Kweli Iran bado Mtoto mdogo sana kwenye game

Kweli Iran bado Mtoto mdogo sana kwenye game

Siku mwisho wako hapa duniani ukifika hakuna chochote kinacho weza kuzuia usiondoke , masuala ya ulinzi sijui intelegensia ,cheo umaarufu, pesa hivyo vyote ni taka taka mbele ya kifo.
Ndio sasa muajemi wa Ifakara unasema hivyo?
 
Sasa maayatolah na mbwembwe zao zote wanatumia ndege wa wakristo wasio na akili, tena za kizaman?😂i😎, Sasa matokeo yake wao ndo wanadondoka kama kuku, Sasa wao basi ndo watakua hawana akili x akili = akili square
Kumbe siku hizi kuna ndege za wakristo , waisilam na wapagani?
Ila bongo hii imejaa vilaza kweli.
 
wanashinndwa kupata helicopter za kisasa zinazohimili mikikimikiki ya angani kutoka russia ambao ni marafiki zao? mahelicopta ya kijeshi ya urusi hata yakikutana na miamba na mvua hayaanguki hovyo.
Wa-Iran walio wengi wanapendelea bidhaa na utamaduni wa magharibi zaidi.
 
Najiuliza tu hawa jamaa wanawezaje kumbeba raisi kwenye helicopter ya mwaka 1978?? 🫤

Na matambo yao yote ya kurusha drone na misile 300 ambazo zote zilidondoka njiani, bado kumbeba raisi wanatumia helicopter za mwaka 78 tena zilizotengenezwa US?🧐🙄

Je, hawa jamaa wataweza kweli kupambana na myahudi?

Kweli Iran bado mtoto mdogo sana kwenye game.
Kwanini wapambane na "myahudi"? Kawachokoza nini wakati wayahudi ni watu wa amani sana.
 
Kumbe ndio maana rais wa Korea Kaskazini huwa anapenda kusafiri kwa treni. Haya machopa noma sana!
 
Kwanini wapambane na "myahudi"? Kawachokoza nini wakati wayahudi ni watu wa amani sana.
wayahudi ni watu wa amani sana, hezbolah na iran ni watu wa shari sana. ila cha ajabu shari yenyewe hawaiwezi
 
Kumbe siku hizi kuna ndege za wakristo , waisilam na wapagani?
Ila bongo hii imejaa vilaza kweli.
ndege wa ulaya - wakristo
ndege za iran - waislam
ndege wa china - wapagani
 
Hii helicopter imetengenezwa mwaka 1968 Naona comment nyingi wamekariri mwaka 78.

Hii ni ngarangara kwelikweli
Helicopter si sawa na gari. White house helicopter za rais zimekuwa designed 1960s, nyingine 1970s lakini leo bado zinambeba rais, je ni ngarangara?

Tatizo matunzo mzee baba. Wanazifanyia upgrades kila kukicha. And for the record jeshi la marekani bado wanazo wanazitumia. So hakuna excuse
 
Airforce One ni ndege ya 1980s na ni maalum. Bado huwa inafanyiwa modernization na Boeing na contractors wengine.

Wakati hii helicopter iliyombeba Rais wa Iran ni product ya Marekani ambao wameiwekea vikwazo Iran. Haiwezi kuwa supplied na components wala kuwa serviced na manufacturers. Wala kupata genuine spare parts kutoka kwa original producer haiwezekani. Hivyo hii ngalangala ilikuwa prone to failure, dude la 1970s na services za kuungaunga.

Iran kwa bahati mbaya wanapata sana ajari za ndege sababu ya sanctions. Ikitokea bahati nzuri wakapunguziwa vikwazo najua watanunua ndege za Kimarekani na Ulaya kwa fujo.
Kwann wasitengeneze za kwao?
Kwanini wasinunue kwa kaka yao urusi au china? Wameweza kumudu gharama za drones inakuaje washindwe kwenye helicopter tena ya rais?
 
Airforce One ni ndege ya 1980s na ni maalum. Bado huwa inafanyiwa modernization na Boeing na contractors wengine.

Wakati hii helicopter iliyombeba Rais wa Iran ni product ya Marekani ambao wameiwekea vikwazo Iran. Haiwezi kuwa supplied na components wala kuwa serviced na manufacturers. Wala kupata genuine spare parts kutoka kwa original producer haiwezekani. Hivyo hii ngalangala ilikuwa prone to failure, dude la 1970s na services za kuungaunga.

Iran kwa bahati mbaya wanapata sana ajari za ndege sababu ya sanctions. Ikitokea bahati nzuri wakapunguziwa vikwazo najua watanunua ndege za Kimarekani na Ulaya kwa fujo.
Kwani hawawezi kununua za mchina au Mrusi Hadi waende Kwa mmmarekani?
 
Siku mwisho wako hapa duniani ukifika hakuna chochote kinacho weza kuzuia usiondoke , masuala ya ulinzi sijui intelegensia ,cheo umaarufu, pesa hivyo vyote ni taka taka mbele ya kifo.
Waislamu hawana cha maana walichotengeneza hapa duniani chenye thamani.
Wanajazana ujinga halafu vitu vyote vya thamani wanatumia za makafiri.
Kuna siku shekh mmoja hivi kaweka audio yake anaisifu dini yake huku anawakashifu makafiri huku anaomba msaada ni mlemavu. Nilicheka sana
1. Hela wametengeneza makafiri
2. Flash drive wametengeza makafiri
3. Speaker (Subwoofer) wametengeneza makafiri
Uislamu ni dini ya ovyo sana, wakiumwa wanaenda kwenye hospital za makafiri kutibiwa na wanatumia dawa zilizotengenezwa na makafiri😁😁😁😁😁. Uislamu ni ujinga
 
Kwani hawawezi kununua za mchina au Mrusi Hadi waende Kwa mmmarekani?
Mchina hana VIP transport helicopter yake mwenyewe, anafanya licence production ya helicopter za Ulaya na Marekani. Haruhusiwi kuziuza kwa mwenye sanctions zao.

Mrusi mara ya mwisho kutengeneza VIP transport helicopter ni kabla USSR haijaanguka. Zipo Mil Mi-17 transport version ila nahisi Iran wanaamini vifaa vya Marekani zaidi. Sina hakika na hili.
 
Back
Top Bottom