Kwanini Yesu anaitwa Mungu? Sababu na ushahidi huu hapa

Kwanini Yesu anaitwa Mungu? Sababu na ushahidi huu hapa

Tatizo linakuja kwenye kuelimisha ng'ombe...kazi sana kuelimisha ng'ombe...kwani wewe ujui kuwa kuona ni mlango mmoja tu wa fahamu ....musa alisikia sauti ya mungu ni mlango mwingine wa fahamu wa kusikia ...mungu anaweza kuonekana kama kitu chochote atakavyo yeye ...labda Allah ndiyo dhaifu awezi kuonekana atakavyo

Sisi unayetwita ng'ombe ndiyo hivyo tumesoma kwenye Biblia na kukuta hii Aya

And God said, Thou shalt not be able to see my face; FOR NO MAN SHALL SEE MY FACE, and live. Exodus 33:7-20

Sasa utuambie huyo ni Mungu yupi ?
 
Sisi unayetwita ng'ombe ndiyo hivyo tumesoma kwenye Biblia na kukuta hii Aya

And God said, Thou shalt not be able to see my face; FOR NO MAN SHALL SEE MY FACE, and live. Exodus 33:7-20

Sasa utuambie huyo ni Mungu yupi ?
Mungu hana sura wewe zuzu ...kumuona mungu maana yake ni kuiona nafsi yake ...mbona hata sisi wanadamu atujawai kuziona nafsi zetu
 
Mungu hana sura wewe zuzu ...kumuona mungu maana yake ni kuiona nafsi yake ...mbona hata sisi wanadamu atujawai kuziona nafsi zetu

Kwani hapo Aya inazungumzia nafsi ya Mungu ?
Mbona mwanadamu unashindwa na ng'ombe unakuwa kipofu?
 
Kwani hapo Aya inazungumzia nafsi ya Mungu ?
Mbona mwanadamu unashindwa na ng'ombe inakuwa kipofu?
Kwa hiyo nikisema Yesu ni kiwiliwili cha mungu nitakuwa sahihi maana sikusema sura
 
Kwa hiyo nikisema Yesu ni kiwiliwili cha mungu nitakuwa sahihi maana sikusema sura

Kwani Aya ipi iliyosema Yesu ni kiwiliwili cha Mungu , mbona unazidi kuingia porini?
Tatizo la wakristo wengi huwa mnasikiliza maneno ya wachungaji na tafsiri Za vichwa vyao , hamsomi biblia kwa kutumia akili zenu
 
1. Ushahidi wa Kibiblia
Yohana 1:1 – "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu."
Tito 2:13 – "Tukilitazamia tumaini lenye baraka na mafunuo ya utukufu wa Mungu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo."

Yesu mwenyewe alikiri kuwa ni Mungu:
Yohana 10:30 – "Mimi na Baba tu umoja."
Yohana 8:58 – "Amini, amini, nawaambia, Kabla Abrahamu hajakuwako, Mimi niko."

2. Sifa za Kimungu alizo nazo Yesu
Uwepo wake wa milele – Mika 5:2
Uwezo wa kusamehe dhambi – Marko 2:5-7
Uwezo wa kutoa uzima wa milele – Yohana 10:28
Uwezo wa kuhukumu ulimwengu – 2 Wakorintho 5:10

3. Miujiza inayodhihirisha Uungu wa Yesu
Kubadili maji kuwa divai (Yohana 2:1-11) –
Kutembea juu ya maji (Mathayo 14:25-27)
Kutuliza dhoruba (Marko 4:39)
Kufufua wafu (Yohana 11:43-44)
Kupaa mbinguni (Matendo 1:9-11)

4. Unabii wa Agano la Kale ulitimia kuhusu Uungu wa Yesu
Katika Isaya 9:6 – Yesu anaitwa "Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele."
Katika Mathayo 1:22-23, tunasoma jinsi unabii huo ulivyotimia:
"Hayo yote yamekuwa, ili litimie neno lililonenwa na Bwana kwa njia ya nabii, akisema, Tazama, bikira atachukua mimba, atazaa mtoto mwanamume, Naye watamwita jina lake Imanueli; yaani, Mungu pamoja nasi."

5. Watu Walimwabudu Yesu na kukiri kuwa ni Mungu
Mathayo 28:9,17 – Wanafunzi wake walimsujudia.
Yohana 20:28 – Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu! Yesu alipoambiwa na Tomaso kuwa ni Mungu, hakukanusha.

Kama unadai Yesu sio Mungu, toa sababu zako hapa
Yesu ana sifa za Mungu ila yupo Mungu ambaye ni baba yake.

Yohana 14: 28 Yesu mwenyewe aliwaambia wanafunzi wake, "Ninaenda kwa baba kwa maana baba ni mkuu kuliko mimi"

Yohana 20:17 "Ninapanda kwenda kwa baba yangu na baba yenu na kwa Mungu wangu na Mungu wenu."
 
Kwa hiyo nikisema Yesu ni kiwiliwili cha mungu nitakuwa sahihi maana sikusema sura
Kulingana na Yohana 5:37 ,

Yesu alisema kwamba hakuna mtu ambaye amewahi kumwona Mungu wakati wowote au kusikia sauti yake.

Na bado watu walimwona Yesu, Hii inathibitisha kwamba Yesu hawezi kuwa Mungu kwani alionekana na kila mtu hapo Jerusalemu
 
Kwa hiyo nikisema Yesu ni kiwiliwili cha mungu nitakuwa sahihi maana sikusema sura
Exodus 3:2
2. There the angel of the Lord appeared to him in flames of fire from within a bush. Moses saw that though the bush was on fire it did not burn up.


Hapo aliyetokea ni malaika wa Mungu wala siye Mungu mwenyewe

Nakuongeza hapo chini

Numbers 23:19

19 God is not a man, that he should lie; neither the son of man, that he should repent: hath he said, and shall he not do it? or hath he spoken, and shall he not make it good?


GOD is not a flesh and blood man (Numbers 23:19).



Judith 8:16

Do not try to bind the purposes of the Lord our God; forGod is not like man, to be threatened, nor like a human being, to be won over by pleading.
 
Unaweza kutuletea Aya Yesu anasema Mimi ni Mungu ninayeongea Kama mwanadamu ?
Swali lako nimeishalijibu katika maelezo ya uzi wangu, ila naona hujaelewa.

Sikiliza ndugu. Katika Mathayo 1:23 tunaona unabii wa Isaya 7:14 ukitimizwa kuwa Yesu ataitwa Emanueli, yaani "Mungu pamoja nasi"

Jina Emanueli linaonyesha kuwa Yesu hakuwa mtu wa kawaida bali ni Mungu aliyekuja kuishi kati ya wanadamu. Andiko hilo linaendana na Yohana 1:14, inayoeleza kuwa "Neno(Mungu) alifanyika mwili, akakaa kwetu."

Hiyo ndiyo sababu nimekuambia Yesu alipokuwa duniani alivaa ubinadamu.

Nakutajia hapa aya nyingine zinazothibitisha kuwa Yesu ni Mungu aliyekuja katika mwili:

1. Yesu alisema katika Yohana 10:30 – "Mimi na Baba tu umoja."

2. Yesu alijitambulisha kwa jina la Mungu: ‘Mimi Niko’ (Ego Eimi)
Yohana 8:58 – "Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Kabla ya Ibrahimu kuwako, Mimi niko."

Mimi Niko ni jina ambalo Mungu alilitumia alipomwambia Musa: "Mimi Niko ambaye Niko" (Kutoka 3:14).

3. Yesu alisamehe dhambi – jambo linalofanywa na Mungu pekee
Marko 2:5-7 – Yesu alipomsamehe mtu aliyepooza dhambi zake, waandishi wa sheria walishangaa na kusema: "Kwa nini huyu anasema hivi? Anatukana! Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa mmoja, ndiye Mungu?"

4. Tomaso alimwita Yesu Mungu
Yohana 20:28 – "Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!"
Yesu hakukataa kuitwa Mungu, badala yake akasema "heri aaminiye pasipo kuona"

5. Yesu alisema Yeye ni Alfa na Omega
Ufunuo 22:13 – "Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho..."

Hiyo ni sifa ya Mungu pekee (Isaya 44:6).

Uungu wa Yesu ndio uliomuwezesha kutenda miujiza mikubwa ambayo mwanadamu wa kawaida hawezi kuitenda.
 
Kulingana na Yohana 5:37 ,

Yesu alisema kwamba hakuna mtu ambaye amewahi kumwona Mungu wakati wowote au kusikia sauti yake.

Na bado watu walimwona Yesu, Hii inathibitisha kwamba Yesu hawezi kuwa Mungu kwani alionekana na kila mtu hapo Jerusalemu
Hapo Kiswahili tu ndiyo kinakuchanganya. Ni kweli kabla Yesu hajaja duniani, hakuna mtu aliyewahi kumuona Mungu. Lakini baada ya Yesu kuja, watu waliweza kumuona Mungu aliyekuja na kukaa kwetu. Yohana 1:14, "Neno(Mungu) alifanyika mwili, akakaa kwetu."

Kuzaliwa tu kwa Yesu hakukuwa kwa kawaida. Ni mtu gani mwingine uliyesikia mimba ya mama yake imepatikana kwa uwezo wa Roho Mtakatifu?

Uwe makini ndugu usije ukawa miongoni mwa wapinga Kristo
1 Yohana 2:18"Watoto, ni wakati wa mwisho; na kama vile mlivyosikia ya kwamba Mpinga Kristo anakuja, hata sasa wapinga Kristo wengi wamekwisha kuwapo. Kwa sababu hiyo twajua ya kuwa ni wakati wa mwisho."
 
Yesu ana sifa za Mungu ila yupo Mungu ambaye ni baba yake.

Yohana 14: 28 Yesu mwenyewe aliwaambia wanafunzi wake, "Ninaenda kwa baba kwa maana baba ni mkuu kuliko mimi"

Yohana 20:17 "Ninapanda kwenda kwa baba yangu na baba yenu na kwa Mungu wangu na Mungu wenu."


Yesu hana sifa za Mungu

YESU SI MUNGU:
KWA SABABU HANA SIFA ZA MUNGU

Mwenyezi Mungu Anazo sifa zifuatazo ambazo Yesu hanazo hata sifa moja wapo. Mwenyezi Mungu ndiye muumba wetu ni mmoja. Anajulikana na anatambulikana kwa sifa zake.

Biblia inatuelezea sifa Mungu zinazotajwa katika Biblia. Vilevile nitaeleza kwamba Bwana Yesu Kristo hana hata sifa moja sawa na Biblia.

1. MUNGU HAJARIBIWI

Biblia inasema kwamba: “Mtu ajaribiwapo, asiseme, ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala mwenyewe hamjaribu mtu,” (Yakobo 1:13).

Sasa tuone hali ya Bwana Yesu Kristo kwamba yeye anayo sifa hii au ni kinyume chake. Biblia inasema kwamba: “ Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi,” (Mathayo 4:1).

Mungu hajaribiwi lakini Yesu alijaribiwa na Iblisi, kwahiyo hawezi kuwa mungu, kwa sababu ya kukosa sifa hii
ya Mungu.

2 MUNGU ANAJUA KILA KITU

Ni sifa ya Mwenyezi Mungu kujua kila kitu cha dhahiri na cha siri. Kitu chochote hakiwezi kufichika kwake. Kama Biblia inavyosema kwamba: “Basi usikie huko mbinguni, makao yako, ukasamehe, ukampe kila mtu kwa kadri ya njia zake; wewe ujuaye moyo wake; (maana wewe peke yako ndiwe uijuaye mioyo ya wanadamu wote.” (1Wafalme 8:39).

Sasa tuone kiwango cha Bwana Yesu cha kujua mambo. Biblia inasema kwamba: “Hata asubuhi alipokuwa akienda mjini, aliona njaa. Akaona mtini mmoja kando ya njia, akauendea, asione kitu juu yake ila majani tu; akauambia, yasipatikane matunda kwako tangu leo hata milele. Mtini ukanyauka mara.”
(Mathayo 21:18-19).

Mtu ambaye hajui kwamba msimu huu mti fulani haupatikani matunda ilhali hata watoto wadogo wanajua misimu ya matunda mbalimbali, hawezi kuwa Mungu.

Tena aya hii inaonesha tabia ya Bwana Yesu kwamba mwenyewe alikosea kujua msimu wa matunda ya mtini
na kisha akaulaani mti bure.

Pia Bw. Yesu anakiri mwenyewe kwamba hajui chochote kuhusu habari za saa ile (Mathayo 24:36).


3. MUNGU HACHOKI

Mwenyezi Mungu hana kasoro ya udhaifu wowote. Sifa zote njema zinamhusu yeye. Biblia inasema kwamba: Je, wewe hukujua? hukusikia? Yeye Mungu wa milele, Bwana muumba miisho ya dunia, hasinzii wala hachoki, akili zake hazichunguziki.” (Isaya 40:28).

Sasa tuone hali ya Yesu. Je, yeye anayo sifa hii ya Mungu? Kama hana, basi hawezi kuwa Mungu. Biblia inasema: “Na hapo palikuwa na kisima cha Yakobo, Basi Yesu kwa sababu amechoka kwa safari yake, akaketi vivi hivi kisimani. Nayo yapata saa sita.” (Yohana 4:6). Basi mwenye kuchoka hawezi kuwa Mungu.
 
Yesu hana sifa za Mungu

YESU SI MUNGU:
KWA SABABU HANA SIFA ZA MUNGU

Mwenyezi Mungu Anazo sifa zifuatazo ambazo Yesu hanazo hata sifa moja wapo. Mwenyezi Mungu ndiye muumba wetu ni mmoja. Anajulikana na anatambulikana kwa sifa zake.

Biblia inatuelezea sifa Mungu zinazotajwa katika Biblia. Vilevile nitaeleza kwamba Bwana Yesu Kristo hana hata sifa moja sawa na Biblia.

1. MUNGU HAJARIBIWI

Biblia inasema kwamba: “Mtu ajaribiwapo, asiseme, ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala mwenyewe hamjaribu mtu,” (Yakobo 1:13).

Sasa tuone hali ya Bwana Yesu Kristo kwamba yeye anayo sifa hii au ni kinyume chake. Biblia inasema kwamba: “ Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi,” (Mathayo 4:1).

Mungu hajaribiwi lakini Yesu alijaribiwa na Iblisi, kwahiyo hawezi kuwa mungu, kwa sababu ya kukosa sifa hii
ya Mungu.

2 MUNGU ANAJUA KILA KITU

Ni sifa ya Mwenyezi Mungu kujua kila kitu cha dhahiri na cha siri. Kitu chochote hakiwezi kufichika kwake. Kama Biblia inavyosema kwamba: “Basi usikie huko mbinguni, makao yako, ukasamehe, ukampe kila mtu kwa kadri ya njia zake; wewe ujuaye moyo wake; (maana wewe peke yako ndiwe uijuaye mioyo ya wanadamu wote.” (1Wafalme 8:39).

Sasa tuone kiwango cha Bwana Yesu cha kujua mambo. Biblia inasema kwamba: “Hata asubuhi alipokuwa akienda mjini, aliona njaa. Akaona mtini mmoja kando ya njia, akauendea, asione kitu juu yake ila majani tu; akauambia, yasipatikane matunda kwako tangu leo hata milele. Mtini ukanyauka mara.”
(Mathayo 21:18-19).

Mtu ambaye hajui kwamba msimu huu mti fulani haupatikani matunda ilhali hata watoto wadogo wanajua misimu ya matunda mbalimbali, hawezi kuwa Mungu.

Tena aya hii inaonesha tabia ya Bwana Yesu kwamba mwenyewe alikosea kujua msimu wa matunda ya mtini
na kisha akaulaani mti bure.

Pia Bw. Yesu anakiri mwenyewe kwamba hajui chochote kuhusu habari za saa ile (Mathayo 24:36).
4. MUNGU HACHOKI

Mwenyezi Mungu hana kasoro ya udhaifu wowote. Sifa zote njema zinamhusu yeye. Biblia inasema kwamba: Je, wewe hukujua? hukusikia? Yeye Mungu wa milele, Bwana muumba miisho ya dunia, hasinzii wala hachoki, akili zake hazichunguziki.” (Isaya 40:28).

Sasa tuone hali ya Yesu. Je, yeye anayo sifa hii ya Mungu? Kama hana, basi hawezi kuwa Mungu. Biblia inasema: “Na hapo palikuwa na kisima cha Yakobo, Basi Yesu kwa sababu amechoka kwa safari yake, akaketi vivi hivi kisimani. Nayo yapata saa sita.” (Yohana 4:6). Basi mwenye kuchoka hawezi kuwa Mungu.
1
Hivi kuna sehemu nimeandika Yesu ni Mungu? Kama naamini Yesu ndiye Mungu hayo maandiko mawili ningeyaweka ili yawe ushahidi juu ya nini?

Kuwa na sifa za Mungu sio lazima uwe nazo zote. Hapo wewe una sifa ambazo Mungu anazo ingawa huwezi kuzidumisha. Kabla ya kujibu elewa
 
Swali lako nimeishalijibu katika maelezo ya uzi wangu, ila naona hujaelewa.

Sikiliza ndugu. Katika Mathayo 1:23 tunaona unabii wa Isaya 7:14 ukitimizwa kuwa Yesu ataitwa Emanueli, yaani "Mungu pamoja nasi"

Jina Emanueli linaonyesha kuwa Yesu hakuwa mtu wa kawaida bali ni Mungu aliyekuja kuishi kati ya wanadamu. Andiko hilo linaendana na Yohana 1:14, inayoeleza kuwa "Neno(Mungu) alifanyika mwili, akakaa kwetu."

Hiyo ndiyo sababu nimekuambia Yesu alipokuwa duniani alivaa ubinadamu.

Nakutajia hapa aya nyingine zinazothibitisha kuwa Yesu ni Mungu aliyekuja katika mwili:

1. Yesu alisema katika Yohana 10:30 – "Mimi na Baba tu umoja."

2. Yesu alijitambulisha kwa jina la Mungu: ‘Mimi Niko’ (Ego Eimi)
Yohana 8:58 – "Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Kabla ya Ibrahimu kuwako, Mimi niko."

Mimi Niko ni jina ambalo Mungu alilitumia alipomwambia Musa: "Mimi Niko ambaye Niko" (Kutoka 3:14).

3. Yesu alisamehe dhambi – jambo linalofanywa na Mungu pekee
Marko 2:5-7 – Yesu alipomsamehe mtu aliyepooza dhambi zake, waandishi wa sheria walishangaa na kusema: "Kwa nini huyu anasema hivi? Anatukana! Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa mmoja, ndiye Mungu?"

4. Tomaso alimwita Yesu Mungu
Yohana 20:28 – "Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!"
Yesu hakukataa kuitwa Mungu, badala yake akasema "heri aaminiye pasipo kuona"

5. Yesu alisema Yeye ni Alfa na Omega
Ufunuo 22:13 – "Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho..."

Hiyo ni sifa ya Mungu pekee (Isaya 44:6).

Uungu wa Yesu ndio uliomuwezesha kutenda miujiza mikubwa ambayo mwanadamu wa kawaida hawezi kuitenda.

UTABIRI WA ISAYA


Isaya 7:14 …Tazama bikira atachukuwa mimba, atazaa mototo mwanamume naye ATAMWITA jina lake Imanueli.

Wakristo upenda sana kutumia huu mstari kuonyesha kuwa Nabii Yesu alitabiriwa kwenye mstari huu, lakini ni kitu cha kushangaza sana kwa kushindwa kuangalia mstakabri mzima wa huo mstari ulipo anzia mpaka kufikia aya ya 14.

Ukisoma kuanzia Anza Isaya 7:10, utagunduwa kuwa utabiri ulikuwa unamuhusu Mfalme Ahazi au Isaya mwenyewe kuwa mkewe ndio atakaye zaa mtoto na ndio maana ukiendelea mbele mpaka kufikia Isaya 9:6, utakutana na maneno haya:

Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa amani.
Isaya 9:6

Mstari huu, umeandikwa kwa present past tense, yaani tukio ambalo limekwisha tokea, ila utokeaji wake si wa muda mrefu. Ndio maana ikaandikwa "...Tumepewa mtoto mwanamume..." Kuonyesha kuwa tendo limekwisha tendeka, si kuwa litatendeka kwa wakati ujao.

Hapa nanukuu kitabu kimojawapo ambacho ni mwongozo kwa walimu wa theologia (Teacher’s guides to religions education series) uliokubaliwa na Wanatheologia wote (Agreed Sylabases).

Kitabu hiki kinaitwa "The Rise of the Prophets" Senior lessons – Volume Six cha Norman J. Bull, M.A – Champlain and lecturer in Divinity Saint Luke’s College.

Mfululizo wa miongozo hii imetayarishwa na The Religious Education Press Ltd. Wallington Survey (1961) katika ukurasa wa 156 kikizungumzia "Imanuel"

Kinasema
"(b) Immanu-el. It was Isaiah’s Unwavering Conviction that Yahweh was with His people – Immanu-el (God with us) – If they would but put their whole trust in Him. The Prophet offered a sign of this to the weak and wavering Ahaz (see above). A ‘Young woman’ – not ‘ a virgin’ – was with child, and would bear a son to be called Immanu-el. Before he was old enough to know good from evil, Israel and Syria will have been destroyed. This ‘sign’ is given in a concrete historical situation (7:14, 8:8,10 cf. Rom 8.31); it is not visionary future possibility. The ‘young woman’ may well have been Isaiah’s own wife (ef. 8:3) or even the wife Ahaz. From the point of view of Isaiah, there is no Prophecy here of a virgin birth".
Hicho ndicho wanachofundishwa Makadinali, Maaskofu, Mapadre n.k. kuwa huyo mwanamke hakuwa bikira (not a virgin) na tayari alikuwa na mtoto (was with child) na wala sio Maria bali mke wa Nabii Isaya au mfalme Ahazi. Na wanasisitiziwa kuwa hakuna utabiri wa uzazi wa mwanamke bikira hapo " there is no Prophecy here of a virgin birth".

Vilevile ukisoma Biblia ya Revised Standard Version (RSV) kuhusiana na Isaiah 7:14, wao wamelitafasiri neno la Kihebrania (עַלְמָה) 'almāh{al-maw'} kuwa ni "young woman" Mwanamke Kijana au kwa Kiswahili cha kawaida twaweza kusema Msichana (Kigori) na si kama wanavyotafasiri kwenye biblia zingine kuwa neno ilo lina maana ya "virgin" yaani Bikra au Bikira.

Neno Bikira au Bikra kwa Kihibrania ni [בְּתוּלָה (bəṯūlāh)] limetumika mara 50 kwenye Septuagint.

Hapa chini kuna tafasiri mbalimbali kutoka baadhi ya Biblia

Revised Standard Version (American; RSV)
Therefore the Lord himself will give you a sign. Behold, a young woman[a] shall conceive and bear a son, and shall call his name Imman'u-el
---

Tafasiri Nyingine:​

The Jerusalem Bible (Koren Publishing; JBK).
Therefore the Lord himself shall give you a sign: a maiden is with child and she will bear a son, and will call his name Immanuel.
---

New Jerusalem Bible (Catholic; NJB)
The Lord will give you a sign in any case: It is this: the young woman is with child and will give birth to a son whom she will call Immanuel
---

New English Bible (NEB)
Therefore the Lord himself shall give you a sign: A young woman is with child, and she will bear a son, and will call him Immanuel.
---

New English Translation Bible (NET)
For this reason the sovereign master himself will give you a confirming sign. Look, this young woman is about to conceive and will give birth to a son. You, will name him Immanuel.
 
Hivi kuna sehemu nimeandika Yesu ni Mungu? Kama naamini Yesu ndiye Mungu hayo maandiko mawili ningeyaweka ili yawe ushahidi juu ya nini?

Kuwa na sifa za Mungu sio lazima uwe nazo zote. Hapo wewe una sifa ambazo Mungu anazo ingawa huwezi kuzidumisha. Kabla ya kujibu elewa

Kwa hakika hakuna mahali umeandika Yesu ni Mungu , kwanza hapo nakuvulia kofia.

Ila ulikosea ulpoandika , nakunukuu

Japkas said:


Yesu ana sifa za Mungu ila yupo Mungu ambaye ni baba yake.
 
Swali lako nimeishalijibu katika maelezo ya uzi wangu, ila naona hujaelewa.

Sikiliza ndugu. Katika Mathayo 1:23 tunaona unabii wa Isaya 7:14 ukitimizwa kuwa Yesu ataitwa Emanueli, yaani "Mungu pamoja nasi"

Jina Emanueli linaonyesha kuwa Yesu hakuwa mtu wa kawaida bali ni Mungu aliyekuja kuishi kati ya wanadamu. Andiko hilo linaendana na Yohana 1:14, inayoeleza kuwa "Neno(Mungu) alifanyika mwili, akakaa kwetu."

Hiyo ndiyo sababu nimekuambia Yesu alipokuwa duniani alivaa ubinadamu.

Nakutajia hapa aya nyingine zinazothibitisha kuwa Yesu ni Mungu aliyekuja katika mwili:

1. Yesu alisema katika Yohana 10:30 – "Mimi na Baba tu umoja."

2. Yesu alijitambulisha kwa jina la Mungu: ‘Mimi Niko’ (Ego Eimi)
Yohana 8:58 – "Yesu akawaambia, Amin, amin, nawaambia, Kabla ya Ibrahimu kuwako, Mimi niko."

Mimi Niko ni jina ambalo Mungu alilitumia alipomwambia Musa: "Mimi Niko ambaye Niko" (Kutoka 3:14).

3. Yesu alisamehe dhambi – jambo linalofanywa na Mungu pekee
Marko 2:5-7 – Yesu alipomsamehe mtu aliyepooza dhambi zake, waandishi wa sheria walishangaa na kusema: "Kwa nini huyu anasema hivi? Anatukana! Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa mmoja, ndiye Mungu?"

4. Tomaso alimwita Yesu Mungu
Yohana 20:28 – "Tomaso akajibu, akamwambia, Bwana wangu na Mungu wangu!"
Yesu hakukataa kuitwa Mungu, badala yake akasema "heri aaminiye pasipo kuona"

5. Yesu alisema Yeye ni Alfa na Omega
Ufunuo 22:13 – "Mimi ni Alfa na Omega, wa kwanza na wa mwisho..."

Hiyo ni sifa ya Mungu pekee (Isaya 44:6).

Uungu wa Yesu ndio uliomuwezesha kutenda miujiza mikubwa ambayo mwanadamu wa kawaida hawezi kuitenda.

Hebu tuangalie Yohana 10:30 "Mimi (Yesu) na Baba tu Umoja."

Mstari huu haueleweki kabisa na umetolewa nje ya muktadha, kwa sababu kuanzia mstari wa Yohana 10:23 tunasoma (katika muktadha wa 10:30) kuhusu Yesu akizungumza na Wayahudi.

Katika mstari wa Yohana 10:28-30, akizungumza juu ya wafuasi wake kuwa kondoo wake, yeye asema:

“...Wala hakuna mtu atakayewapokonya katika mkono wangu. Baba yangu aliyenipa hao ni mkuu kuliko wote, wala hakuna awezaye kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu.

Mistari hii inathibitisha tu kwamba Yesu na Baba ni wamoja kwa kuwa hakuna mtu anayeweza kuwanyakua kondoo kutoka mkononi mwa wawili hao.

Haisemi kabisa kwamba Yesu ni sawa na Mungu katika kila jambo.

Kwa hakika maneno ya Yesu, “Baba yangu, aliyenipa wao ni mkuu kuliko WOTE...,” katika Yohana 10:29 yanakanusha kabisa dai hili, la sivyo tunabaki na mkanganyiko tu sentensi tofauti.

Yote inajumuisha kila mtu hata Yesu .

Pia tuangalie mstari wa Yohana 17:20-22 " WOTE WAWE MMOJA. Kama wewe Baba ulivyo ndani yangu, nami ndani yako, wawe UMOJA ndani yetu.wao, wao ndani yangu, wapate kuwa wakamilifu katika MMOJA".

Katika mstari huu, neno lile lile alilotumia MMOJA, la Kiyunani, HEN limetumika, sio tu kumwelezea Yesu na Baba bali kumwelezea Yesu, Baba na wanafunzi kumi na mmoja wa wale kumi na wawili wa Yesu . Kwa hivyo hapa ikiwa hiyo inaashiria usawa wa kipekee wa 1, tunayo kisa cha kipekee cha 1.

Kuhusu mstari unaozungumziwa, “Mimi na Baba tu Umoja” katika (Yohana 10:30), tunahitaji pia kuzingatia mistari inayofuata mstari wa 30 katika kifungu hicho.

Katika mistari hiyo, Wayahudi wanamshtaki Yesu kwa uwongo kwa kudai kuwa yeye ni Mungu kwa maneno haya.

Hata hivyo anajibu, akithibitisha shitaka lao kuwa si sahihi kwa andiko lao wenyewe:

“Wayahudi wakamjibu, wakisema, Kwa ajili ya kazi njema hatukupigi mawe, bali kwa kukufuru, na kwa sababu wewe uliye mwanadamu wajifanya mwenyewe kuwa Mungu” (Yohana 10:33).

Yesu anajibu shtaka hili akisema:

"Yesu akawajibu, 'Je, haikuandikwa katika Sheria yenu, Nilisema ninyi ni miungu. Ikiwa anaweza kuwaita miungu, ambao neno la Mungu liliwajia, ninyi mwasema yeye ambaye Baba alimtakasa na kumtuma ulimwenguni, “Unakufuru, kwa sababu nilisema mimi ni Mwana wa Mungu?’” ( Yohana 10:34-36 ) .

Hebu tuangalie Matendo 2:22

“Enyi Waisraeli, sikieni maneno haya: Yesu wa Nazareti, MTU aliyethibitishwa na Mungu kwenu...”

Petro katika kitabu cha Matendo anashuhudia juu ya Yesu. Hivyo Yesu hata kwa wanafunzi wake, kama kwa Wakristo wa mapema, bila kutiwa sumu na fundisho la Paulo, alikuwa mwanadamu, si Mungu.
 
Yesu hana sifa za Mungu

YESU SI MUNGU:
KWA SABABU HANA SIFA ZA MUNGU

Mwenyezi Mungu Anazo sifa zifuatazo ambazo Yesu hanazo hata sifa moja wapo. Mwenyezi Mungu ndiye muumba wetu ni mmoja. Anajulikana na anatambulikana kwa sifa zake.

Biblia inatuelezea sifa Mungu zinazotajwa katika Biblia. Vilevile nitaeleza kwamba Bwana Yesu Kristo hana hata sifa moja sawa na Biblia.

1. MUNGU HAJARIBIWI

Biblia inasema kwamba: “Mtu ajaribiwapo, asiseme, ninajaribiwa na Mungu; maana Mungu hawezi kujaribiwa na maovu, wala mwenyewe hamjaribu mtu,” (Yakobo 1:13).

Sasa tuone hali ya Bwana Yesu Kristo kwamba yeye anayo sifa hii au ni kinyume chake. Biblia inasema kwamba: “ Kisha Yesu alipandishwa na Roho nyikani, ili ajaribiwe na Ibilisi,” (Mathayo 4:1).

Mungu hajaribiwi lakini Yesu alijaribiwa na Iblisi, kwahiyo hawezi kuwa mungu, kwa sababu ya kukosa sifa hii
ya Mungu.

2 MUNGU ANAJUA KILA KITU

Ni sifa ya Mwenyezi Mungu kujua kila kitu cha dhahiri na cha siri. Kitu chochote hakiwezi kufichika kwake. Kama Biblia inavyosema kwamba: “Basi usikie huko mbinguni, makao yako, ukasamehe, ukampe kila mtu kwa kadri ya njia zake; wewe ujuaye moyo wake; (maana wewe peke yako ndiwe uijuaye mioyo ya wanadamu wote.” (1Wafalme 8:39).

Sasa tuone kiwango cha Bwana Yesu cha kujua mambo. Biblia inasema kwamba: “Hata asubuhi alipokuwa akienda mjini, aliona njaa. Akaona mtini mmoja kando ya njia, akauendea, asione kitu juu yake ila majani tu; akauambia, yasipatikane matunda kwako tangu leo hata milele. Mtini ukanyauka mara.”
(Mathayo 21:18-19).

Mtu ambaye hajui kwamba msimu huu mti fulani haupatikani matunda ilhali hata watoto wadogo wanajua misimu ya matunda mbalimbali, hawezi kuwa Mungu.

Tena aya hii inaonesha tabia ya Bwana Yesu kwamba mwenyewe alikosea kujua msimu wa matunda ya mtini
na kisha akaulaani mti bure.

Pia Bw. Yesu anakiri mwenyewe kwamba hajui chochote kuhusu habari za saa ile (Mathayo 24:36).
4. MUNGU HACHOKI

Mwenyezi Mungu hana kasoro ya udhaifu wowote. Sifa zote njema zinamhusu yeye. Biblia inasema kwamba: Je, wewe hukujua? hukusikia? Yeye Mungu wa milele, Bwana muumba miisho ya dunia, hasinzii wala hachoki, akili zake hazichunguziki.” (Isaya 40:28).

Sasa tuone hali ya Yesu. Je, yeye anayo sifa hii ya Mungu? Kama hana, basi hawezi kuwa Mungu. Biblia inasema: “Na hapo palikuwa na kisima cha Yakobo, Basi Yesu kwa sababu amechoka kwa safari yake, akaketi vivi hivi kisimani. Nayo yapata saa sita.” (Yohana 4:6). Basi mwenye kuchoka hawezi kuwa Mungu.
1
Wewe tatizo lako ni IQ yako ndogo kiasi unashindwa hata kuelewa lugha ...pia unasubiri mtu ameshatoka jf ndiyo unajidai kujibu ...kuhusu mti na moto sijui umesoma kitabu gani ...tokea kale inajulikana mungu anaweza kuonekana kwa taswira yoyote siyo kumwona nafsi yake ...tatizo ujui kumwona mungu maana yake ni nini ? Mungu ni nafsi hivyo katika yesu tulimwona mungu kwa kupitia mwili wa binadamu na siyo kumwona mungu jinsi alivyo wewe ukijivisha mask tunakuona ila siyo jinsi ulivyo wewe ukijifunika shuka mwili mzima tunakuona ila siyo jinsi ulivyo ...ndiyo maana huyo yesu aliwatokea wanafunzi wake kwa sura tofauti wasiweze kumjua umbo lolote mungu anaweza kulitumia .
 
Kulingana na Yohana 5:37 ,

Yesu alisema kwamba hakuna mtu ambaye amewahi kumwona Mungu wakati wowote au kusikia sauti yake.

Na bado watu walimwona Yesu, Hii inathibitisha kwamba Yesu hawezi kuwa Mungu kwani alionekana na kila mtu hapo Jerusalemu
Maana yake sasa wamemwona kwa jinsi ya mwili wa mwanadamu...
 
Wewe tatizo lako ni IQ yako ndogo kiasi unashindwa hata kuelewa lugha ...pia unasubiri mtu ameshatoka jf ndiyo unajidai kujibu ...kuhusu mti na moto sijui umesoma kitabu gani ...tokea kale inajulikana mungu anaweza kuonekana kwa taswira yoyote siyo kumwona nafsi yake ...tatizo ujui kumwona mungu maana yake ni nini ? Mungu ni nafsi hivyo katika yesu tulimwona mungu kwa kupitia mwili wa binadamu na siyo kumwona mungu jinsi alivyo wewe ukijivisha mask tunakuona ila siyo jinsi ulivyo wewe ukijifunika shuka mwili mzima tunakuona ila siyo jinsi ulivyo ...ndiyo maana huyo yesu aliwatokea wanafunzi wake kwa sura tofauti wasiweze kumjua umbo lolote mungu anaweza kulitumia .

Hayo yote ni maneno ya wazee na wachungaji wanaotafuta ugali makanisani

Wewe mwenye Iq kubwa hujaweka hata kipande cha aya kuthibitisha kuwa Yesu alisema mimi ni mungu niliyekuja kwa umbo la kibinadamu
 
Back
Top Bottom