Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 5,606
- 7,032
Huu ukweli unauma sana!! Sisi tunakula kujaza matumbo, hatuli kwa kuzingatia ubora wa chakula kiafya!Wanakula kwa afya na sio kujaza tumbo, anakula chakula anajua hapa mwili umepata vitamin fulan na inasaidia nini, sasa wewe asubuhi supu, chapati mbili na soda pepsi, mchana unakanyaga ugali, nyama, maharage, na soda fanta, usiku unakula wali na nyama hapo unajionea maajabu yaani kuanzia wewe uwezo wa kufikiri utakua chini. Na hadi watoto utaowazaa level of thinking itakua chini na hutoweza kuyatawala mazingira wala kubuni lolote jema maana automatically una udumavu wa akili toka ukiwa mdogo,
Wanakula chakula kidogo kilicho na manufaa hawali kujaza tumbo na kunya mavi mengi. We mswahili ukikutana na bufee unapita kila sufuria alafu vyote wanga kwanini usinye mavi mengi mara kwa mara mpaka unatoka kinyama cha matako (bawasili)Wakuu
Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.
Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.
Kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.
Je, kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
Quality over QuantityWakuu
Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.
Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.
Kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.
Je, kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
Sisi Bongo bila ugali mkubwa au Wali bado hajala [emoji23][emoji23][emoji23]Wakuu
Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.
Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.
Kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.
Je, kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
Haijalishi unajua au haujui, mzungu yoyote unaweza kumuita mmarekani kama sio mmarekani basi atakwambia.Hivi ukimwona mzungu kutokea australia europe au marekani unaweza kujua anapotoka?
Nimeshakwambia wazungu wenyewe hawa mind kuitwa ivo
Diet ili wasiharibu mwili na kupata kisukari, matatizo ya blood pressure, matatizo ya moyo, strokes etc. Japo kwa USA chakula ni kibovu sana na pamoja na kupunguza huko, wengi wao ni obese..Wakuu
Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.
Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.
Kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.
Je, kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
😍😍😍😍😍😍😍😍😍Tatizo nyie hamjawahi kuishi na wazungu kule kwao, mnaona moja moja hapa wanao kuja kutalii au kufanya kazi kwa mda, ila ukweli wazungu wana kula sana ×2 ya wa Africa na wengi wana obesity......ulaji wao una weza kuuliganisha na kuku wa kufuga wa nyama broilers.
Naona una utani na wapare.......ila tuache masighara wazungu ni wakubwa, wametanuka afu warefu, sijui ni kwanini, anayejua anipe sababu.
Waafrica huwezi kutofautisha mtoto, kijana na mbaba yani wanamiili ya kudumaa.
Kwanini wamrekani si wazungu?!Boss hoja yako nzuri lakini Kifupi tu ndugu, wamarekani sio wazungu. Wazungu wannatoka ulaya pekee
Sio wazungu. Ni wamarekani. Mzungu ni mtu yoyote mwenye uraia wa nchi za ulaya kwa kuzaliwa. Ndio, hata tiery henry mchezaji nguli wa aseno zamani ni mzungu kutoka ufaransa.Kwanini wamrekani si wazungu?!
Kwenye “ustaarabu” umeniacha njia panda.Mind set...
Raised that way...
Discipline....
Ustaarabu....
Binadamu aliyefikia hatua ya kufanya kila kitu kwa kiasi ikiwemo chakula pia, ..... nashindwa kuelezea ila ni hatua flani ambayo wengine hawaiwezi.
Na inapendeza ikiwa self discipline.
Asante kwa ilimu, ngoja nitafute rejea nijielimishe zaidiSio wazungu. Ni wamarekani. Mzungu ni mtu yoyote mwenye uraia wa nchi za ulaya kwa kuzaliwa. Ndio, hata tiery henry mchezaji nguli wa aseno zamani ni mzungu kutoka ufaransa.
Wazungu wanakula mara kwa mara ndio maana wanakula chakula kwa kiasi. Sisi tunakula asubuhi (hii kuna watu hupiga desh. Tunakula mchana (hapa wengi hufidia gape la asubuhi. Tunakula usiku (hapa napo kuna watu hupitisha bila kitu.Wakuu
Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.
Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.
Kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.
Je, kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
[emoji119][emoji119]Wanakula kwa afya na sio kujaza tumbo, anakula chakula anajua hapa mwili umepata vitamin fulan na inasaidia nini, sasa wewe asubuhi supu, chapati mbili na soda pepsi, mchana unakanyaga ugali, nyama, maharage, na soda fanta, usiku unakula wali na nyama hapo unajionea maajabu yaani kuanzia wewe uwezo wa kufikiri utakua chini. Na hadi watoto utaowazaa level of thinking itakua chini na hutoweza kuyatawala mazingira wala kubuni lolote jema maana automatically una udumavu wa akili toka ukiwa mdogo,
Naona hujafanya research ya kutosha na umefikia conclusion kwa watu wawili tuu.. Lakini iko hivi kati ya watu wanoaheshimu na kupenda kula ni hao wenzetu.. Natamani ungeona breakfast yao ikoje na hiyo sandwich ungeiangalia imebeba niniWakuu
Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.
Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.
Kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.
Je, kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?
"Swalatu alan'nabii" waislam tunamuongozo sahihi katika hilo;Wakuu
Kuna wazungu flan nilikua nao kwenye kuwasaidia project yao flani,so tukawa tuna ukaribu ambao mara nyingi tulijikuta muda wa lunch tunakua pamoja.
Wazungu pamoja na kuwa na mamiili makubwa but sio walaji wa chakula kingi kama sisi waafrika. Utakuta muda wa lunch mzungu anakula sandwich moja tu na juisi nusu glass anashiba. Back to sisi waafrika sasa.
Kwanza kuna mwingine bila kula ugali anaona hajala kabisa na muda huo huo afya zetu ndio hizi mgogoro.
Je, kuna siri gani kwa wazungu kula msosi kidogo?