Kweli kuna Wanachadema Hamnazo. Utawezaje kupigania haki bila kuwa na kiongozi mwanaharakati?

Unapinga serikali kuunda serikali?
Au unapinga matendo ya serikali ili sheria ziundwe nzuri
Kwa mfano kura zikiibwa uchaguzi mkuu, mtaandamana kutaka sheria nzuri au kuipinga serikali inayoelekea kuundwa ? 2929 Lissu aliitisha maandamano baada ya uchaguzi na hakuna aliyejitokeza na yeye kwa mdomo wake alisema "watanzania hawapo tayari kudai haki yao"
 
Lisu ni mpigania Haki (mwanaharakati) CHADEMA haitaki kuongozwa na mpigania Haki (mwanaharakati)lakini kutwa kuchwa hudai wanaonewa, wanaibiwa Kura, na kufanya maandamano
Ndio wakae wajitathmini. Kama Lissu atashindwa hiyo nafasi namshauri ahame chama na atapata support kubwa sana hasa ya vijana na wazee wanaojielewa katika hiko chama kipya.
 
Very well argued, lakini nina uhakika, wale wajinga, wanafiki na machawa, hawataelewa kitu, kwa sababu akili zao, maarifa yao, na hekima zao, vyote vimeliwa na kumezwa na unafiki na uchawa, ndiyo maana hakuna chawa au mnafiki, mwenye akili timamu
 
Very well argued, lakini nina uhakika, wale wajinga, wanafiki na machawa, hawataelewa kitu, kwa sababu akili zao, maarifa yao, na hekima zao, vyote vimeliwa na kumezwa na unafiki na uchawa, ndiyo maana hakuna chawa au mnafiki, mwenye akili timamu

Watu kila siku wanatekwa, wanawekwa Sero, haya juzi uchaguzi wa serikali za mitaa wote tumeona kilichotokea, wanasema wameonewa alafu kitu limekaza mshipa hatutaki kiongozi mpigania Haki (mwanaharakati) huku sio kulogwa kweli
 
Slaa aliondoka baada ya kuona viongozi wenzake sio watetezi wa Haki kama wanavyojitambulisha.

Wapo kwaajili ya matumbo Yao.
Katika mchakato wa Slaa kuondoka alifanya press conference akiwa na vyombo vikubwa vya habari vile vile ambavyo tunavishangaa kwa nini jana vilikuwa live kwa mwenyekiti....
na wengine walisema alipewa "ulinzi" wa kutosha kutoka kwa wakubwa
 
Unadhani Lissu alikosea kusema vile kuhusu watanzania? Ni swala la wananchi kuelewa haki zao, walipotoka na walipo comparing to level of economic growth and economic development since independence na morale kwa ujumla.
 
Kumbe wewe ndio leo umeyajua haya manyumbu?。Nailaumu CHADEMA kuwa hawajui wanataka nini
P
 
Very well argued, lakini nina uhakika, wale wajinga, wanafiki na machawa, hawataelewa kitu, kwa sababu akili zao, maarifa yao, na hekima zao, vyote vimeliwa na kumezwa na unafiki na uchawa, ndiyo maana hakuna chawa au mnafiki, mwenye akili timamu
Nyie hamna monopoly ya ukweli wala thinking
 
Uanaharakati ni sawa ila kuwa na kiongozi mwanaharakati ni kuitumbukiza chama shimoni. Lissu kama mwanaharakati hawezi kuwa chairman na chama kikawa imara, huko SA tumeona, uanaharakati ni mzuri ila uwe na blend ya watu calm na composed kama Mbowe.

Nakubali muda wa Mbowe umepita, ila ukishaweka activist kuwa chairman unakiuwa chama.
 
Kuhusu Swala la Mbowe hawa watu sasa tunawaona wenye akili na Mashujaa!
  • Dr. Wilbroad Slaa
  • Zito Kabwe
  • Prof. Kitila Mkumbo
  • Nassary
  • Mashinji
Hawa watu hawakuwa Wasaliti, bali walikuwa wanajua ambayo sisi hatukuwa tunajua, Niwaombe samahani nilipowakosoa. Wananchi wenzangu hivi vyama vya siasa visitushike akili wala tusijiumize kwa ajili yake, Hii ni Miradi ya watu na sisi ndo mitaji. Tukwepe Kuwa Mitaji!
 
Kuwa calm kwake ni kwa sababu ni Mnufaika wa Mfumo, Hana Busara kama tulivyokuwa tunadai!
 
Hakuna struggle rahisi, sio kwamba wanaonewa, ila walioko madarakani wanafanya wanachoona ni sahihi, na CDM wanaona si sahihi, let them pull kuna sehemu watakutana. May be wakisema hoja yao ku-counter za watawala, wewe unaita malalamiko.

Hakuna struggle rahisi ndio maana zinaitwa harakati na wanaofanya harakati huitwa wanaharakati.

Sasa fikiria wanaharakati hawataki kuongozwa na mwanaharakati. Hao kama sio wehu ni kina Nani?

Chama cha siasa pekee nchi hii ni CCM tuu. Vilivyobaki ni vyama vya kianaharakati.

Kwa sababu havipo kwenye mzani Sawa na CCM.

Sehemu yenye mzani Sawa wa kisiasa ndio kunakuwa na vyama vya siasa. Upo?
 
Unyumbu wa kisiasa ni tabia ya wanaopewa dhamana kuahirisha kufikri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa maslilahi binafsi na uoga wa kuigiza kwa viongozi, (unafiki), tuseme kuahirisha kufikiri kizalendo, (kujizima data)
By, Ipyana Haraba

Human herding in politics is an occurrence of entrusted people suspending their individual reasoning because of flattering, working towards group objectives and hypocrite
By, Ipyana Haraba
 

Tanzania chama cha siasa ni kimoja ambacho ni CCM Logically.

Vilivyobaki vyote ni vyama vya wanaharakati ikiwa wanamaanisha.
N vile visivyomaanisha ni vyama rafiki vya CCM.

Chama kinachoingia shimoni ni kile ambacho kina unafiki ndani yake. Au kimejawa na viongozi wanafiki au mamluki.
Vyama vya wanaharakati haviangukagi Mpaka ukombozi upatikane. Hiyo ipo hivyo kihistoria.
 

Hatari Sana
 
Kumbe wewe ndio leo umeyajua haya manyumbu?。Nailaumu CHADEMA kuwa hawajui wanataka nini
P

Nilikuwa natumaini dogo Sana juu Yao

Lakini sasa ni dhahiri kuwa hawa watu wapo kwaajili ya kuchezea wengine, kuumiza wengine, kuuawa wengine.

Ninyi watu wanapigania chama wakidhani wanapigania haki za Watanzania, wanatekwa, wanauawa, wanabaki vilema, familia Zao zinabaki na maumivu na kumbukumbu za kusikitisha. Kumbe wanawachezea wenzao na kuwatumia
 
Watanzania sio wajinga.
Huwezi jiunga kupigana ukiongozwa na watu wanafiki.

Mbona wakati wa Slaa watu walikuwa wanatoka
Mkuu mbona nawe umeonyesha wazi unafiki baada ya Mbowe kusema atagombea nyuzi hazikauki. Mnatakiwa mlienzi neno demokrasia kama lilivyo katika jina la chama. Box la kura liamue.
Kumbuka Slaa mwenyekiti wake alikuwa Mbowe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…