Kweli Iran bado Mtoto mdogo sana kwenye game

Kweli Iran bado Mtoto mdogo sana kwenye game

Hawa tumewatia kwapani hawachokoki, huo uliku mwanzo tu wa matukio, watalia sana humu mashabiki wa magaidi ya kidini brazaj
 
Najiuliza tu hawa jamaa wanawezaje kumbeba raisi kwenye helicopter ya mwaka 1978?? 🫤

Na matambo yao yote ya kurusha drone na misile 300 ambazo zote zilidondoka njiani, bado kumbeba raisi wanatumia helicopter za mwaka 78 tena zilizotengenezwa US?🧐🙄

Je, hawa jamaa wataweza kweli kupambana na myahudi?

Kweli Iran bado mtoto mdogo sana kwenye game.

1. Kwani zile Boeing 737 Max zikianguka huku na kule zilikuwa zimetengenezwa mwaka gani?

2. Kwani Kuna uhusiano gani kati ya hali mbaya ya hewa na year of manufacture?

3. Hapo #2, ndipo upo ule ujuaji uchwara wa LATRA na Yale magari yenye usajili EGF kuwa ndiyo magari pekee hata kama ni kutokea kwa nduguzo nyumbu!
 
Hawa tumewatia kwapani hawachokoki, huo uliku mwanzo tu wa matukio, watalia sana humu mashabiki wa magaidi ya kidini brazaj

Aliyeko kwapani ni yule mchumba akijisemea "hiiiiiiii ...iii:"

IMG_20211016_132442_593.jpg


Akipigwa kapigio ka mvua ya makombora akiwa kajikunyata shimoni na sasa wanamtamani ICC!
 
Kwani ile airforce 1 ina miaka mingapi?
Ajali ni ajali na 95% ya ajali ni uzembe.
Ndio maana ajali yoyote lazima kuwe na uchunguzi.
Ila kwa ajali ya chopper ya rais wa iran ni full uzembe.
Maneno kama haya ndiyo yahudi anapenda kuyasikia. Kwamba anapiga halafu huyu aliyepigwa kila akijaribu kufikiri nimepigwa na nani hapati jibu na anaishia kusema ajali. Basi mpigaji anajipongeza maana amekuzidi akili.
 
Helicopter si sawa na gari. White house helicopter za rais zimekuwa designed 1960s, nyingine 1970s lakini leo bado zinambeba rais, je ni ngarangara?

Tatizo matunzo mzee baba. Wanazifanyia upgrades kila kukicha. And for the record jeshi la marekani bado wanazo wanazitumia. So hakuna excuse
Pamoja Sana mkuu Kwa elimu
 
1. Unajua pesa/hela zinatengenezwa wapi? Tangu lini muislamu akawa muasisi wa pesa?
2. Labda tiba za mitishamba ambazo zinauzwa kwenye misikiti hadi vumbi la congo ambazo hazina vipimo😁😁😁😁
Dola ya kilwa hapo pwani ya tz,walikua na sarafu yao ya dhahabu yenye maandishi ya kiarabu,hiyo ni kabla ya 1300AD
 
Yap kujimwambafai tu, watakupinga lakini huo ndio ukweli, hata drones hazikuweza kufanya kitu kusaidia kutafuta, drones za Turkey kiboko, na watauza sana sasa.
Teknolojia hutofautiana.
Iran amejikita kwenye kamikaze fighter drones tu peke yake.
Turkiye ni nchi ambayo inapambana siku iunde passenger aircraft.
Hivi unajua Turkiye wana fighter jets zao?
Huyo huyo Turkiye ukimpambanisha missile power na Iran,Iran inaibuka kidedea.
 
Alipaswa chagua vita. Israel sio watu wakuchezea hata mrusi analijuwa Hilo na anajuwa mwisho wake.
Ndivyo mnavyodanganyana!?
Israel hii inayopigwa na Hizbollah!?
Kuwa na adabu Russia ni taifa lenye nguvu kivita kuliko hiyo USA baba wa Israel,tulete millitary operations alizofeli Israel!?
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Najiuliza tu hawa jamaa wanawezaje kumbeba raisi kwenye helicopter ya mwaka 1978?? 🫤

Na matambo yao yote ya kurusha drone na misile 300 ambazo zote zilidondoka njiani, bado kumbeba raisi wanatumia helicopter za mwaka 78 tena zilizotengenezwa US?🧐🙄

Je, hawa jamaa wataweza kweli kupambana na myahudi?

Kweli Iran bado mtoto mdogo sana kwenye game.
Inawezekana kuna mambo huyajui. Iran iliwekewa vikwazo vya kununua helikopta na ndege za kivita na vifaa vyake. Hicho ndicho hasa kilinachoowaathiri. Labda weakness ni kwamba hawawezi kutengeneza chpa zao wenyewe, kama ilivyo kwa Israel, nao hawana kiwanda cha chopa.
 
wayahudi ni watu wa amani sana, hezbolah na iran ni watu wa shari sana. ila cha ajabu shari yenyewe hawaiwezi
Hizo shari za Iran na Hizbollah ni zipi!?
Tofautisha wayahudi na wazayuni.
Israel ni wazayuni tupu,mijitu ilojaa ufedhuli na umwagaji damu.
 
Hizo shari za Iran na Hizbollah ni zipi!?
Tofautisha wayahudi na wazayuni.
Israel ni wazayuni tupu,mijitu ilojaa ufedhuli na umwagaji damu.
Napigia msitari hio sentensi ya mwisho. Waisrael ni wauwaji toka kale
 
Mchina hana VIP transport helicopter yake mwenyewe, anafanya licence production ya helicopter za Ulaya na Marekani. Haruhusiwi kuziuza kwa mwenye sanctions zao.

Mrusi mara ya mwisho kutengeneza VIP transport helicopter ni kabla USSR haijaanguka. Zipo Mil Mi-17 transport version ila nahisi Iran wanaamini vifaa vya Marekani zaidi. Sina hakika na hili.
Wachina wakikaza fuvu wakaamua kuwauzia Iran bidhaa zilizopigwa marufuku kuuzwa kwa Iran, nini kitatokea ?
 
Siyo Uzembe chezea Mossad wewee. Kuna branch yao inaitwa Kidon weee (ncha ya mkuki)
We hao mosad wameshindwa kuwamaliza hamass miezi sita wakiwa na misaada lukuki ndege vifaru wakishindana na kikundi kinacho miliki rpg ni wakawaida tu msiwajaze kichwa
 
Wachina wakikaza fuvu wakaamua kuwauzia Iran bidhaa zilizopigwa marufuku kuuzwa kwa Iran, nini kitatokea ?
Kampuni itakayouzia Iran itawekewa vikwazo. Ikiuza Iran inapoteza soko la nchi nyingine ambazo ndio zingenunua kwa wingi zaidi ya Iran. Hata hivyo China haina VIP transport helicopter ya kuuza
 
Hapa hatuongelei thaman yan kitu, bali tunaongelea usalama, raisi ni taasisi ambayo inatakiwa ilindwe kwa gharama, technolojia ya helicopter ya mwaka 70 haiwezi kua sawa na ya mwaka 2000 kiusalama

nchi ya 15 kisayansi raisi wao angekufa kizembe hivo?
Unajua ndege ya raisi wa Marekani imetengenezwa mwaka gani?
 
Najiuliza tu hawa jamaa wanawezaje kumbeba raisi kwenye helicopter ya mwaka 1978?? 🫤

Na matambo yao yote ya kurusha drone na misile 300 ambazo zote zilidondoka njiani, bado kumbeba raisi wanatumia helicopter za mwaka 78 tena zilizotengenezwa US?🧐🙄

Je, hawa jamaa wataweza kweli kupambana na myahudi?

Kweli Iran bado mtoto mdogo sana kwenye game.
tatizo ni kutokujua vitu kiundani,asa israel wamefanya nini ktk ajali ya helikoptaya miaka ya 70s dhidi ya hali ile ya hewa yani israel wamuue raisi wakifikiri kwamba iran haitakuwa tena na raisi au kwamba atakuwa na raisi wa kuwaogopa wao???

na ombea isithibitike kwamba LGBT wenzio ndio wawe wamehusika...
 
Back
Top Bottom