inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ushakimbia kwenye hojaUnachekesha sana. Nimecheka sana kuona hata nchi ya kiislamu ya Iran bila bidhaa za makafiri hawawezi kuishi. Raisi anadondoka kwenye ndege iliyotengenezwa na kafiri 1978
Dunia ya Mungu, vitu vya mzungu
Padre gan tz anaweza tengeneza ballistic missile?Jamaa wanaweza kutebgeneza ballistic missile ila spea ya ndege wanashindwa;πππ
tunaposema waisilamu hamna akili muwe mnaelewa
Wanasema wanaakili sana na tukiwabariki na sis tutabarikiwa mlokole anayesema hivyo unakuta hana hata baiskel .Tanzania tunawapumbavu wengi sanaWayahudi sio binadamu?
Nini kinawafanya wawe special?
Naona unatamba tu kwenye mitandao ya makafiriππππUshakimbia kwenye hoja
Kwa nini umechagua kuita wapumbavu? Huenda ni wajinga tu ila wakielimishwa wanaacha ujinga wao.Wanasema wanaakili sana na tukiwabariki na sis tutabarikiwa mlokole anayesema hivyo unakuta hana hata baiskel .Tanzania tunawapumbavu wengi sana
China na utundu wao wote wanashindwa vipi kutengeneza kitu kidogo kama chopper.Kampuni itakayouzia Iran itawekewa vikwazo. Ikiuza Iran inapoteza soko la nchi nyingine ambazo ndio zingenunua kwa wingi zaidi ya Iran. Hata hivyo China haina VIP transport helicopter ya kuuza
Hao wateja wengine wana maslahi gani kwa Vikwazo anavyopewa Iran ?Atapoteza wateja wengine wengi zaidi.
Wanafanya biashara na nchi zingineHao wateja wengine wana maslahi gani kwa Vikwazo anavyopewa Iran ?
Chopper kitu kidogoChina na utundu wao wote wanashindwa vipi kutengeneza kitu kidogo kama chopper.
Wale mabingwa wao wa kukopi teknolojia za West, wameshindwa kuiba hiyo ya kutengenezwa chopa ?Chopper kitu kidogo