100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 4,766
- 16,191
Nasikia Kidon mmoja ni sawa na wanajeshi 2000.Siyo Uzembe chezea Mossad wewee. Kuna branch yao inaitwa Kidon weee (ncha ya mkuki)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikia Kidon mmoja ni sawa na wanajeshi 2000.Siyo Uzembe chezea Mossad wewee. Kuna branch yao inaitwa Kidon weee (ncha ya mkuki)
ām; ū-teshūāh be-rov yō'éts (Hebrew: באין תחבולות יפול עם, ותשועה ברוב יועץ, Proverbs 11:14). Meaning "Where there is no guidance, a nation falls, but in an abundance of counselors there is safety."Amehusikaja hapoNasimama na israel katika kipindi hiki kigumu iran ISRAEL WASAIDIENI ADUI ZENU IRANI HATA KWA CHOPA MBOVU MBOVU NA CHAKULA KAMA PALESTINA JAMANI YESU NI JIBU
Masikio yako yana shida mkuu. 😂Nasikia Kidon mmoja ni sawa na wanajeshi 2000.
nipe andiko linalo sema Israel ni taifa teule kwenye bibilia zenu.Hilo ndiyo Israel taifa teule la Mungu. Na bado😁😁😁😁
Mtaisha wote
Ngoja Maghayo akusikie.. wayahudi ni watu special.Masikio yako yana shida mkuu. 😂
Hakuna mwanadamu ana thamani kuliko mwenzake.
Kama walivyo waislamu tu.Wakristo kumbe hamna akili
Wayahudi sio binadamu?Ngoja Maghayo akusikie.. wayahudi ni watu special.
Ukiambiwa ulete ushahidi unao, au kwa vile uko nyuma ya keyboard unasema lolote.Hata Magu alinusurika kumuua Tundu Lissu matokeo yake yeye ndiye akatangulia.
nipe andiko linalo sema Israel ni taifa teule kwenye bibilia zenu.
Tukiwambia wacheni kutembea na mavi hamsiki, ndio mana mnaleta ujinga wa kusema Israel taifa teule. Nani aliye sema haya? Mungu, Mussa, Yesu hebu tupeni aliyesema hayo au gongo zimepanda vichwani.
Kwa tarifa yenu Ahmed Najat yuko njiani kiwa Rais wa Iran, huyu ni kiboko wa Israel.
View: https://youtu.be/CmAi12PCM8I?si=XfWx0wEZrvy-evHW
Kidon watafanya yao tenaAsante. Mapambano yanaendelea moto utaendelea kuwaka tu hakuna kurudi nyuma. Huyo atakaeingia ndio kichaa zaidi
Hawana tofauti na magaidi ya kiislam.Hizo shari za Iran na Hizbollah ni zipi!?
Tofautisha wayahudi na wazayuni.
Israel ni wazayuni tupu,mijitu ilojaa ufedhuli na umwagaji damu.
Pole sana kwa msiba mwanakwetuHumu kuna watu wajinga sana. Eti ajali ya Rais wa Iran jitu linakuja kuwasifu Mossad! Kwahiyo hata ile ajali ya Mkuu wa Majeshi ya Kenya ni Mossad wanahusika? Mossad wangekuwa na akili na uwezo huo wanaosifiwa kwanini walishindwa kuzuia kifo cha Waziri Mkuu wa Israel Yitzhak Rabin? Mbona Mossad walishindwa kuzuia shambulio la HAMAS la Oktoba 7, 2023? Kuna mjinga anahusisha hii ajali na uchakavu wa helikopta utadhani uchunguzi umeshafanyika na hiyo ndiyo sababu iliyoelezwa.
Atapoteza wateja wengine wengi zaidi.Wachina wakikaza fuvu wakaamua kuwauzia Iran bidhaa zilizopigwa marufuku kuuzwa kwa Iran, nini kitatokea ?
Mchina hafanyi military showoff?Kiukweli mimi binafsi nimeacha kushabikia nchi zinazofanyaga military showoff nimebaki na Mrusi na Mchina..
ndege latest zina uwezo mkubwa wa kupambana na changamoto kama hizo za hali ya hewa kuliko ndege za zaman, sababu zinakua zimefanyiwa improvements nyingi, so huenda kwa mazingira hayo yaliyotokea angekua kwenye helicopter latest angekua safe zaidi kupambana na huo ukungu
Ndege za makafiri.Ukweli ni kwamba mnawahitaji makafiri zaidi ya makafiri wanavyowahitaji nyie.Kumbe siku hizi kuna ndege za wakristo , waisilam na wapagani?
Ila bongo hii imejaa vilaza kweli.
Mimi nataka dalili wapi Mungu kasema Israel ni taifa lake.Raisi wa Iran na waziri wa mambo ya nje walitumia ndege iliyotengenezwa na Kafiri mkuu USA 1978. Ndiyo ujue umri wa ndege 2024-1978 = 46. Raisi ni mtu muhimu sana anatakiwa alindwe kwa 99% na atumie ndege ya kisasa. Kwa ujinga huu, Iran ataweza kushindana na Israel au Marekani?
Ukitaka kujua Israel ni taifa la Mungu, helikopter zilikuwa 3, ilikuaje ndege ya raisi pekee ipate ajali?
Ww kafiri unaweza kuishi Tz bila kutumia bidhaa za wavaa kobanzi?Ndege za makafiri.Ukweli ni kwamba mnawahitaji makafiri zaidi ya makafiri umwanavyowahitaji nyie.
nipe andiko linalo sema Israel ni taifa teule kwenye bibilia zenu.
Tukiwambia wacheni kutembea na mavi hamsiki, ndio mana mnaleta ujinga wa kusema Israel taifa teule. Nani aliye sema haya? Mungu, Mussa, Yesu hebu tupeni aliyesema hayo au gongo zimepanda vichwani.
Kwa tarifa yenu Ahmed Najat yuko njiani kuwa Rais wa Iran, huyu ni kiboko wa Israel.
View: https://youtu.be/CmAi12PCM8I?si=XfWx0wEZrvy-evHW