Kweli Iran bado Mtoto mdogo sana kwenye game

Kweli Iran bado Mtoto mdogo sana kwenye game

In 1962, President John F. Kennedy became the first President to fly in a jet specifically built for presidential use — a modified Boeing 707. Over the years, several other jet aircraft have been used, with the first of the current aircraft being delivered in 1990 during the administration of President George H.W.
"...being delivered in 1990." Ilianza kuwa modified 1986 na bado hiyo Boeing model yake ni 747 iliyoanza kazi 1968.
 
Humu kuna watu wajinga sana. Eti ajali ya Rais wa Iran jitu linakuja kuwasifu Mossad! Kwahiyo hata ile ajali ya Mkuu wa Majeshi ya Kenya ni Mossad wanahusika? Mossad wangekuwa na akili na uwezo huo wanaosifiwa kwanini walishindwa kuzuia kifo cha Waziri Mkuu wa Israel Yitzhak Rabin? Mbona Mossad walishindwa kuzuia shambulio la HAMAS la Oktoba 7, 2023? Kuna mjinga anahusisha hii ajali na uchakavu wa helikopta utadhani uchunguzi umeshafanyika na hiyo ndiyo sababu iliyoelezwa.
Kenya Kuna vita ?
 
Ukigombana na Mkeo chumbani ,alafu unakuta nguo zako zimetiwa ki biriti inaanza na nani ?
 
Hizo drone na Hypasonic misille si ni air craft za kubeba mabomu ama nn maana ya air craft ni ?? dadavua msitupige na vitu vizito
 
Airforce One ni ndege ya 1980s na ni maalum. Bado huwa inafanyiwa modernization na Boeing na contractors wengine.

Wakati hii helicopter iliyombeba Rais wa Iran ni product ya Marekani ambao wameiwekea vikwazo Iran. Haiwezi kuwa supplied na components wala kuwa serviced na manufacturers. Wala kupata genuine spare parts kutoka kwa original producer haiwezekani. Hivyo hii ngalangala ilikuwa prone to failure, dude la 1970s na services za kuungaunga.

Iran kwa bahati mbaya wanapata sana ajari za ndege sababu ya sanctions. Ikitokea bahati nzuri wakapunguziwa vikwazo najua watanunua ndege za Kimarekani na Ulaya kwa fujo.
Una uhakika bado ipo na tech ya 1978?. Hio ni ngumu sana lazima watakuwa waliibadili mambo mengi sana na probably ndio yakawa chanzo cha shida zote.
 
yani ni kama upigwe ngumi gizani na hujui nani kakupiga ndio tukio ilo.
 
Jamaa wanaweza kutebgeneza ballistic missile ila spea ya ndege wanashindwa;😀😀😀

tunaposema waisilamu hamna akili muwe mnaelewa
 
Myahudi huwa hakurupuki. Subiri moto wake si mrirusha mafataki.
Tayari raisi wa Iran hayupo duniani, pigo la kwanza bado mengine mjiandae.
Msije mkaandamana kuwa Myahudi anaua watoto na wanawake Iran
Raisi wa Iran alitumia ndege iliyotengenezwa na USA 1978. Majinga sana maislamu pamoja na kujigamba kote bado wanatumia bidhaa za makafiri 98%😁😁😁😁
Achana na Iran kwanza hap Hamas tu wanawatoa kamas IDF leo hii ni mwezi wa 8 unaenda hakuna cha mateka ni mwendo wa kudunguana tu Iran wataiweza ikiwa hamas wameshindwa?
 
Mungu wa Israeli hachezewi. Aigusaye Israeli aigusa mboni ya jicho la Mungu YHWH
 
Ni jambo LA kushqngaza, unambembaje Rais kwenye chopper mkweche!? Hv huwa hawaangalii jinsi Rais mstaafu wa USA Trump, anavyosafiri na mandinga yenye heshima? Hata hqpa kwetu Shabby buss service hatumii mabasi mpaka yachakae, bsada ya muda anauza,sasa hawa Persians na mbwembwe zao zote za kutengeneza drone na kuiuzia russia, wameshindwa kuwa na ndege special ya raisi? Mnapandisha mkweche wenye miaka 45!!!
mossad ndio waliompandisha humo, Mungu wa ISRAELI hachezewi. soma Agano la Kale
 
Kiboko wa Israel kivipi? Nchi inayotumia chopper waliyotengeneza Wamarekani kumbeba Rais wao halafu bado wanaitukana Marekani? Nchi yoyote iliyojikita kuonesha mighty ya kijeshi at the expense of the citizens welfare km hao Iran ni hovyo kabisa
Hizo ni akili zenu ndio zinafikiria vile wambie basi US wawache kuzitumia F15 pia 😄

dron, 2019
Role
Air superiority fighter
National origin
United States
Manufacturer
McDonnell Douglas
Boeing Defense, Space & Security
First flight
27 July 1972; 51 years ago
Introduction
9 January 1976; 48 years ago[1]
Status
In service
Primary users
United States Air Force
Japan Air Self-Defense Force
Royal Saudi Air Force
Israeli Air Force
Produced
1972–1997
Number built
F-15A/B/C/D/J/DJ: 1,198[2]
Variants
Mitsubishi F-15J
McDonnell Douglas F-15 STOL/MTD
Developed into
McDonnell Douglas F-15E Strike Eagle
 
Achana na Iran kwanza hap Hamas tu wanawatoa kamas IDF leo hii ni mwezi wa 8 unaenda hakuna cha mateka ni mwendo wa kudunguana tu Iran wataiweza ikiwa hamas wameshindwa?
Ww unaishi Dunia ipi mateka wamekombolewa hujui ,unafanya nn JF humu unajaza saver.
 
Mwaarabu hana cha maana zaidi walichogundua.
Hiyo dhahabu iliyogundulika, makafiri muda mrefu tu walikuwa wanatumia.
Hii sarafu inachapa ya nani? Ya kaisari, Vya Mungu mpe Mungu na vya kaisari mpe kaisari
Watu wameanza kutumia hela BC na siyo A.D.
Hata A.D na B.C makafiri ndiyo wameanzisha halafu unajiona mjanja. Uslamu ni ujinga
BC wazungu walikua wanaishi kwenye mapango uchi,1090 AD wanapenda Vita vya msalaba mashariki ya kati hawajui kusoma na kuandika isipokua wachungaji,soma,hiyo sarafu ya kilwa unaweza google na kuiona
 
BC wazungu walikua wanaishi kwenye mapango uchi,1090 AD wanapenda Vita vya msalaba mashariki ya kati hawajui kusoma na kuandika isipokua wachungaji,soma,hiyo sarafu ya kilwa unaweza google na kuiona
Unachekesha sana. Nimecheka sana kuona hata nchi ya kiislamu ya Iran bila bidhaa za makafiri hawawezi kuishi. Raisi anadondoka kwenye ndege iliyotengenezwa na kafiri 1978
Dunia ya Mungu, vitu vya mzungu
 
Back
Top Bottom