Kweli Iran bado Mtoto mdogo sana kwenye game

Kweli Iran bado Mtoto mdogo sana kwenye game

motto, be-tachbūlōt ta`aseh lekhā milchāmāh (Hebrew: בתחבולות תעשה לך מלחמה) is a quote from the Bible (Proverbs 24:6): "For by wise guidance you can wage your war". Then changed to: be-'éyn tachbūlōt yippol ām; ū-teshūāh be-rov yō'éts (Hebrew: באין תחבולות יפול עם, ותשועה ברוב יועץ, Proverbs 11:14). Meaning "Where there is no guidance, a nation falls, but in an abundance of counselors there is safety."
 
  • Thanks
Reactions: 511
Hilo ndiyo Israel taifa teule la Mungu. Na bado😁😁😁😁
Mtaisha wote
nipe andiko linalo sema Israel ni taifa teule kwenye bibilia zenu.

Tukiwambia wacheni kutembea na mavi hamsiki, ndio mana mnaleta ujinga wa kusema Israel taifa teule. Nani aliye sema haya? Mungu, Mussa, Yesu hebu tupeni aliyesema hayo au gongo zimepanda vichwani.

Kwa tarifa yenu Ahmed Najat yuko njiani kuwa Rais wa Iran, huyu ni kiboko wa Israel.


View: https://youtu.be/CmAi12PCM8I?si=XfWx0wEZrvy-evHW
 
Hata Magu alinusurika kumuua Tundu Lissu matokeo yake yeye ndiye akatangulia.
Ukiambiwa ulete ushahidi unao, au kwa vile uko nyuma ya keyboard unasema lolote.
 
nipe andiko linalo sema Israel ni taifa teule kwenye bibilia zenu.

Tukiwambia wacheni kutembea na mavi hamsiki, ndio mana mnaleta ujinga wa kusema Israel taifa teule. Nani aliye sema haya? Mungu, Mussa, Yesu hebu tupeni aliyesema hayo au gongo zimepanda vichwani.

Kwa tarifa yenu Ahmed Najat yuko njiani kiwa Rais wa Iran, huyu ni kiboko wa Israel.


View: https://youtu.be/CmAi12PCM8I?si=XfWx0wEZrvy-evHW

Raisi wa Iran na waziri wa mambo ya nje walitumia ndege iliyotengenezwa na Kafiri mkuu USA 1978. Ndiyo ujue umri wa ndege 2024-1978 = 46. Raisi ni mtu muhimu sana anatakiwa alindwe kwa 99% na atumie ndege ya kisasa. Kwa ujinga huu, Iran ataweza kushindana na Israel au Marekani?
Ukitaka kujua Israel ni taifa la Mungu, helikopter zilikuwa 3, ilikuaje ndege ya raisi pekee ipate ajali?
 
Hizo shari za Iran na Hizbollah ni zipi!?
Tofautisha wayahudi na wazayuni.
Israel ni wazayuni tupu,mijitu ilojaa ufedhuli na umwagaji damu.
Hawana tofauti na magaidi ya kiislam.
 
Humu kuna watu wajinga sana. Eti ajali ya Rais wa Iran jitu linakuja kuwasifu Mossad! Kwahiyo hata ile ajali ya Mkuu wa Majeshi ya Kenya ni Mossad wanahusika? Mossad wangekuwa na akili na uwezo huo wanaosifiwa kwanini walishindwa kuzuia kifo cha Waziri Mkuu wa Israel Yitzhak Rabin? Mbona Mossad walishindwa kuzuia shambulio la HAMAS la Oktoba 7, 2023? Kuna mjinga anahusisha hii ajali na uchakavu wa helikopta utadhani uchunguzi umeshafanyika na hiyo ndiyo sababu iliyoelezwa.
Pole sana kwa msiba mwanakwetu
 
  • Kicheko
Reactions: 511
ndege latest zina uwezo mkubwa wa kupambana na changamoto kama hizo za hali ya hewa kuliko ndege za zaman, sababu zinakua zimefanyiwa improvements nyingi, so huenda kwa mazingira hayo yaliyotokea angekua kwenye helicopter latest angekua safe zaidi kupambana na huo ukungu

1. Hakuna anayekataa hilo ila hata kwenye challenger lilipovunda halikuwa na
ubani.

2. Kwamba hakuna means of transport ambayo ni fool proof!

IMG_20240521_163832.jpg


3. Safety < 100% kwa maana yake kamili:

IMG_20240521_161245.jpg


4. Ndiyo maana wangwana wakasema "la kuvunda halina ubani au ajali Haina kinga.

5. Baada ya ajali mengine yote (-nge, -ngali nk) ni wishful thinking tu.

6. Zingatia pia cases za Boeing 737 Max. Model hiyo kwanini ikabidi kusimamishwa pending ukaguzi wa kina zaidi?

Au nasema uongo Ndugu yangu?
 
Kumbe siku hizi kuna ndege za wakristo , waisilam na wapagani?
Ila bongo hii imejaa vilaza kweli.
Ndege za makafiri.Ukweli ni kwamba mnawahitaji makafiri zaidi ya makafiri wanavyowahitaji nyie.
 
Raisi wa Iran na waziri wa mambo ya nje walitumia ndege iliyotengenezwa na Kafiri mkuu USA 1978. Ndiyo ujue umri wa ndege 2024-1978 = 46. Raisi ni mtu muhimu sana anatakiwa alindwe kwa 99% na atumie ndege ya kisasa. Kwa ujinga huu, Iran ataweza kushindana na Israel au Marekani?
Ukitaka kujua Israel ni taifa la Mungu, helikopter zilikuwa 3, ilikuaje ndege ya raisi pekee ipate ajali?
Mimi nataka dalili wapi Mungu kasema Israel ni taifa lake.

Hio ya kuhusu Iran kutumia ndege za America hebu we nionyeshe ndege anazo tengeneza Israel 😄

Si bora hata Iran vitu vingi anajitegemea Israel bila US na Europe angekufa na njaa zamani.

Afu aliye wadanganyeni Israel ni taifa la Mungu aliwaoneni wehu kweli, vipi uinbishwe nyimbo na mlevi we hujui unacho imba
 
nipe andiko linalo sema Israel ni taifa teule kwenye bibilia zenu.

Tukiwambia wacheni kutembea na mavi hamsiki, ndio mana mnaleta ujinga wa kusema Israel taifa teule. Nani aliye sema haya? Mungu, Mussa, Yesu hebu tupeni aliyesema hayo au gongo zimepanda vichwani.

Kwa tarifa yenu Ahmed Najat yuko njiani kuwa Rais wa Iran, huyu ni kiboko wa Israel.


View: https://youtu.be/CmAi12PCM8I?si=XfWx0wEZrvy-evHW

Kiboko wa Israel kivipi? Nchi inayotumia chopper waliyotengeneza Wamarekani kumbeba Rais wao halafu bado wanaitukana Marekani? Nchi yoyote iliyojikita kuonesha mighty ya kijeshi at the expense of the citizens welfare km hao Iran ni hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom