towashi wa kushi
JF-Expert Member
- May 15, 2024
- 332
- 729
Ndio sasa muajemi wa Ifakara unasema hivyo?Siku mwisho wako hapa duniani ukifika hakuna chochote kinacho weza kuzuia usiondoke , masuala ya ulinzi sijui intelegensia ,cheo umaarufu, pesa hivyo vyote ni taka taka mbele ya kifo.