Kweli Iran bado Mtoto mdogo sana kwenye game

Kweli Iran bado Mtoto mdogo sana kwenye game

Airforce One ni ndege ya 1980s na ni maalum. Bado huwa inafanyiwa modernization na Boeing na contractors wengine.

Wakati hii helicopter iliyombeba Rais wa Iran ni product ya Marekani ambao wameiwekea vikwazo Iran. Haiwezi kuwa supplied na components wala kuwa serviced na manufacturers. Wala kupata genuine spare parts kutoka kwa original producer haiwezekani. Hivyo hii ngalangala ilikuwa prone to failure, dude la 1970s na services za kuungaunga.

Iran kwa bahati mbaya wanapata sana ajari za ndege sababu ya sanctions. Ikitokea bahati nzuri wakapunguziwa vikwazo najua watanunua ndege za Kimarekani na Ulaya kwa fujo.
Kwanini hawajapenda kutumia za mashoga zao china na russia, NB jana nimeona hata zile ambulance ni BENZ ya mjerumani.
 
What a terrible mistake ...!! Wanaume wamebaki Putin na Kim Jong. Ila kama Mosad wanahusika wapewe maua yao. Iran, Son, What Happened? Where Where You?!
 
Najiuliza tu hawa jamaa wanawezaje kumbeba raisi kwenye helicopter ya mwaka 1978?? 🫤

Na matambo yao yote ya kurusha drone na misile 300 ambazo zote zilidondoka njiani, bado kumbeba raisi wanatumia helicopter za mwaka 78 tena zilizotengenezwa US?🧐🙄

Je, hawa jamaa wataweza kweli kupambana na myahudi?

Kweli Iran bado mtoto ndogo sana kwenye game.
Ni jambo LA kushqngaza, unambembaje Rais kwenye chopper mkweche!? Hv huwa hawaangalii jinsi Rais mstaafu wa USA Trump, anavyosafiri na mandinga yenye heshima? Hata hqpa kwetu Shabby buss service hatumii mabasi mpaka yachakae, bsada ya muda anauza,sasa hawa Persians na mbwembwe zao zote za kutengeneza drone na kuiuzia russia, wameshindwa kuwa na ndege special ya raisi? Mnapandisha mkweche wenye miaka 45!!!
 
Airforce One ni ndege ya 1980s na ni maalum. Bado huwa inafanyiwa modernization na Boeing na contractors wengine.

Wakati hii helicopter iliyombeba Rais wa Iran ni product ya Marekani ambao wameiwekea vikwazo Iran. Haiwezi kuwa supplied na components wala kuwa serviced na manufacturers. Wala kupata genuine spare parts kutoka kwa original producer haiwezekani. Hivyo hii ngalangala ilikuwa prone to failure, dude la 1970s na services za kuungaunga.

Iran kwa bahati mbaya wanapata sana ajari za ndege sababu ya sanctions. Ikitokea bahati nzuri wakapunguziwa vikwazo najua watanunua ndege za Kimarekani na Ulaya kwa fujo.
Kwanini wasinunue ndege kutoka China na Urusi ?
 
Airforce One ni ndege ya 1980s na ni maalum. Bado huwa inafanyiwa modernization na Boeing na contractors wengine.

Wakati hii helicopter iliyombeba Rais wa Iran ni product ya Marekani ambao wameiwekea vikwazo Iran. Haiwezi kuwa supplied na components wala kuwa serviced na manufacturers. Wala kupata genuine spare parts kutoka kwa original producer haiwezekani. Hivyo hii ngalangala ilikuwa prone to failure, dude la 1970s na services za kuungaunga.

Iran kwa bahati mbaya wanapata sana ajari za ndege sababu ya sanctions. Ikitokea bahati nzuri wakapunguziwa vikwazo najua watanunua ndege za Kimarekani na Ulaya kwa fujo.
Hii helicopter imetengenezwa mwaka 1968 Naona comment nyingi wamekariri mwaka 78.

Hii ni ngarangara kwelikweli
 
Najiuliza tu hawa jamaa wanawezaje kumbeba raisi kwenye helicopter ya mwaka 1978?? 🫤

Na matambo yao yote ya kurusha drone na misile 300 ambazo zote zilidondoka njiani, bado kumbeba raisi wanatumia helicopter za mwaka 78 tena zilizotengenezwa US?🧐🙄

Je, hawa jamaa wataweza kweli kupambana na myahudi?

Kweli Iran bado mtoto mdogo sana kwenye game.

Hii ni game ya kikubwa, Iran wamefyata mkia kuona kumbe walikuwa wanacheza michezo ya hatari wanasingizia hali mbaya ya hewa.

Wakubwa wameuchuna kiimya kama siyo wao.

TOKA MAKTABA:
Hutasikia Mossad kitengo cha ujasusi wa nje, wala Aman kitengo cha utambuzi / military intelligence (MI) au Shin Bet usalama wa ndani wa Israel wakisema lolote lililotokea leo (jana) katika msafara wa helicopter 3 zilizokuwa katika msafara wa Rais Raisi wa Iran.

Hata wachokozwe vipi si Benjamin almaaruf (Bibi) Netanyahu wala hizo idara tatu muhimu za usalama Israel zikitia neno. Ni siri kubwa isiyotakiwa kufahamika na yoyote idarani wala wanasiasa waliotoa idhini, operesheni itabaki katika makabrasha yaliyofungiwa kwa fungua pacha, kufuli na Code kwa miaka kibao kwa ajili ya kuficha taarifa hizo muhimu kwa usalama wa Israel.

Hata Iran ikingamua kuna mkono wa nje unahusika nao watajifanya ni ajali kwa kuwa michezo hii ya kijasusi haihitaji hasira wala mihemuko bali kujifunza wapi wamejikwaa au kufanikiwa, kimya kimya bila kupiga kelele za kuumia huku wakijikakamua kuwa siyo mkono wa maadui bali kazi ya Mungu huku lakini wanaugulia maumivu na kuwajibishana kwa siri
 
Hii ni game ya kikubwa, Iran wamefyata mkia kuona kumbe walikuwa wanacheza michezo ya hatari wanasingizia hali mbaya ya hewa.

Wakubwa wameuchuna kiimya kama siyo wao.

TOKA MAKTABA:
Hutasikia Mossad kitengo cha ujasusi wa nje, wala Aman kitengo cha utambuzi / military intelligence (MI) au Shin Bet usalama wa ndani wa Israel wakisema lolote lililotokea leo (jana) katika msafara wa helicopter 3 zilizokuwa katika msafara wa Rais Raisi wa Iran.

Hata wachokozwe vipi si Benjamin almaaruf (Bibi) Netanyahu wala hizo idara tatu muhimu za usalama Israel zikitia neno. Ni siri kubwa isiyotakiwa kufahamika na yoyote idarani wala wanasiasa waliotoa idhini, operesheni itabaki katika makabrasha yaliyofungiwa kwa fungua pacha, kufuli na Code kwa miaka kibao kwa ajili ya kuficha taarifa hizo muhimu kwa usalama wa Israel.

Hata Iran ikingamua kuna mkono wa nje unahusika nao watajifanya ni ajali kwa kuwa michezo hii ya kijasusi haihitaji hasira wala mihemuko bali kujifunza wapi wamejikwaa au kufanikiwa, kimya kimya bila kupiga kelele za kuumia huku wakijikakamua kuwa siyo mkono wa maadui bali kazi ya Mungu huku lakini wanaugulia maumivu na kuwajibishana kwa siri
Huu umbeya ndio mbaodanganyana huko Sunday school.
 
Najiuliza tu hawa jamaa wanawezaje kumbeba raisi kwenye helicopter ya mwaka 1978?? 🫤

Na matambo yao yote ya kurusha drone na misile 300 ambazo zote zilidondoka njiani, bado kumbeba raisi wanatumia helicopter za mwaka 78 tena zilizotengenezwa US?🧐🙄

Je, hawa jamaa wataweza kweli kupambana na myahudi?

Kweli Iran bado mtoto mdogo sana kwenye game.
Myahudi kikosi cha Hamas kakishindwa akapigane na Iran 😄

Misalaba ina lana nyie wacheni huoni wachawi wanaitumia hata kina diamond wamejua misalaba ni njia ya shetani 😄
 
Najiuliza tu hawa jamaa wanawezaje kumbeba raisi kwenye helicopter ya mwaka 1978?? 🫤

Na matambo yao yote ya kurusha drone na misile 300 ambazo zote zilidondoka njiani, bado kumbeba raisi wanatumia helicopter za mwaka 78 tena zilizotengenezwa US?🧐🙄

Je, hawa jamaa wataweza kweli kupambana na myahudi?

Kweli Iran bado mtoto mdogo sana kwenye game.
Hiyo ndege wameitumia muda mrefu sana mkuu.

Ni ajali tu
 
Back
Top Bottom