Kwanini wengi wanapenda kujifanya TISS wakati kazi hii ni kada ya ulinzi kundi moja na mgambo?

Ke idarani ni watu wa chini kabisa

Uishia kuwa FO

HATA HQ wakuu wa Idara Ke hata awafiki 2 kati ya Idara 1...
 
Washamba tuuu.
Ukienda kwenye ofisi yao utasikia ""Simama hukohuko kwanza... "" Bora PCCB wanaeleweka unakunywa nak bia, ila TISS sijui huwa nawaonaje kama washamba tuuu.

#YNWA
 
Kitu kinachoniuma ni recruitment style yao..

1- siijui exactly..
2- Naona mapungufu mengi ktk hiyo procedure..


Uzuri hii Nchi hatuna vita zaidi ya vita ya kiuchumi na ki maadili. (AMBAZO NI VITA NGUMU MNO)
 
H
hao ni field officers wanajulikana

Ila Undercover ni nadra kumfahamu

Before Msuya ajapata ile nafasi JIWE ALIWAAMBIA walikua awajui kama ni kipenyo walijua ni kuruta wa Ccp tu kumbe zuga

Haha
 
Nazidi kusisitiza kupingana na mawazo yako.
Je, umeshawahi kufika Urusi au kuwahi kuishi na Warusi ktk maisha yako?Nje kidogo ya Jiji la Moscow kuna Chuo chao maalumu kinaitwa The Red Banners Institute, kinatoa mafunzo maalumu ktk Masuala ya Ujasusi wa Kingono (Sexipionage). Wakufunzi "Machangudoa" wa kike na wa kiume wanaandaliwa huko ili kutekeleza kazi maalumu za idara zao.
Kwa hiyo, huyo mwanamke unayemzungumzia huenda pengine ni miongoni mwa "Wakufunzi Machangudoa" waajiriwa wa idara.
 
H

hao ni field officers wanajulikana

Ila Undercover ni nadra kumfahamu

Before Msuya ajapata ile nafasi JIWE ALIWAAMBIA walikua awajui kama ni kipenyo walijua ni kuruta wa Ccp tu kumbe zuga

Haha
Kijana wetu wa DSO huku tunamjua.
Na Kuna siku alileta mdomo "Nakuja kumwambia mkurugenzi wenu hamkusanyi mapato hamfanyi Kazi za Halmashauri vizuri"

Raia ofisini wakapata habari wakawa Wana mhanda.

Aisee Mimi bana huwa "Ukanizingua SIKUACHI AISEEE" siwezagi kulala na dukuduku ROHONI.

Nilimtafuta tukamalizana, yakawa makubwaa, DED akapata taarifa kwa nimezinguana na kijana wa DSO ila DED niliona amechuna tu.

Ni mapopo tu kama mapopo wengine.
Tena Kuna wale waliopata nafasi kisa ni makada hao ndio MAPOPO BALAAAAA kichwani kumezaa U-CCM tuuuuu.

#YNWA
 
Kujulikana ama kutojulikana inategemea na kitengo chako na kazi zako.Kuna vitengo vingi ndani ya kitengo kimoja, kuna situation tu mtu analinda asijulikane yeye ni nani na akijulikana ameharibu utaratibu wa kazi zake. Na Tiss ni kitengo kinachojumuisha kada nyingi za utumishi;kuna walimu, madaktari, mapolis, tra n.k ni sehemu ya tiss.mtu huwa unamwona darasana anapigizana kelele na wanafunzi kumbe ni Tiss.
 
Ni demu wangu tokea O-Level ila kwenye kutafuta ajira, akiwa chuo ndio TISS wakaleta fomu zao akajaza na bahati ya ajira ikamwangukia.

Ukiwapiga pumbu huhadithia yoteee.

Sasa Kama mpaka tunapicha za chumbani nao, sasa hao TISS wanautofauti gani na Hawa wanawake wa mtaani?

Let's say ningekuwa na akili mbovu, picha zao si wangezikuta kwa Mange Kimambi?

TISS mnawakuza sanaaa.
Tunaishi nao mtaani, wengine ni ndugu zetu na ni wajinga kama tulivyo wajinga sie.

#YNWA
 
Kwahiyo hoja yako ya kujulikana UMEIKANA kwamba WANAJULIKANA?

#YNWA
 
Sabaya ni usalama alipoteuliwa ukuu wa wilaya .lakini kabla aliwahi shitakiwa kwa kujifanya usalama
 
Sikubaliani na mfamo wako kamwe.
Tambua tu kwamba ninayo mifano hai kabisa ninayoifahamu fika kabisa. Sitaki kusema mambo mengi hapa, itoshe tu kusema kwamba haiwezekani.
INAWEZEKANA..

Tena ukiacha TISS yule mjeda yeye alichukua mkopo benki kwa dhamana ya mshahara halafu akasepa hiviii.

Na wao Wana njaa na ni wajinga tu kama sisi ...!!!

#YNWA
 
Kutembea na huyo denti/njuka sijui aliletewa fomu ya kwenda chuoni bado hai justify kwamba unaijua Tiss
 
Anajulikana tu kama mtu wa kawaida na kazi yake nyingine ambayo jamii inaijua kama udakitari, uhasibu n. K . Mtu anaweza kuwaTiss hata mke asijue ameolewa na Tiss.
Nakataaaaaa
Hakuna TISS ninaye mjua Mimi halafu familia yake haimjui kuwa yeye ni TISS.

Hizo za kutokujulikana kafa nazo Nyerere.

Siku hizi ile tu kapata chance kwenye Bagamoyo basi masela woteee tunajua.

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…