikirie vizuri.

Tatizo lenu hamusomi historia zaidi ya kukaririshwa tu, nani hasa walikuwa watumwa nchi hii.
Sisi Wazanzibar sio warabu wala sio wabongo sisi ni WAZANZIBAR yaani ni watu kutoka sehemu tofauti duniani wapo waliotoka bara, asia, amerika na kwengineko hao ndio wazanzbar wa leo.

Unaposema wakioa wanafunga majambia hizo ni tamaduni zilizorithiwa kutoka kwa waarabu ambao walikuwepo Zanzibar kwa zaidi ya miaka 100 ni vichekesho kwamba watu waishi miaka zaidi ya 100 kama utawala then wasiache athari yoyote kwa vizazi vijavyo haiwezi kuwa hivyo.

Mtu kutoka bara aliyekuja Zanzibar baada ya Mapinduzi bila ya shaka atajuana na ndugu zake waliopo bara, si nyinyi munasema wazanzibar wametoka bara, njoo Zanzibar na ufanye reseach kwa familia tano tu kama wanajuana na ndugu zao wa bara.
 
Back
Top Bottom