Kweli kuna Wanachadema Hamnazo. Utawezaje kupigania haki bila kuwa na kiongozi mwanaharakati?

Kweli kuna Wanachadema Hamnazo. Utawezaje kupigania haki bila kuwa na kiongozi mwanaharakati?

KWELI KUNA WANACHADEMA HAMNAZO. UTAWEZAJE KUPIGANIA HAKI BILA KUWA NA KIONGOZI MWANAHARAKATI?

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kwa kweli Wanachadema wamenishangaza Sana. Uchaguzi huu umeniongezea uelewa kuhusu CHADEMA inawatu wa aina gani.

Hivi mtu anawezaje kupambania HAKI, ukombozi pasipo kuwa mwanaharakati?

Huwezi tenganisha ukombozi na uanaharakati never ever.
Kama kweli CHADEMA ni chama cha ukombozi kwa wananchi, kupigania HAKI na mabadiliko ya taifa letu haiwezekaniki kuepuka uanaharakati.

Upinzani ambao kimsingi unalenga kupigania ukombozi wa haki za watu kama HAKI za kisiasa, HAKI za kujieleza, Katiba mpya, kukomesha mifumo kandamizi; hauwezi kuitwa chama cha maendeleo bila kuwa chama cha uanaharakati.

Huwezi kuipata Demokrasia bila harakati. Huwezi.


Baada ya ukombozi chama ndio hugeuka kuwa chama cha siasa. Kwa sababu kunakuwa na uwanja sawa, HAKI sawa katika nchi.

Lakini CHADEMA hakitaki kiongozi mwanaharakati alafu wakati huohuo ati wanaitisha maandamano ya kudai Katiba, hivi mmelogwa ninyi au?

CHADEMA hakihitaji kiongozi mwanaharakati lakini kila siku kinaimba kinataka tume Huru ya uchaguzi. Hivi ninyi ni nyumbu?

CHADEMA hakihitaji kiongozi mwanaharakati lakini kila siku kinahangaika kupigania HAKI ya kufanya mikutano ya siasa kwa Uhuru kama wafanyavyo ndugu zao ccm. Hivi ninyi ni kenge Maji?

CHADEMA kila mara wanawekwa korokoroni, wanatekwa, na wengine wameuawa, wanapigania HAKI uchunguzi wa Haki ufanyike lakini hayohyo majitu yanakuambia hayataki kiongozi mwanaharakati! Hivi wanafikiri kwa kutumia makamasi au kitu gani?

Unapopigania Jambo lolote ambalo ni HAKI yako wewe tayari ni mwanaharakati.

Ikiwa upo kwenye chama ambacho kinapigania HAKI Fulani lakini hutaki kiongozi mpigania(mwanaharakati). Ujue wewe unaitwa Nyumbu.
Yaani hujielewi, huelewi nini unafanya, huelewi upo wapi.

Naachia maiki. Nawatakia maandalizi Mema ya sikukuu ya Christmas

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
KWELI KUNA WANACHADEMA HAMNAZO. UTAWEZAJE KUPIGANIA HAKI BILA KUWA NA KIONGOZI MWANAHARAKATI?

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kwa kweli Wanachadema wamenishangaza Sana. Uchaguzi huu umeniongezea uelewa kuhusu CHADEMA inawatu wa aina gani.

Hivi mtu anawezaje kupambania HAKI, ukombozi pasipo kuwa mwanaharakati?

Huwezi tenganisha ukombozi na uanaharakati never ever.
Kama kweli CHADEMA ni chama cha ukombozi kwa wananchi, kupigania HAKI na mabadiliko ya taifa letu haiwezekaniki kuepuka uanaharakati.

Upinzani ambao kimsingi unalenga kupigania ukombozi wa haki za watu kama HAKI za kisiasa, HAKI za kujieleza, Katiba mpya, kukomesha mifumo kandamizi; hauwezi kuitwa chama cha maendeleo bila kuwa chama cha uanaharakati.

Huwezi kuipata Demokrasia bila harakati. Huwezi.


Baada ya ukombozi chama ndio hugeuka kuwa chama cha siasa. Kwa sababu kunakuwa na uwanja sawa, HAKI sawa katika nchi.

Lakini CHADEMA hakitaki kiongozi mwanaharakati alafu wakati huohuo ati wanaitisha maandamano ya kudai Katiba, hivi mmelogwa ninyi au?

CHADEMA hakihitaji kiongozi mwanaharakati lakini kila siku kinaimba kinataka tume Huru ya uchaguzi. Hivi ninyi ni nyumbu?

CHADEMA hakihitaji kiongozi mwanaharakati lakini kila siku kinahangaika kupigania HAKI ya kufanya mikutano ya siasa kwa Uhuru kama wafanyavyo ndugu zao ccm. Hivi ninyi ni kenge Maji?

CHADEMA kila mara wanawekwa korokoroni, wanatekwa, na wengine wameuawa, wanapigania HAKI uchunguzi wa Haki ufanyike lakini hayohyo majitu yanakuambia hayataki kiongozi mwanaharakati! Hivi wanafikiri kwa kutumia makamasi au kitu gani?

Unapopigania Jambo lolote ambalo ni HAKI yako wewe tayari ni mwanaharakati.

Ikiwa upo kwenye chama ambacho kinapigania HAKI Fulani lakini hutaki kiongozi mpigania(mwanaharakati). Ujue wewe unaitwa Nyumbu.
Yaani hujielewi, huelewi nini unafanya, huelewi upo wapi.

Naachia maiki. Nawatakia maandalizi Mema ya sikukuu ya Christmas

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Wewe ndo HAMNAZO tuonyeshe initiative zako hapo.....Mbururaa
 
Hakuna chama cha kiuanaharakati kimewahi kushika nchi, huwezi kuendesha siasa za kiuanaharakati ukapata madaraka, siasa ni sayansi na haitaki uanaharakati. Wanaharakati ni part and parcel ya kuendesha siasa ila sio watu wa kuikomboa nchi.

Chama cha ANC cha kina Mandela kilikuwa cha kianaharakati. Ilifikia hatua walitumia mbinu za Kigaidi.

Huwezi kupigania HAKI BILA uanaharakati.

Kwa sababu wanaokunyima Haki sio kwamba hawajui wanachokifanya ni kibaya. Wanafanya hivyo makusudi Kwa sababu wananufaika na Yale wanayokufanyia.

Sasa wewe unaamini Katiba mpya itapatikana kwa njia zinazotumiwa?
 
Hawa walikuwa ni Raia wa wapi ? Watanzania wameacha kuingia barabarani kwa sababu ya uoga....hakuna kingine...Kikwete alikuwa "mpole" sana ndio maana walikuwa wakiandamana.....kama Watanzania walikuwa na akili wangewasusia CHADEMA kwa kumkubali Lowassa kuwa mgombea wa Urais wakati walisema ni fisadi
View attachment 3182410
View attachment 3182409
Lowassa singlehandedly alii-boost CHADEMA kwa kipindi kifupi na ile idadi kubwa ya wabunge waliipata kutokana na nguvu/ushawishi wa kisiasa aliokuwa nao, bila zile kashkash za Jiwe zilizomrudisha CCM angewafikisha mbali tatizo ni kwamba naye alikuwa na malengo yake binafsi(kama walivyo wanasiasa wengi) ambayo mashabiki zake hawakutaka hata kuchekecha na kujiuliza.
 
Za kuambiwa changanya na zako

Wanasiasa ni vigeugeu

Ova
 
Bora tuendelee na CCM yetu. Huku kwingine ni zaidi ya matatizo.
Sasa Hivi namuona Mbowe Akitetea na Wachaga badala na Chama..
Nimemuona Dr Aikande akiwakashfu wanaosema Chadema Chini ya Mbowe Ni mbovu anawaambia Wahame chama...

Hivi wanafikiri Wananchi wakihama Chama Watapata Hizo Ruzuku wanazolingia..

Mimi namuomba Lissu ahamia CHAUMA
 
Sasa Hivi namuona Mbowe Akitetea na Wachaga badala na Chama..
Nimemuona Dr Aikande akiwakashfu wanaosema Chadema Chini ya Mbowe Ni mbovu anawaambia Wahame chama...

Hivi wanafikiri Wananchi wakihama Chama Watapata Hizo Ruzuku wanazolingia..

Mimi namuomba Lissu ahamia CHAUMA

CHADEMA ndio imeisha hivyo.

CCM washamaliza Kazi hapo. Wewe ngoja uone
 
Hakuna chama cha kiuanaharakati kimewahi kushika nchi, huwezi kuendesha siasa za kiuanaharakati ukapata madaraka, siasa ni sayansi na haitaki uanaharakati. Wanaharakati ni part and parcel ya kuendesha siasa ila sio watu wa kuikomboa nchi.
We mzee dah, hizohizo siasa za upole si zilileta mbunge mmoja wa kuchaguliwa wa CHADEMA nchi nzima mwaka 2020. Au umesahau?
 
KWELI KUNA WANACHADEMA HAMNAZO. UTAWEZAJE KUPIGANIA HAKI BILA KUWA NA KIONGOZI MWANAHARAKATI?

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Kwa kweli Wanachadema wamenishangaza Sana. Uchaguzi huu umeniongezea uelewa kuhusu CHADEMA inawatu wa aina gani.

Hivi mtu anawezaje kupambania HAKI, ukombozi pasipo kuwa mwanaharakati?

Huwezi tenganisha ukombozi na uanaharakati never ever.
Kama kweli CHADEMA ni chama cha ukombozi kwa wananchi, kupigania HAKI na mabadiliko ya taifa letu haiwezekaniki kuepuka uanaharakati.

Upinzani ambao kimsingi unalenga kupigania ukombozi wa haki za watu kama HAKI za kisiasa, HAKI za kujieleza, Katiba mpya, kukomesha mifumo kandamizi; hauwezi kuitwa chama cha maendeleo bila kuwa chama cha uanaharakati.

Huwezi kuipata Demokrasia bila harakati. Huwezi.


Baada ya ukombozi chama ndio hugeuka kuwa chama cha siasa. Kwa sababu kunakuwa na uwanja sawa, HAKI sawa katika nchi.

Lakini CHADEMA hakitaki kiongozi mwanaharakati alafu wakati huohuo ati wanaitisha maandamano ya kudai Katiba, hivi mmelogwa ninyi au?

CHADEMA hakihitaji kiongozi mwanaharakati lakini kila siku kinaimba kinataka tume Huru ya uchaguzi. Hivi ninyi ni nyumbu?

CHADEMA hakihitaji kiongozi mwanaharakati lakini kila siku kinahangaika kupigania HAKI ya kufanya mikutano ya siasa kwa Uhuru kama wafanyavyo ndugu zao ccm. Hivi ninyi ni kenge Maji?

CHADEMA kila mara wanawekwa korokoroni, wanatekwa, na wengine wameuawa, wanapigania HAKI uchunguzi wa Haki ufanyike lakini hayohyo majitu yanakuambia hayataki kiongozi mwanaharakati! Hivi wanafikiri kwa kutumia makamasi au kitu gani?

Unapopigania Jambo lolote ambalo ni HAKI yako wewe tayari ni mwanaharakati.

Ikiwa upo kwenye chama ambacho kinapigania HAKI Fulani lakini hutaki kiongozi mpigania(mwanaharakati). Ujue wewe unaitwa Nyumbu.
Yaani hujielewi, huelewi nini unafanya, huelewi upo wapi.

Naachia maiki. Nawatakia maandalizi Mema ya sikukuu ya Christmas

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Dunia ya saizi inahitaji wanaharakati.
Fuatilia hata trend ya chaguzi zote duniani ni wale wanaharakati.
 
Lowassa singlehandedly alii-boost CHADEMA kwa kipindi kifupi na ile idadi kubwa ya wabunge waliipata kutokana na nguvu/ushawishi wa kisiasa aliokuwa nao, bila zile kashkash za Jiwe zilizomrudisha CCM angewafikisha mbali tatizo ni kwamba naye alikuwa na malengo yake binafsi(kama walivyo wanasiasa wengi) ambayo mashabiki zake hawakutaka hata kuchekecha na kujiuliza.
Lowasa alijaribu kuwafundisha CHADEMA tofauti kati ya harakati na siasa
 
Walituaminisha ana faaa kuwa RAISI ila kuwa mwenyekiti wa chama HAPANA,,, huy hatufai ni mwanaharakati sanaaaa
 
Back
Top Bottom