Wewe sema tu kuwa ni Tundu Lisu na Fatma Karume unawaogopa kwani?Tasnia ya sheria iliharibiwa na watu wawili.
Wameiharibu mno.
Basi Kama hiyo ndiyo point yenu fanyeni uchaguzi kila baada ya miezi sita sita!!Miaka miwili au mitatu, mkipata rais ambaye hayuko sawa sawa kama lisu mnafanyaje kweli? Mnavumilia miaka miwili hadi mitatu?
Kuwa member ndo awe mdau muhimu?Unataka kusema sio member TLS?
Acha hasira za mimba changa, Lissu aligoma kuachia cheo!Rais wako rais wetu we bwege nini.
Ndio aanze kujiona rais wa JMT.
sijawai kuona mnyaturu mshamba kama yule.
Mbona wenzie wanashika hicho cheo muda ukifika wanaachia bila mikwaruzo yoyote.
Chama kisichokuwa na mchango kwa jamii na kuishia kuwa genge la mapuppets ya ccm ni heri tu mmesusia uchaguzi wao.
Endeleeni kuwa kama condom, ccm wakiisha watumia vya kutosha watawatupia kt shimo la choo na kuwaflashu
Miaka miwili au mitatu, mkipata rais ambaye hayuko sawa sawa kama lisu mnafanyaje kweli? Mnavumilia miaka miwili hadi mitatu?
Kubishana wapuuzi km nyinyi ni kupoteza muda maana hata ukibanwa nya utabisha mpk ujinyee.Acha hasira za mimba changa, Lissu aligoma kuachia cheo!
Lugha yako inakupambanua wewe ni chokoraa uliyevamia JF of GT's.Kubishana wapuuzi km nyinyi ni kupoteza muda maana hata ukibanwa nya utabisha mpk ujinyee.
Mi mgeni hapa,toka we unavuta kamasi kwenda mdomoni kijijini huko mi nimo humu tokea jambo forum.Lugha yako inakupambanua wewe ni chokoraa uliyevamia JF of GT's.
Mzee alafu una akili za kitoto.Mi mgeni hapa,toka we unavuta kamasi kwenda mdomoni kijijini huko mi nimo humu tokea jambo forum.
Blali panyabuku
Uchumi ni shida labda chama kiwalipie ghalma za malazi na chakulaTLS ina wanachama zaidi ya elfu tano hai, waliopiga kura ni takribani elfu moja jambo ambalo linaakisi zaidi ya asilimia 75 hawakujitokeza kwenda kuchagua rais wao.
Lakini pia kati ya waliojitokeza kwa tuliopo Arusha, mawakili wenye umri zaidi ya miaka 45 wanaonekana wamejaa AICC kuliko vijana ambao kipindi cha nyuma walikuwa wengi.
Je, ni kweli kwamba mawakili wengi wamekosa uwezo wa kiuchumi? Kama asilimia 75 wana ukwasi finyu taaluma hii inakwepaje makanjanja?
Kwa umaskini huu si wakati wa kuwaza kutumia Teknolojia kupiga kura kuwapa haki mawakili wasio na fedha za nauli?