Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,010
- 4,083
Ke idarani ni watu wa chini kabisa
Uishia kuwa FO
HATA HQ wakuu wa Idara Ke hata awafiki 2 kati ya Idara 1...
Uishia kuwa FO
HATA HQ wakuu wa Idara Ke hata awafiki 2 kati ya Idara 1...
Boss napiga pumbu huelewi nini?
Na tunawapiga pumbu tu.
Kuna mmoja nilimpatia kwenye kikao cha ofisi ya DS.
Akawa ananipa mpaka documents zao nasoma, kwamba wakiwa chuoni kwao bagamoyo huchagua staili ya kupigana na kujiendeleza kama karate au boxing.
Lakini pia huyo demu wangu wa kwanza niliyemsindikiza kwenye chuo baada ya miezi mi3 ya course/kambi Kuna siku waliachiwa kama assignment waende sokoni wakusanye taarifa fulani.
Alipita gheto tukakumbushia then akaendelea na assignment yake.
Ni wa kawaida sanaaaa Hawa watu, ila MNAWAKUZA SANAAAA.
#YNWA