Kweli Iran bado Mtoto mdogo sana kwenye game

Kweli Iran bado Mtoto mdogo sana kwenye game

Siku mwisho wako hapa duniani ukifika hakuna chochote kinacho weza kuzuia usiondoke , masuala ya ulinzi sijui intelegensia ,cheo umaarufu, pesa hivyo vyote ni taka taka mbele ya kifo.
Hata Magu alinusurika kumuua Tundu Lissu matokeo yake yeye ndiye akatangulia.
 
Kwann wasitengeneze za kwao?
Kwanini wasinunue kwa kaka yao urusi au china? Wameweza kumudu gharama za drones inakuaje washindwe kwenye helicopter tena ya rais?
Helicopter sio matako kwamba kila mtu anayo, ni ngumu kuliko ndege. Drones ndio rahisi zaidi.

Iran ina vikwazo na mara nyingi Urusi na China huvizingatia hata bila kupenda. Hata hivyo China hawana helicopter ya kuuza Iran, wala Iran sio wajinga kununua helicopter China na haziko proven. Bora ubahatishe ndege kuliko helicopter. Makampuni ya kuunda helicopter ni machache sana sana Sikorsky, Bell na Airbus. Warusi ndio wana Mil na Kamov ambazo hazifanyi vizuri soko la kiraia.
 
Waislamu hawana cha maana walichotengeneza hapa duniani chenye thamani.
Wanajazana ujinga halafu vitu vyote vya thamani wanatumia za makafiri.
Kuna siku shekh mmoja hivi kaweka audio yake anaisifu dini yake huku anawakashifu makafiri huku anaomba msaada ni mlemavu. Nilicheka sana
1. Hela wametengeneza makafiri
2. Flash drive wametengeza makafiri
3. Speaker (Subwoofer) wametengeneza makafiri
Uislamu ni dini ya ovyo sana, wakiumwa wanaenda kwenye hospital za makafiri kutibiwa na wanatumia dawa zilizotengenezwa na makafiri😁😁😁😁😁. Uislamu ni ujinga
Ibn batuta alisifu pesa za noti za wa wachina alipofika china,hiyo ni 1300,kuhusu tiba msome IBN Sina/ave Cena halafu ukipenda utahariri andiko lako
 
Najiuliza tu hawa jamaa wanawezaje kumbeba raisi kwenye helicopter ya mwaka 1978?? 🫤

Na matambo yao yote ya kurusha drone na misile 300 ambazo zote zilidondoka njiani, bado kumbeba raisi wanatumia helicopter za mwaka 78 tena zilizotengenezwa US?🧐🙄

Je, hawa jamaa wataweza kweli kupambana na myahudi?

Kweli Iran bado mtoto mdogo sana kwenye game.
Humu kila siku mnaongea viongozi wa Ki Africa wanakula mema ya Nchi wanatembelea V8 etc.

images (22).jpeg

Huyo Raisi wa Zamani wa Iran akiwa kwenye usafiri wa Uma anaotumia kwenda kufundishia chuo.

Hili gari lake la zamani Peugeot ambalo lilipigwa mnada San Diego
images (23).jpeg


Raisi wa Sasa anatumia Mark II ama Peugeot 607, ama local made cars na kama Unavyosema Amefariki Na helcopter ya 1978.

Viongozi wao wa Namna hii ndio maana japo wana Vikwazo wametaka kusikojulikana hadi kuwa Nchi ya 15 kisayansi duniani.

So kufa kwenye Hellcopter kali ama Ndege ya Mabilioni ya Hela wakati Wananchi wako wanakula dagaa si sifa.
 
Humu kila siku mnaongea viongozi wa Ki Africa wanakula mema ya Nchi wanatembelea V8 etc.

View attachment 2995543
Huyo Raisi wa Zamani wa Iran akiwa kwenye usafiri wa Uma anaotumia kwenda kufundishia chuo.

Hili gari lake la zamani Peugeot ambalo lilipigwa mnada San Diego
View attachment 2995547

Raisi wa Sasa anatumia Mark II ama Peugeot 607, ama local made cars na kama Unavyosema Amefariki Na helcopter ya 1978.

Viongozi wao wa Namna hii ndio maana japo wana Vikwazo wametaka kusikojulikana hadi kuwa Nchi ya 15 kisayansi duniani.

So kufa kwenye Hellcopter kali ama Ndege ya Mabilioni ya Hela wakati Wananchi wako wanakula dagaa si sifa.
Hapa hatuongelei thaman yan kitu, bali tunaongelea usalama, raisi ni taasisi ambayo inatakiwa ilindwe kwa gharama, technolojia ya helicopter ya mwaka 70 haiwezi kua sawa na ya mwaka 2000 kiusalama

nchi ya 15 kisayansi raisi wao angekufa kizembe hivo?
 
Ibn batuta alisifu pesa za noti za wa wachina alipofika china,hiyo ni 1300,kuhusu tiba msome IBN Sina/ave Cena halafu ukipenda utahariri andiko lako
Hao wamarekani wenyewe hawawezi kuiongelea Iran kama anavyoongelea huyo popoma, Siku zote Trump aki adress iran lazima awasifie wananchi kwanza then ndio aponde uongozi.

Vyuo vyote vya Usa na Duniani kote vimejaa tafiti za Iran ambao wamemfanya Contribution kubwa sana.

Mfano Operation za kichwa, moja ya Sababu watu hawafi wengi siku hizi NI Iran, wa tafiti wake walikuja na njia mpya ya kufanyia operation kichwa inayopunguza death rate toka asilimia 55 hadi 20.

 
Hapa hatuongelei thaman yan kitu, bali tunaongelea usalama, raisi ni taasisi ambayo inatakiwa ilindwe kwa gharama, technolojia ya helicopter ya mwaka 70 haiwezi kua sawa na ya mwaka 2000 kiusalama

nchi ya 15 kisayansi raisi wao angekufa kizembe hivo?
Why Raisi apewe ulinzi mkali zaidi mpaka ifike stage ya kusacrifice mambo mengine kwa ajili yake, si kila siku tunasifia viongozi wa Ulaya humu wanatumia baiskeli?

Nchi inayojielewa inakua na succession plan nzuri, Raisi ni mfanya kazi kama wafanyakazi wengine akiondoka anakuja mwengine.
 
Myahudi kikosi cha Hamas kakishindwa akapigane na Iran [emoji1]

Misalaba ina lana nyie wacheni huoni wachawi wanaitumia hata kina diamond wamejua misalaba ni njia ya shetani [emoji1]
Nyota na mwezi mnavyoviweka juu ya misikiti hutumika pia na wachawi na waganga wa kienyeji kupiga ramli.
 
Why Raisi apewe ulinzi mkali zaidi mpaka ifike stage ya kusacrifice mambo mengine kwa ajili yake, si kila siku tunasifia viongozi wa Ulaya humu wanatumia baiskeli?

Nchi inayojielewa inakua na succession plan nzuri, Raisi ni mfanya kazi kama wafanyakazi wengine akiondoka anakuja mwengine.
Sio ulinzi mkali, hapana, tunaongelea ubora na usalama, raisi hapaswi kutumia usafiri ambao usalama na ubora wake ni wa mashaka mashaka, rais anatakiwa kusafiri kwa usafiri ambao una guarantee kubwa ya usalama

mfano tunajua usafiri wa anga hali ya hewa inapobadilika inasababbisha risk kwenye kutumia usafiri huo, ila jinsi vyombo vya anga vinavotengenezwa vipya vinatengenezwa na technolojia zaidi ya kuovercome chalenge hizo, so si sahihi kwa rais kufanya majukumu yake kwa kutumia helicopta ambayo ina technolojia ya zamani na haijawa updated wakati ziko helicopter zenye ubora zaidi
 
Najiuliza tu hawa jamaa wanawezaje kumbeba raisi kwenye helicopter ya mwaka 1978?? 🫤

Na matambo yao yote ya kurusha drone na misile 300 ambazo zote zilidondoka njiani, bado kumbeba raisi wanatumia helicopter za mwaka 78 tena zilizotengenezwa US?🧐🙄

Je, hawa jamaa wataweza kweli kupambana na myahudi?

Kweli Iran bado mtoto mdogo sana kwenye game.
Ukijua mtengenezaji wa hiyo helikopta ndio utachoka zaidi
 
Ibn batuta alisifu pesa za noti za wa wachina alipofika china,hiyo ni 1300,kuhusu tiba msome IBN Sina/ave Cena halafu ukipenda utahariri andiko lako
1. Unajua pesa/hela zinatengenezwa wapi? Tangu lini muislamu akawa muasisi wa pesa?
2. Labda tiba za mitishamba ambazo zinauzwa kwenye misikiti hadi vumbi la congo ambazo hazina vipimo😁😁😁😁
 
Kuna makosa madogo ukiyafanya madhara yake ni makubwa sana!

Ndicho kilichotokea!
Nyuma ya kifo kuna sababu haijalishi ni nzuri au mbaya!

Irani licha ya kufanya walichokifanya kwa Israel lilikuwa ni suala la Muda tu. Pengine tusubiri matukio mabaya zaidi kutokea.
Alipaswa chagua vita. Israel sio watu wakuchezea hata mrusi analijuwa Hilo na anajuwa mwisho wake.
 
Airforce One ni ndege ya 1980s na ni maalum. Bado huwa inafanyiwa modernization na Boeing na contractors wengine.

Wakati hii helicopter iliyombeba Rais wa Iran ni product ya Marekani ambao wameiwekea vikwazo Iran. Haiwezi kuwa supplied na components wala kuwa serviced na manufacturers. Wala kupata genuine spare parts kutoka kwa original producer haiwezekani. Hivyo hii ngalangala ilikuwa prone to failure, dude la 1970s na services za kuungaunga.

Iran kwa bahati mbaya wanapata sana ajari za ndege sababu ya sanctions. Ikitokea bahati nzuri wakapunguziwa vikwazo najua watanunua ndege za Kimarekani na Ulaya kwa fujo.
Kwanini wasinunue za Mrusi
 
Back
Top Bottom